Askofu Benson Bagonza: Tumeamua kumuomba Mungu kama Taifa, kweli tumuombe Mungu na siyo kumtukuza au kumsifia mwanadamu yeyote

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,020
Asante Baba Askofu Bagonza.

Kama kawaida yako, umeendelea kutufundisha Watanzania njia sahihi ipasayo kuzingatiwa katika ucha Mungu wetu kila iitwapo leo.

Mungu akutunze baba yetu.

=======

Anaandika Bagonza ( PhD)

CORONA: TUOMBE, TUSIOMBEOMBE

Vita dhidi ya Corona haiepukiki. Napendekeza haya:

1. Mungu haongei nasi kutumia Corona. Tunaalikwa kuongea na Mungu kwa tishio la Corona.

2. Katika vita kuna kujilinda na kushambulia adui. Tumesikia mbinu nyingi za kujilinda na chache za kushambulia Corona.

3. Tutangaze tunapofunga goli na tunapofungwa. Hofu ya kufungwa inaongeza mbinu za kujilinda. Watu wakiona na kusikia habari za watu wanaowajua, wataelewa kirahisi hatari inayotukabili.

4. Tuwalinde wachezaji wetu kwa gharama. Watumishi wa afya nchini kote, wapewe vifaa vya kujilinda na watengewe maeneo ya kukaa. Wasirudi majumbani.

5. Vifaa vipatikane na vijulikane viko wapi. Wenye uwezo wajinunulie na wawanunulie wasio na uwezo.

6. Visivyopatikana nchini viagizwe. Msamaha wa kodi utangazwe na ukiritimba wa kuviingiza uondolewe haraka. Mashirika yahanasishwe kuagiza haraka.

7. Tusitishe vyombo vya usafiri kutoka mkoa kwenda mkoa. Hivi sasa kirusi chaweza kuwa Ubungo asubuhi na jioni kikawa Kahama. Barabara nzuri na Bombadier hazisafirishi bidhaa tu. Hata virusi vinapata lifti.

8. Mashine za kupima virusi zipelekwe kila mkoa.

9. Elimu isisitizwe kuliko adhabu. Usugu wa adhabu utaongeza kasi ya maambukizi. Polisi wapige virusi, wasipige watu.

10. Tufunge na kuomba lakini tukumbuke Corona ni tatizo la kisayansi zaidi kuliko kuwa tatizo la kiroho. Tuombe, tusiombeombe.

IMG_20200418_225147.png
 
Km anaona wivu watu kutukuzwa na yeye aingie kwenye siasa aone km atapata kyra

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga unawatafuna wengi sana. Mimi ombi langu acha korona iwafteke watu wenye akili kama zako. Iwafyeke watu wasiojulikana. Iwafyeke anayewatuma wasiojulikana. Iwafyekee wale polisi wanaobambikizia watu kesi. Iwafyeke majaji wanaotoa hukumu zisizo za haki. Naimani ikiwafyeka watu wa namna iyo dunia itabaki na amani na watanzania kiujumla wataishi kwa fraha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Mtoto wa Mbowe ana akili km zangu?
Ujinga unawatafuna wengi sana. Mimi ombi langu acha korona iwafteke watu wenye akili kama zako. Iwafyeke watu wasiojulikana. Iwafyeke anayewatuma wasiojulikana. Iwafyekee wale polisi wanaobambikizia watu kesi. Iwafyeke majaji wanaotoa hukumu zisizo za haki. Naimani ikiwafyeka watu wa namna iyo dunia itabaki na amani na watanzania kiujumla wataishi kwa fraha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Baba Askofu Bagonza.

Kama kawaida yako, umeendelea kutufundisha Watanzania njia sahihi ipasayo kuzingatiwa katika ucha Mungu wetu kila iitwapo leo.

Mungu akutunze baba yetu.

=======

Anaandika Bagonza ( PhD)

CORONA: TUOMBE, TUSIOMBEOMBE

Vita dhidi ya Corona haiepukiki. Napendekeza haya:

1. Mungu haongei nasi kutumia Corona. Tunaalikwa kuongea na Mungu kwa tishio la Corona.

2. Katika vita kuna kujilinda na kushambulia adui. Tumesikia mbinu nyingi za kujilinda na chache za kushambulia Corona.

3. Tutangaze tunapofunga goli na tunapofungwa. Hofu ya kufungwa inaongeza mbinu za kujilinda. Watu wakiona na kusikia habari za watu wanaowajua, wataelewa kirahisi hatari inayotukabili.

4. Tuwalinde wachezaji wetu kwa gharama. Watumishi wa afya nchini kote, wapewe vifaa vya kujilinda na watengewe maeneo ya kukaa. Wasirudi majumbani.

5. Vifaa vipatikane na vijulikane viko wapi. Wenye uwezo wajinunulie na wawanunulie wasio na uwezo.

6. Visivyopatikana nchini viagizwe. Msamaha wa kodi utangazwe na ukiritimba wa kuviingiza uondolewe haraka. Mashirika yahanasishwe kuagiza haraka.

7. Tusitishe vyombo vya usafiri kutoka mkoa kwenda mkoa. Hivi sasa kirusi chaweza kuwa Ubungo asubuhi na jioni kikawa Kahama. Barabara nzuri na Bombadier hazisafirishi bidhaa tu. Hata virusi vinapata lifti.

8. Mashine za kupima virusi zipelekwe kila mkoa.

9. Elimu isisitizwe kuliko adhabu. Usugu wa adhabu utaongeza kasi ya maambukizi. Polisi wapige virusi, wasipige watu.

10. Tufunge na kuomba lakini tukumbuke Corona ni tatizo la kisayansi zaidi kuliko kuwa tatizo la kiroho. Tuombe, tusiombeombe.
Watu kama hawa ndiyo wanazijua mbinu za ushindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga unawatafuna wengi sana. Mimi ombi langu acha korona iwafteke watu wenye akili kama zako. Iwafyeke watu wasiojulikana. Iwafyeke anayewatuma wasiojulikana. Iwafyekee wale polisi wanaobambikizia watu kesi. Iwafyeke majaji wanaotoa hukumu zisizo za haki. Naimani ikiwafyeka watu wa namna iyo dunia itabaki na amani na watanzania kiujumla wataishi kwa fraha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na tabia ya kunyemelea wake za watu wizi wa aina yoyote lazima utakutana tu hawa watu wasiojulikana
 
Back
Top Bottom