Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 392
- 579
Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti.
Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza kwa asilimia 80%.
Leo asubuhi mapema nlipoamka baada ya Salam alinitumia ujumbe kuwa ameota nimekufa na alikuwa anapeleka maua kwenye kaburi langu.
Imenishtua hivyo naombeni mnisaidie code za hii ndoto ya bibie juu yangu. Natanguliza shukrani.
Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza kwa asilimia 80%.
Leo asubuhi mapema nlipoamka baada ya Salam alinitumia ujumbe kuwa ameota nimekufa na alikuwa anapeleka maua kwenye kaburi langu.
Imenishtua hivyo naombeni mnisaidie code za hii ndoto ya bibie juu yangu. Natanguliza shukrani.