covid-19

Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.

View More On Wikipedia.org
  1. Papa D

    CHADEMA onyesheni njia kwenye janga la COVID-19

    Kipindi hiki cha covid-19 ndicho halisi kupima mvuto na ushawishi wa chadema. Tuonyesheni ushawishi wenu kwa kuwatangazia wapenzi wenu wajifanyie lockdown ili tushuhudie nchi inasimama kwa kuwa watanzania wote watakuwa lockdown. Kama mtashindwa kuthibitisha hilo basi hapa tutaamini Nyinyi ni...
  2. mike2k

    Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

    Tunaelewa umuhimu wa jiji la Dar es Salaam katika maisha ya Watanzania na nchi jirani. lakini kwenye hili suala la corona hakuna kuzubaa tena. Mamlaka husika iweke utaratibu mzuri wa kulibana hili jiji ili kuzuia na kupunguza kabisa kasi ya usambaaji wa covid19. KWANINI NIMEWAZA HIVYO...
  3. Sky Eclat

    Kulinda wazee na wagonjwa wasipate Covid-19

    Wazee huwa na kinga ndogo kupambana na maradhi kwakua kila kiungo kinaanza kufanya kazi kwa kiwango cha umri. Ukiwasisitiza wasitoke nje bila sababu maalum na kukiwa na sababu maalum wavae parakoa. Ukipata wageni wahimize wavae parakoa kabla ya kusalimia wazee. Parakoa ianzie chini ya macho...
  4. Corticopontine

    USA The world leader in Everything including contractracted Covid-19 patients and deaths tolls to 20577 more than any country in the world

    CORONAVIRUS 🇺🇸 The United States became the world leader in coronavirus deaths Saturday, a grim indicator of the country’s status as the global epicenter of the pandemic. As of Saturday evening, the U.S. had recorded about 526,396 COVID-19 cases and 20,389 deaths, according to Johns Hopkins...
  5. Corticopontine

    Marekani wameongoza kwa vifo vya Covid-19 ina watu 20466 wamefariki 1731 Jumamosi ya 11/4/20

    CORONAVIRUS 🇺🇸 The United States became the world leader in coronavirus deaths Saturday, a grim indicator of the country’s status as the global epicenter of the pandemic. As of Saturday evening, the U.S. had recorded about 526,396 COVID-19 cases and 20,577deaths, according to Johns Hopkins...
  6. Mimtamu

    Msaada: Vyakula vya kutunza wakati wa majanga

    Habari wakuu, Moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja ya msingi. Nahitaji elimu itakayotufaa kipindi hiki cha kujihami na janga la COVID-19. Je, ni vyakula gani tunapaswa kuhifadhi ili visaidie kwa kipindi kirefu zaidi tutapokuwa majumbani kwetu. Kwa kuongezea pia ni vitu gani muhimu kuwa navyo...
  7. S

    Mtazamo: Poor handling ya COVID-19 katika nchi fulani inaweza kuja kupelekea anguko kubwa la chama tawala katika Taifa hilo

    Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo. Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane...
  8. Prof T Johannes Chacha

    Fahamu kuhusu kada ya Biotechnology (bioteknolojia) na majukumu ya wataalamu wa Bioteknolojia

    Thread starterDyf Start dateMonday at 5:51 PM Dyf Senior Member Monday at 5:51 PM Utangulizi Bioteknolojia ni aina ya teknolojia inayotumia elimu ya biolojia kwa manufaa ya binadamu. Ni teknolojia ya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kwa manufaa ya binadamu, kwenye upande wa afya, kilimo...
  9. T

    USA yaonyesha uwezo mkubwa dhidi ya COVID-19

    Taifa kubwa na lenye nguvu zaidi ulimwenguni, yaani USA linaendelea kuonyesha uwezo wake wa kimedani dhidhi ya janga la COVID-19. Jana kiranja mkuu wa Taifa hilo ametuma ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kuwa adui asiyeonekana atakabiliwa hivi karibuni: Ujumbe huo umefuatiwa na habari...
  10. Victor Mlaki

    Wajibu wa Walimu kwa jamii na kwa Taifa katika kipindi hiki cha msambao wa ugonjwa wa COVID-19

    Ualimu ni taaluma yenye mawanda na matao mapana sana huenda kuliko taaluma nyingine nyingi zilizopo. Mwalimu licha ya kuwajibika kwa taaluma yake, wateja wake (wanafunzi), mwajiri wake, bado anao wajibu pia kwa jamii inayomzunguka na kwa Taifa lake kwa ujumla. Mwalimu anapaswa kuwa mtoa...
  11. Sci-Fi

    Jielimishe mwenyewe, waelimishe wengine. #Agenda ya Kifo. Bill Gates sio mwenzetu Chanjo ya COVID-19 ni Mwanzo tu

