Filipo Lubua
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 339
- 578
Mnapoendelea na siku tatu za maombi, msisahau kusoma aya hizi:
"Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa, lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu. [kwa hiyo] kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu, mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata kama tufani, wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli.... Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata, watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao. Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua, nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza. Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.” (Mithali 1:7, 25, 26, 28, 31-33 NEN)
"Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa, lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu. [kwa hiyo] kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu, mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata kama tufani, wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli.... Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata, watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao. Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua, nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza. Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.” (Mithali 1:7, 25, 26, 28, 31-33 NEN)