Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.
Kanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari
Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na...
The COVID-19 pandemic will likely kill at least 300,000 Africans and risks pushing 29 million into extreme poverty, the U.N. Economic Commission for Africa (UNECA) said on Friday, calling for a $100 billion safety net for the continent.
Africa’s 54 countries have so far reported fewer than...
Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote.
Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona.
Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa...
Mnapoendelea na siku tatu za maombi, msisahau kusoma aya hizi:
"Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa, lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu. [kwa hiyo] kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu, mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga...
WASHINGTON, April 15, 2020— The World Bank approved today $7 million in immediate funding to support Malawi’s response to the global COVID-19 (coronavirus) pandemic under a new Malawi COVID-19 Emergency Response and Health Systems Preparedness project. In addition to the new operation, $30...
Mimi binafsi sio mtaalamu wa mambo ya afya,ila kidogo napenda kusikiliza ushauri hasa wa wataalamu.
Tokea janga hili baya la ugonjwa wa Covid -19 kulipuka nimekuwa nikishinda katika luninga na kuangalia ushauri wa wataalamu wa afya jinsi ya kukabiliana na ugonjwa huu.
Mfano Cnn mara nyingi...
Nchi zote duniani zimechukua tahadhari kubwa kuhusiana na hili gonjwa la corona, kuna serikali zimefungia raia wake wasitoke nje ikiwemo nchi za Africa Isipokuwa Tanzania.
Kwa hakika hili la Rais Magufuli kuruhusu shughuli ziendelee anapaswa kupongezwa na sio kubezwa, watanzania wengi ni...
Africa for long time has been passived as a weak continent in the whole world. Most of African's countries have some of the world poorest economies. Underdeveloped infrastructure and weak systems are among the reason Africa is considered poor continent. But things are changing.
The current...
(Donald Trump President of the USA)
United State being a strong opponent and critic of China has finally succumbed to unforeseen COVID-19 crisis.
This comes despite the recent racist remarks from President Donald Trump against China terming COVID-19 a 'Chinese virus'.
The state of Illinois in...
Sasa hivi tunaona idadi ya wenye Coronavirus inaongezeka. Hii ni kwa sababu Saudi Arabia Qatar na Dubai wanawakamata na kuwalundika sehemu moja waafrika na kuwa deport.
Unakuta wengi wao wanapata maambukizi. Na kila siku wanawadeport na Watanzania wengi wakiwemo.
Yani Waafrika Mungu...
Waziri mkuu mh Kassim Majaliwa amesema kuna taarifa kuwa baada ya masomo kusitishwa kwa sababu ya Covid 19 watoto hao sasa wamekuwa wakienda makanisani na misikitini kwa ajili ya kujinza.
Mh Majaliwa amesisitiza kuwa alipokutana na maaskofu na mashehe walikubaliana kusitisha Huduma nyingine...
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa transparency kwenye utoaji wa takwimu za maambukizi ya virusi vya korona Tanzania.
Tukumbuke watu...
Footage has emerged of Barack Obama giving a clear and concise way for the United States to effectively combat a pandemic – back in 2014.
As Donald Trump continues to deflect blame for the spread of coronavirus in the US, it would appear that his predecessor already had a plan in place to fight...
Hajapanic ametulia, anaangalia hali halisi ya maisha ya watanzania hajakurupuka anawahurumia watu wake ana hofu ya MUÑGU huyu ndiye John mtoto wa Magufuli
Waliopiga kelele kuwa anavunja haki za binadamu wamejifunza kwa vitendo sitegemei kusikia tena Mbwa akibweka kuwa kuna uvunjifu wa haki za...
Kuvaa gloves barabarani imekuwa ni jambo la kawaida. Ukifika kwenye ATM mtu anatoa gloves za mpira kwanza kabla ya kuanza kufanya miamala. Barakoa, gloves za mpira na chupa ndogo ya sanitizer ni must be contents za hand bags.
Anaepanda basi/train ananawa na sanitizer akishakaa tu kwenye kiti...
Let us relax, COVID 19 kill whoever can not be selected for survival and then at the end definitely resistant alleles to coronavirus will emerge and spread over time. Few/ many??? will be selected , adapted and may be speciation????? takes place to produce a better adapted black/white race...
THE ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT-Wazalendo)
PRESS STATEMENT
Released on Monday 13rd April, 2020
ACT WAZALENDO CONDEMNS ANTI-AFRICAN RACISM AND XENOPHOBIA AGAINST COVID-19 FIGHTING:
As Coronavirus Pandemic sparks worldwide Anti-African Racism, Xenophobia rises in China and the...
Leo Waziri wa Afya ametangaza virusi hatari vya Corona kuwepo nchini mwetu. Mgonjwa mmoja amethibitishwa kwa vipimo vinavyofanywa kwenye maabara moja tu hapa nchini kwetu.
Maana yake kuna uwezekano wa kuwepo wengine wenye virusi hivyo ambao hawajabahatika kufanyiwa vipimo hivyo au ni carriers...
Kama ulidhani ujio wa hili Janga Kubwa na baya Ulimwenguni la CORONA halina Faida kwa upande mwingine utakuwa umekosea sana na unajidanganya mno. Katika hali isiyokuwa ya Kawaida Serikali ya Afrika Kusini kupitia Waziri wa Polisi Bwana Bheki Cele amekishukuru kupita maelezo Kirusi kibaya cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.