    Habarini wakuu wa jukwaa hili. Leo nimeona ni vema tushirikishane machache kuhusu COVID-19 lakini hasa kuihusu chanjo na maandalizi ya kumtawala binadamu. Hivi karibuni kwenye mahojiano na Reddit Bill Gates alisema kwamba “digital certificates” zitatumika kubaini ni nani aliyepokea chanjo ya...
  12. beth

    Wagonjwa watatu wa COVID-19 wadaiwa kupona, wataruhusiwa kutoka Hospitali hivi karibuni

    Three of the 53 confirmed cases of Covid-19 in Uganda have tested negative twice after treatment and are set to be discharged from respective hospitals, the Ministry of Health said on Thursday. "All the 53 confirmed COVID-19 cases are in stable condition at Mulago National Specialised Hospital...
  13. toplemon

    Bei ya sukari yaanza kupaa na bei ya unga yazidi kuongezeka

    Jamani bei ya sukari imeanza kupanda sasa kilo ni 3200 huku bei ya unga nayo ikipanda sana hadi 2100 kwa kilo Sukari ni baada ya serikali kupiga marufuku kuingiza sukari kutoka nje? Nashindwa kuelewa kwanini bidhaa nyeti kama sukari izuiwe kutoka nje kwa maneno eti wanalinda viwanda vya ndani...
  14. Dr Mathew Togolani Mndeme

    Mjue mwanzilishi wa hoja dhaifu ya 5G kusababisha Covid-19 kabla haijakamatwa na "wakamata-fusra wa nadharia njama"

    Jua kilichotokea kwa ufupi kisha ujisomee kiambatanisho na link iliyoko mwishoni Hoja dhaifu kwamba Covid-19 imesababishwa na teknolojia ya 5G Ilianzishwa na Daktari mmoja wa Ubelgiji anayeitwa Kris Van Kerckhoven. Alifanyiwa mahojiano na kazeti la kidachi la Het Laatste Nieuws tarehe 22...
  15. M

    Bill Gates Highlited on why Africans should agree on COVID-19 Vaccine to be tested on them

    Bill Gates has open up saying that Africans should allow the vaccine to be tested on them since they cannot produce the vaccine. This is what he said; I was initially angry about the move to test vaccines on Africans but I changed my mind. An African proverb says that a twine that grows out...
  16. M

    COVID-19 :See The Reasons why China wants to Help African Countries

    China has been making frantic moves to help developing countries, especially Africa, to overcome the Coronavirus pandemic. The coronavirus pandemic has destroyed economies of the world, thereby bringing many countries down. The means of survival of many countries have been crumbled with the...
  17. GENTAMYCINE

    Je, Akili Kubwa ilitumika kuamua Hostels za Magufuli ziwe za Wanakarantini wa COVID-19 au Mamlaka ilikurupuka tu?

    GENTAMYCINE nauliza hivi leo hii Serikali Kuu ikija na Tamko la Jumla kuwa Shule zote na Taasisi za Elimu ya Juu ( Hostels hizo za Magufuli ) zilizo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM )ikiwemo Wanafunzi waliokuwa wakikaa hapo wataenda Kuishi wapi? Je, Mamlaka iliyoamua hili la Hostels...
  18. B

    Spanish government to isolate asymptomatic Covid-19 patients

    April 6, 2020 Madrid, Spain SPAIN KUWAPIGA KARANTINI WAFANYAKAZI WA AFYA WASISAMBAZE GONJWA Serikali ya Hispania katika kutafuta muarubaini wa kumaliza kabisa tishio la SARS-2Covid - 19 inafikiria kuwapima wafanyakazi wote wa sekta ya afya waliohusika au kuhusika kuwahudumia wagonjwa wa...
  19. joto la jiwe

    Rais Kenyatta atangaza visa 16 vipya vya Corona, idadi sasa yafika 158 na vifo 6. Afunga Kaunti za Nairobi, Kilifi, Kwale na Mombasa

    Leo tena Kenya imeripoti visa vipya 16 vya maambukizi ya Corona, huku Rais Uhuru Kenyatta akikumbuka shuka wakati kumekucha, ameagiza wakenya wote kuvaa barakoa wakiwa nje za nyumba zao. Jambo ni jambo la kupongezwa kwa kuanza kuchukua hatua za dhati za kukabiliana na tatizo la kuenea kwa...
  20. Mwanamayu

    Tangazo la Waziri Ummy Mwalimu juu ya Coronavirus (COVID-19) lirekebishwe kukidhi mazingira yetu

    Tangazo ni zuri na linatoa taadhari kitaalam, lakini kuna baadhi ya mazoea ya baadhi ya watanzania ambayo yaweza kuzidisha COVID-19 kusambaa yanakosekana. Wana-sosiolojia walitakiwa kushirikishwa katika kuandaa hilo tangazo. Mfano, kuna lile kundi la vijana wavuta sigara kugoneana sigara...
Back
Top Bottom