fundi

  1. S

    JamiiForums Tanzania Anatafutwa fundi wa Inverter

    Anatakiwa fundi wa Inverter anaye weza kurekebisha Inverter yenye ukubwa wa 5KVA/48VDC. Aliyepo hapa Dar es Salaam awasiliane nami inbox.
  2. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Chupi au Soksi zikitatuka ( zikiraruka ) watu hawapendi kuzipeleka kwa Fundi kushonwa kama zilivyo kwa Nguo nyingine?

    Hilli jambo huwa linanitatiza sana hivyo huenda leo nikapata majibu mujarab kabisa kutoka kwenu ndugu zangu.
  3. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wapi kuna fundi mzuri wa magari ya Nissan?

    Jamani leo asubuhi nimeona jambo la ajabu kwenye gari yangu Pale kwenye top cover Kuna vuja oil ambayo inaenda kuungua chini na kutoa Moshi mwingi Sana So please wandugu kama kuna mtu anajua fundi mzuri wa hizi Nissan teana au gereji mzuri naomba connection
  4. Ulopo

    JamiiForums Tanzania Fundi Majiko ya Gasi Tanzania

    Ni fundi bingwa Majiko ya Gass Kwa tatizo lolote tupigie +255715673024 huduma ni popote ulipo Kwa Dar es salaam na Dodoma fundi atakufata hadi lilipo jiko lako whatsap online muda wote uliza swali utajibiwa. Pia natoa ushauri Kwa mtungi wako wa gass kuweka juu ya ubao na si chini kama...
  5. justuscastus

    JamiiForums Tanzania Wanaohitaji huduma ya kurekebishiwa Majiko ya gesi zote tuwasiliane

    Kwa huduma ya kutengenezewa au kurekebishiwa Jiko la gesi fundi nipo tuwasiliane kwa wakazi wa dar na kigamboni nakuja ulipo nipigie 0715500730.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682. Similar threads Natafuta fundi wa kushona nguo Fundi nguo...
  7. Bonlove

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada au ushauri juu ya Fundi wa Nissan X-trail

    Habarini na poleni na majukumu, Ninaomba msaada/ Ushauri juu ya Tatizo la gari langu (Nissan X- trail) nimetumia hili gari zaidi ya miaka 6, shida ilijitokeza kwenye Engine nikafanya uamuzi wa kubadilisha Engine na gear box (niliweka nyingine). Baada ya kukamilisha hilo zoezi cha ajabu (shida)...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Fundi nyumba anahitajika

    fundi nyumba anahitajika kwa kazi.kazi iko maeneo ya Temeke mpigie boss 0717371685
  9. S

    JamiiForums Tanzania Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682.
  10. Van classic

    JamiiForums Tanzania Kwa anayehitaji fundi umeme

    Kwa mahitaji ya kufanyiwa installation kuanzia awamu ya kwanza hadi awamu ya finishing. Bei zangu huwa ni rafiki sana kwa mkoa wa Dodoma ndiyo rahisi zaidi kukutana. Namba zangu za kazi ni 0752768907
  11. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Jifunze kutumia troubleshooting tool iliyomo kwenye OS ya PC yako kutatua matatizo ya PC yako kabla ujamwona fundi maana akina fundi Michael ni wengi

    NOTE: Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC. sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako. Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo...
  12. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Harusi ya Darleen: Aliyemremba bibi harusi fundi kweli kweli!

  13. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Nahitaji fundi wa laptop

    Laptop yangu aina ya Dell Inspiration touch screen, intel core i7, 15.6', 8GB RAM imepasuka kioo. Ilianguka kisha nikawapa watu wa it office wakawapatia vijana wa field wameiharibu sasa nataka expert aniwekee screen mpya. Kama yumo humu aniambie bei ya hiyo touch screen ni kiasi gani au kama...
  14. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kutupia fonts unazopendelea ukiwa kazini

    Kama kawaida unapokuwa unaandika au unadesign kitu chochote kama vile website au graphics za aina nyingine kama wallpaper, brochure, poster, logo, vitabu au newsletter nk. basi utakuwa na fonts unazopenda kuzitumia na zinavutia kweli kulingana na kazi unayofanya. Sasa uzi huu ni wa kutupia...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika: 1. Awe ana ujuzi kwanza miaka 2 kuendelea. 2. Anafahamu kushona nguo za kike hasa za kwenye mashughuli mbalimbali kama harusi nk. 3. Awe na umri 25 -35 Piga namba 0737 610 682.
  16. Elon Mzebuluni

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza urembo wa mageti, fensi, madirisha, milango, balcon na vitanda

    Habari! Kwa mahitaji ya urembo wa mageti, madirisha, milango, balcon na vitanda usisite kutucheki tukuhudumie. Pia tunafanya kazi yeyote ya casting. Karibu bei zetu ni za kishindani na nafuu. Tupo Mbeya mjini.
  17. E

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kunyamazisha watu wanaokusema eti kisa ''gari lako chafu''

    Umeshawahi kusemwa (au kuchekwa) na watu eti kisa ''gari lako chafu?'' Unawajua hawa watu. Wanapenda sana kufuatilia mambo hayawahusu. Wasione kitu na wanaanza kukosoa. Hawajui unapitia changamoto gani kimasha. Wanakosoa bila kuelewa. Je, ungependa ''kuwanyamazisha'' hawa watu wenye tabia ya...
  18. V

    JamiiForums Tanzania Tunachimba visima vya kisasa

    bavi drilling tunafanya huduma zifuatazo ndani ya Dar Es Salaam na mikoa yote kufanya geophysical survey(ground water survey ) kujua kama site yako ina maji. Tunachimba kisima kwa machine zetu za kisasa hummer pamoja na kuweka pvc. Tunafunga pump za...
Back
Top Bottom