code

In communications and information processing, code is a system of rules to convert information—such as a letter, word, sound, image, or gesture—into another form, sometimes shortened or secret, for communication through a communication channel or storage in a storage medium. An early example is an invention of language, which enabled a person, through speech, to communicate what they thought, saw, heard, or felt to others. But speech limits the range of communication to the distance a voice can carry and limits the audience to those present when the speech is uttered. The invention of writing, which converted spoken language into visual symbols, extended the range of communication across space and time.
The process of encoding converts information from a source into symbols for communication or storage. Decoding is the reverse process, converting code symbols back into a form that the recipient understands, such as English or/and Spanish.
One reason for coding is to enable communication in places where ordinary plain language, spoken or written, is difficult or impossible. For example, semaphore, where the configuration of flags held by a signaler or the arms of a semaphore tower encodes parts of the message, typically individual letters, and numbers. Another person standing a great distance away can interpret the flags and reproduce the words sent.

View More On Wikipedia.org
  1. BIG STONE AND CONER STONE

    JamiiForums Tanzania Code za Kiume na Ambazo sio

    Ambazo sio code za kiume. 1.Havai kipensi/ bukta fupi Inaonyesha mapaja. 2.Hali chips mayai zege...hata akila chips yai mayai ni pembeni sio zege. 3.Hanunui IPhone Na Kupiga nayo picha ili ionekana . 4.Akisikia Kitu Haendi kutangaza Au kusema /kifua cha kuficha siri za watu. 5.sio MMbeya...
  2. Sitaki kuamini

    JamiiForums Tanzania Tufahamishane kuhusu hii code ya kupiga pesa Facebook

    nishasanuka!!!! Endeleeni ku’gatekeep!! Now ni kudownload hela tu🔥🔥🔥🔥
  3. kalooo 25594

    JamiiForums Tanzania Kalooist Nenda huko, utakua nazo na viatu kama havikutoshi tafuta ya kuvaliamo,Rasta wake up,this was a code from your culture

    Wanajamvi karibuni katika kalooist jamii. Mwili husitiriwa kwa mavazi,makazi na hiyo amani ya moyo.Katika jamii nyingi za kiafrika ni sehemu chache zilikuwepo na kuweza kuyamudu hayo, mfano huko vijijini ambako kipato,elimu na afya kama huduma ni kidogo ukilinganisha na mjini mara nyingi watu...
  4. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuset ussd code zifanye kazi

    Habari za muda huu wakuu , Msaada jinsi ya kuset USSD zifanye kazi maana kila nikijaribu kuingia kwenye menu inaonyesha ussd code running alafu baada ya muda inaandika connection failed or mmi invalid
  5. I

    JamiiForums Tanzania Operation DUSTCOVER: Mawimbi Yame-Intercept Kabla ya Code Kuingizwa kwenye Server

    Katika majira haya yenye kelele zisizo na ala, tunalazimika kunyoosha antenna zetu kupokea kile ambacho hakijasemwa wazi. Japo mitetemo ya chini ya ardhi haionekani kwa macho ya kawaida, waliofunzwa kusoma hewa tayari wameshaweka dots kwenye ramani ya mwelekeo. Kwa muda mrefu, baadhi ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ai Code editor ipi unatumia?

    Al ipo kwa kasii sana Windsurf, cursor, trae etc zipo nyingi ipi umewahii kutumia unaweza kutoa suggestions kwa wale ambao wapo kwenye game ya software development itasawasidiaa.
  7. jikuTech

    JamiiForums Tanzania Java: Jifunze 'Variables' na Uandike Code Kama Mtaalamu! |SEHEMU 2

    Jinsi ya kutumia 'variables' katika Java! , usikose video hii muhimu! Iwe wewe ni Mpya au tayari una uzoefu, video hii itakufundisha: Maana na umuhimu wa 'variables' katika Java: 'Variables' ni nini? Katika Java, 'variables' ni kama vyombo au mahali pa kuhifadhi taarifa (data). Kila variable...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Njia ipi Unatumia kuandika your code solution OOP(Object oriented Programing) vs FP(Functional Programing

    Nimeuliza hivi coz sio expert ktk Programing ila nina ufaham na nazid kuprogress ktk hii career na ni raha hiki kipind cha AI inafanya bugs kua rahis kusolve.. 😀😀 so Let's talk about it..
  9. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuhitaji ana code ngumu sana kueleweka

    Miaka michache nyuma tulianzisha kikundi cha sanaa ya uigizaji mtaani kwetu. Mimi ndio nilitoa hilo wazo na kuwashirikisha vijana wenzangu ambao niliona wanaweza kufanya sanaa ya maigizo. Nilitoa hilo wazo baada ya kuwa nimeacha kufanya mazoezi na kikundi cha MTWARA SUPER FILM, kikundi maarufu...
  10. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Dada katoa Code kwetu wanaume, mnakubaliana naye au mnabisha wakuu?

