Kuna aliyenufaika na huu mfumo wa post code (anuani za makazi) hapa Tanzania?

NGOSWE2

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
635
547
Habari wana JF,

Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.

Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.

Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa. Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini hakuna kilichoingizwa kwenye mfumo.

Ukiuliza TCRA na kuwapa taarifa za kukosekana kwa tariifa za majina na mitaa husika wanasema, huu mfumo ni endelevu na kila mmoja atafikiwa.

Mbaya zaidi kuna baadhi ya mitaa imejirudia majina na mingine haipo kabisa.

Swali langu kwenu wanajamii wenzangu mlioitikia wito huu wa serikali yetu kutufikisha kwenye ulimwengu wa Technology; je! Hizi post code zimewasaidia?

Mnaoagiza vifurushi na bidhaa mbalimbali mtandaoni, bidhaa zenu zinawafukia mahali mlipo au ndio mchezo uleule wa kuzifuata kwenye makampuni husika?

Na je kwenye ujazaji wa anuani hizo kwa baadhi ya document kwenye makampuni ya biashara mtandao hakuna usumbufu?

Karibu kwa ufafanuzi!
 
Kwa sasa bado hakujakuwa na faida yeyote...

Viongozi wetu huwa wana kawaida ya kukurupukia mambo na kuyaacha hewani yakielea inapokuja utekelezaji...

Waafrika sisi ni wazuri sana kwenye kupanga lakini sio kwenye kusimamia utekelezaji wa mipango...
 
Tuna viongozi vichaaa
Vichaaaa
Vichaaaa
Vichaaaa sana.
Wakienda ulaya wakikuta kitu wanakuja kuaply huku.
Mabilioni yale ya post code yangetumika kuboresha afya na elimu.
Mtu anakaa Nyumba ya nyasi post code itamsaidia nini?
 
Habari wana Jf!
Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.
Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.

Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa.
Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini hakuna kilichoingizwa kwenye mfumo.
Ukiuliza TCRA na kuwapa taarifa za kukosekana kwa tariifa za majina na mitaa husika wanasema, huu mfumo ni endelevu na kila mmoja atafikiwa.

Mbaya zaidi kuna baadhi ya mitaa imejirudia majina na mingine haipo kabisa.

Swali langu kwenu wanajamii wenzangu mlioitikia wito huu wa serikali yetu kutufikisha kwenye ulimwengu wa Technology;

Je! Hizi post code zimewasaidia?
Mnaoagiza vifurushi na bidhaa mbalimbali mtandaoni, bidhaa zenu zinawafukia mahali mlipo au ndio mchezo uleule wa kuzifuata kwenye makampuni husika?

Na je kwenye ujazaji wa anuani hizo kwa baadhi ya document kwenye makampuni ya biashara mtandao hakuna usumbufu?

Karibu kwa ufafanuzi!
Yes!! Yupo!!
Ni Nape kuzunguka na helikopta ya jeshi nchi nzima na kupiga masurufu.
 
Habari wana Jf!
Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.
Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.

Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa.
Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini hakuna kilichoingizwa kwenye mfumo.
Ukiuliza TCRA na kuwapa taarifa za kukosekana kwa tariifa za majina na mitaa husika wanasema, huu mfumo ni endelevu na kila mmoja atafikiwa.

Mbaya zaidi kuna baadhi ya mitaa imejirudia majina na mingine haipo kabisa.

Swali langu kwenu wanajamii wenzangu mlioitikia wito huu wa serikali yetu kutufikisha kwenye ulimwengu wa Technology;

Je! Hizi post code zimewasaidia?
Mnaoagiza vifurushi na bidhaa mbalimbali mtandaoni, bidhaa zenu zinawafukia mahali mlipo au ndio mchezo uleule wa kuzifuata kwenye makampuni husika?

Na je kwenye ujazaji wa anuani hizo kwa baadhi ya document kwenye makampuni ya biashara mtandao hakuna usumbufu?

Karibu kwa ufafanuzi!
Walioubuni ndio walionufaika, Post Code kwa jamii isiyosoma, mlo mmoja kwa siku na waishiko hakuna mitaa! Mambo muhimu yanayotukabili wananchi wanayakwepa wanayoyaina rahisi kupiga wanayafungia vibwebwe.
 
Habari wana Jf!
Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.
Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.

Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa.
Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini hakuna kilichoingizwa kwenye mfumo.
Ukiuliza TCRA na kuwapa taarifa za kukosekana kwa tariifa za majina na mitaa husika wanasema, huu mfumo ni endelevu na kila mmoja atafikiwa.

Mbaya zaidi kuna baadhi ya mitaa imejirudia majina na mingine haipo kabisa.

Swali langu kwenu wanajamii wenzangu mlioitikia wito huu wa serikali yetu kutufikisha kwenye ulimwengu wa Technology;

Je! Hizi post code zimewasaidia?
Mnaoagiza vifurushi na bidhaa mbalimbali mtandaoni, bidhaa zenu zinawafukia mahali mlipo au ndio mchezo uleule wa kuzifuata kwenye makampuni husika?

Na je kwenye ujazaji wa anuani hizo kwa baadhi ya document kwenye makampuni ya biashara mtandao hakuna usumbufu?

Karibu kwa ufafanuzi!
kuna vitu vingi sana umeuliza unaweza kuspecify concern ni ipi
moja umesema kuna maeneo yana post code, unakaa kata ipi na mtaa upi ambao hauna post code?
weka jina la eneo lako ili tusearch kwenye website tujue ukweli
pili umeuliza kuhusu faida za post code , upo serious hujui?
 
Unaelewa kinachoongelewa? Post Code si bidhaa ya mipakani ambayo machinga na mamantilie watachangamkia kuuza kwa watalii.
Huna akili, mtu yeyote mwenye exposure aliyesafiri duniani anajuwa faida za post code.

Ndugu zenu wengine wapo ulaya muda huu kazi yao ni zao la post code Wanasambaza magazeti na brochure mbalimbali na baiskeli mitaani kila nyumba.

Ni mjinga peke yake ndio hawezi kujuwa faida za Post code.
 
Badala ya kukwambia njoo mtaa fulani karibia na mwembe fulani utamkuta muuza Kahawa ulizia kwa Bwana Hamnazo utakuta banda la bata ndio naishi hapo...

Utamwambia kwamba njoo mtaa fulani namba 19 ndipo napoishi
 
Back
Top Bottom