Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kuvaa gloves barabarani imekuwa ni jambo la kawaida. Ukifika kwenye ATM mtu anatoa gloves za mpira kwanza kabla ya kuanza kufanya miamala. Barakoa, gloves za mpira na chupa ndogo ya sanitizer ni must be contents za hand bags.
Anaepanda basi/train ananawa na sanitizer akishakaa tu kwenye kiti chake. Basi zima mnaweza kuwa abiria watatu na basi likaondoka. Kiti cha kwanza kutoka kwa dereva kimewekwa utepe wa njano ni marufuku kukikalia.
Kinachokera ni kuona gloves za mipira na barakoa zimezagaa barabarani. Mvua zikinyesha zinaziba njia ya maji taka.
Anaepanda basi/train ananawa na sanitizer akishakaa tu kwenye kiti chake. Basi zima mnaweza kuwa abiria watatu na basi likaondoka. Kiti cha kwanza kutoka kwa dereva kimewekwa utepe wa njano ni marufuku kukikalia.
Kinachokera ni kuona gloves za mipira na barakoa zimezagaa barabarani. Mvua zikinyesha zinaziba njia ya maji taka.