    Dada katoa Code kwetu wanaume, mnakubaliana naye au bado mnabisha? Huyu dada mpaka anazungumza haya anafahau ukweli wa wanawake wenzake Binafsi nakubaliana naye kwasababu nimeona mengi sana
  11. Godlove Kabati

    JamiiForums Tanzania Pazia la filamu 📽🎬: The Da vinci code

    UCHAMBUZI WA FILAMU 📽🎬 THE DA VINCI CODE (2006) -----‐----------------------------- Kwa desturi tunapotazama filamu yoyote ile, tunalenga kuziburudisha nafsi zetu. Sio kazi rahisi mtu akae chini kwa saa moja mpaka mawili amekodolea skrini yake kutazama filamu. Kila mtu ana machaguo yake...
  12. toobiter

    JamiiForums Tanzania Moja ya zana muhimu sana katika uzinzi,uasherati na uchepukaji ni SIMU

    Moja ya zana muhimu sana katika uzinzi,uasherati na uchepukaji ni SIMU. Sahau kuhusu kufuta sms,kusave majina kwa msimbo,kuwa na secret gallery,kutopiga picha na other illegal half,kubadilisha password Kila wiki na kukariri namba badala ya kusave.hizi ni code ambazo wahafidhina na waliberali...
  13. monotheist

    JamiiForums Tanzania Telegram sipokei verification code

    Natumaini hamjambo, ni muda mrefu kidogo sijatumia telegram nimekumbuka lile group la Xiaomi users tz nimedownload lakin sipokei verification code tatizo inaweza kua nini?
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wote tukutane hapa kujadili na kushare source code za MQ4 na MQ5 ili kukabiliana na mtindo wa masoko

    Wale mtakao pendelea kujadiliana na kutoa mawazo katika masoko ya forex na jinsi ya kukabiliana nayo upande wa kutengeneza code za Expert,Indicator,Library na n.k karibuni. Uchambuzi wa masoko ni uwanja mpana wa kupeana ujanja wa kuboresha au kubuni kukabiliana na masoko. Hizi ni moja software...
  15. Alfa0001

    JamiiForums Tanzania Postal code na street address

    Habari wakuu, kwenye kitambulisho cha NIDA ni namba zipi zinasimama kama postal code na ni namba zipi zinasimama kama street address
  16. Kipenseli

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimetumiwa verification code nisiyoielewa

    Wakuu naomba kufahamu, nimetumiwa text na Hawa jamaa kukiwa na verification code as if nimerequest process mahali Fulani, je itakua kampuni gani?
  17. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kulipia bidhaa nje ya nchi na maana ya ZIP code

    Kama mada ilivyo. Natamani kuanza kununua bidhaa kutoka nje ya nchi kupitia hii mitandao ya uuzaji kama Alibaba, AliExpress etc japo kwa sasa nataka nianze na AliExpress. Sasa kuna kipengele cha kulipia bidhaa hapo ndio nakwama maana Kuna mahali naambiwa niweke card. Pia Kuna mahali wanataka...
  18. T

    JamiiForums Tanzania HOW TO SOLVE DEEP SEEK REGISTRATION CODE ERROR

    Baada ya kuona review kadhaa nimeona nifungue account ds. Sasa Code niliotumiwa nikiingiza inasema invalid code. Nimejaibu mara ksdhaa bado imegoma. Baadhi ya system huwa code no ikigoma huwa inakutumia code nyingine ila hii sio suluhisho. Nini inaweza kuwa tatizo, ushauri tafadhali.
  19. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Msaada anae weza tambua hizi code

    Habari, inaonekana simu yangu imekuwa ikituma hizi code for sometimes now hasa kupitia mtandao wa Yas, zinafanana na last day imetuma jana usiku muda huo nilikuwa far asleep, kwa yeyote alie na idea hizi code zimeenda 15711 kwa ajili ya nini.? Nimelazimika ku crop screenshot sije nikawa nna...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Unaijua hii Code ya jagi mezani?

    Wakuu wewe ukifika mgahawani huwa unazingatia nini ili kutambua gharama za hapo ili usije kupigwa na kitu kizito?
Back
Top Bottom