code

In communications and information processing, code is a system of rules to convert information—such as a letter, word, sound, image, or gesture—into another form, sometimes shortened or secret, for communication through a communication channel or storage in a storage medium. An early example is an invention of language, which enabled a person, through speech, to communicate what they thought, saw, heard, or felt to others. But speech limits the range of communication to the distance a voice can carry and limits the audience to those present when the speech is uttered. The invention of writing, which converted spoken language into visual symbols, extended the range of communication across space and time.
The process of encoding converts information from a source into symbols for communication or storage. Decoding is the reverse process, converting code symbols back into a form that the recipient understands, such as English or/and Spanish.
One reason for coding is to enable communication in places where ordinary plain language, spoken or written, is difficult or impossible. For example, semaphore, where the configuration of flags held by a signaler or the arms of a semaphore tower encodes parts of the message, typically individual letters, and numbers. Another person standing a great distance away can interpret the flags and reproduce the words sent.

View More On Wikipedia.org
  1. Kaka yake shetani

    Source code ya mahari kubwa ishara unayemuoa sio wife material kwa dunia hii

    Habarini wana JF na mvua za hapa na pale. Jana tumetoka kutoa mahari tukimsindikiza jamaa mmoja ila tulipofika mimi sikujua mahari ila kwa vile sio mambo yangu pale kwenye mahari ilikuwa ndogo kulingana na kipato chake kama alivyokadiriwa. Asilimia kubwa za familia ukiona unawekewa mahari kubwa...
  2. Teslarati

    Maisha siku hizi yamekua vice-versa, no code, no honor. Ushahidi huu hapa

    Maisha ya siku hizi yanakera sana hasa kwa sisi tulozaliwa zamani kidogo, wengine mtaniita conservative lakini kiukweli mambo yakiendelea hivi dunia itakua ya hovyo sana in 10 years. No code, No honor. Yaani sikukuu kubwa kama Chrismas haina zile bashasha tulizozoea. Na sio ya mwaka huu tu,ni...
  3. N

    Kuna aliyenufaika na huu mfumo wa post code (anuani za makazi) hapa Tanzania?

    Habari wana JF, Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu. Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza. Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa. Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini...
  4. Mwl.RCT

    Cracking the Code: A Beginner's Guide to Bitcoin Mining

    Bitcoin mining is a complex but rewarding process that helps to secure the Bitcoin network and create new Bitcoins. While the cost of mining has increased in recent years, it can still be a profitable endeavor for those who are willing to invest in the necessary hardware and software...
  5. Binadamu Mtakatifu

    Project for PHP beginners Notes MS with source code

    Heloo hii project ni very simple na niliiunda kipindi najifunza PHP, ni system ambayo itatake user notes na kusave kwenye database, na kuzishow kwa user ina admin panel pia ina user information settings Source code Inapatikana HAPA Pia unaweza itumia kwa kuanzisha mtandao wako (tovuti)...
  6. L

    Source Code ya Python Hospital management System

    Wakuu siku kadhaa nilipost kuwa nimeanza kujifunza python. Nashukuru wadau walinipa mwongozo. Kuptia python niliweza kuweza kuelewa rahisi kidogo C++ kuliko awali nilikuwa sielewi kirahisi. Naweza kusema Python imenipa msingi. So nafanya nayo mazoezi ya hapa na pale ila nimeamua nitahamia Dart &...
  7. kali linux

    Baadhi ya 'madada poa' nchi za nje wanatumia tattoo zenye QR code kufanyiwa malipo ili kuepukana na wateja wezi

    Hello bosses and roses... Kwenye harakati zangu nimesikia matumizi ya teknolojia ambayo yameniacha mdomo wazi kwakweli, moja wapo ni hili. Kuna rafiki yangu yupo huko nchi za watu alinambia kwamba huko madada poa wameacha kupokea cash sababu wateja wengine ni wezi, hivyo wanachofanya wanakua...
  8. badison

    Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

    Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure. Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana. Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu...
  9. Moseskyey

    3 Ways to Fix WhatsApp Verification Code Not Sending

    Is the WhatsApp verification code or security code not sending? Did you request an SMS code from WhatsApp but you’re not receiving it? If you’re facing this issue, you won’t be able to access WhatsApp. This problem can happen if you’ve enabled the 2-Step Verification feature. It can also happen...
  10. AKAN

