Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 15,857
- 123,320
Mimi naanza na hii
Wapo wanaosema kwamba:
1. Pana genge la uhalifu
2. Panauzwa madawa ya kulevya
3. Ishara ya kumkumbuka raia aliyefariki kitaa
Je ni ishara ipi ya mtaani unayoijua? Tujuzane.
Wapo wanaosema kwamba:
1. Pana genge la uhalifu
2. Panauzwa madawa ya kulevya
3. Ishara ya kumkumbuka raia aliyefariki kitaa
Je ni ishara ipi ya mtaani unayoijua? Tujuzane.