    Msaada kwa wenye ujuzi wa IBAN na SWIFT CODE

    Natumaini wote ni wazima wa afya, Naomba kupata maeleze kuhusiana na IBAN na SWIFT CODE za bank, nimejaribu ku-Google Nimesoma maelezo lakini kuna points sijazielewa. Natanguliza shukrani.
  11. Ritchy Breezy

    Naombeni code nikipigiwa Simu nisipatikane

    Habari za wakati huu, Thread zangu napenda kuziweka huku sababu pako active kuliko majukwaa mengine. Naombeni msaada wa code, nahitaji mtu fulani akinipigia nisipatikane, simdai hanidai ila sihitaji tu kuwasliana nae. Mwenye anajua namna ya kufanya naomba unielekeze. Natanguliza shukrani.
  12. Upekuzi101

    Secret code, secret task

    Sometimes ni ngumu kuchora mstari katika matukio kwamba nguvu hii inaishia hapa na nguvu hii inaanzia hapa hadi pale ila matokeo ya kila kitu huwa yanakuwa wazi na kuacha kila mtu akiwaza na kujipa majibu karidi ya tathmini binafsi. Ni vema kila jambo linalofanyika liwe kwa maslahi kwa taifa...
  13. Ritchy Breezy

    Naombeni code za hii ndoto

    Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti. Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza...
  14. Swahili AI

    Tujuzane ishara za mtaani "Street Code" yoyote unayoijua

    Mimi naanza na hii Wapo wanaosema kwamba: 1. Pana genge la uhalifu 2. Panauzwa madawa ya kulevya 3. Ishara ya kumkumbuka raia aliyefariki kitaa Je ni ishara ipi ya mtaani unayoijua? Tujuzane.
  15. maroon7

    Nipeni code Zanzibar

    Wakulu wa nchito, nipo Zanzibar kama 2 weeks hivi, ila sasa naona kabisa kama kuna ka kampani ka manzi kanamiss afu kuimport ndio miti yote imeteleza nyani wote chali. Mwenye code nzuri tafadhali afanye mauchawi maana wanaume hatujaumbiwa mateso kwanini tukule perdiem pekeetu
  16. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    Tanzania nchi yetu hakika programming imekuwa shida haswa kwa vyuo vyetu shida ni nn? Walimu wabobezi hatuna au watanzania wagumu kufikiri?
  17. Benjamin10

    Naomba code za kuitest simu kama ni original au fake

    Habari za usiku wakuu... Naomba niende kwenye maada moja kwa moja.. Nimekuwa na changamoto ya kufahamu kama simu ni original au ni fake.. hususan kwenye makampuni ya samsung,oppo, iphone na baadhi ya simu.. Maana nasikiaga kuna code za kutest kujua ni org or copy.. naomba nizifahamu kwa...
  18. M

    Ndoto: Hivi mwanasiasa wa kiume anawezaje kushinda Miss Tanzania?

    Asalam aleykum! Jamani haya maisha yanachekesha sana na ukiyafikiria sana unaweza kupasuka kichwa, basi juzi kuamkia jana bwana kama kawaida katika ndoto niko sehemu kama nimesimama hivi. Nilikuwa kama kuna mtu amenisimamisha anataka kuniambia jambo fulani, kwa mbalii nikawa kama nasikia...
  19. FRANCIS DA DON

    Napendekeza noti ya elfu kumi iwekewe QR code

    Je, nini yatakuwa manufaa / hasara za kuweka QR code kwenye noti za BOT? ========================= https://www.jamiiforums.com/threads/je-nchi-kuchapisha-pesa-zake-nje-ya-nchi-ni-sahihi.1877297/ =========================== ==========================
  20. Mr Dudumizi

    Code alizonipa mzungu zimenisaidia kuona mwanga wa mafanikio yangu na familia yangu hapo baadaye

    Habari zenu wana JF wenzangu, Kwanza nianze kusema kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania waliozaliwa katika familia ya maisha ya kati, sio familia tajiri wala masikini. Pilika pilika za hapa na pale, zilinifanya nihamishie maisha yangu Kaburu ili kuweka mambo fulan sawa. Nikiwa Kaburu...
Back
Top Bottom