NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 635
- 547
Habari wana JF,
Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.
Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.
Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa. Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini hakuna kilichoingizwa kwenye mfumo.
Ukiuliza TCRA na kuwapa taarifa za kukosekana kwa tariifa za majina na mitaa husika wanasema, huu mfumo ni endelevu na kila mmoja atafikiwa.
Mbaya zaidi kuna baadhi ya mitaa imejirudia majina na mingine haipo kabisa.
Swali langu kwenu wanajamii wenzangu mlioitikia wito huu wa serikali yetu kutufikisha kwenye ulimwengu wa Technology; je! Hizi post code zimewasaidia?
Mnaoagiza vifurushi na bidhaa mbalimbali mtandaoni, bidhaa zenu zinawafukia mahali mlipo au ndio mchezo uleule wa kuzifuata kwenye makampuni husika?
Na je kwenye ujazaji wa anuani hizo kwa baadhi ya document kwenye makampuni ya biashara mtandao hakuna usumbufu?
Karibu kwa ufafanuzi!
Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.
Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.
Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa. Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini hakuna kilichoingizwa kwenye mfumo.
Ukiuliza TCRA na kuwapa taarifa za kukosekana kwa tariifa za majina na mitaa husika wanasema, huu mfumo ni endelevu na kila mmoja atafikiwa.
Mbaya zaidi kuna baadhi ya mitaa imejirudia majina na mingine haipo kabisa.
Swali langu kwenu wanajamii wenzangu mlioitikia wito huu wa serikali yetu kutufikisha kwenye ulimwengu wa Technology; je! Hizi post code zimewasaidia?
Mnaoagiza vifurushi na bidhaa mbalimbali mtandaoni, bidhaa zenu zinawafukia mahali mlipo au ndio mchezo uleule wa kuzifuata kwenye makampuni husika?
Na je kwenye ujazaji wa anuani hizo kwa baadhi ya document kwenye makampuni ya biashara mtandao hakuna usumbufu?
Karibu kwa ufafanuzi!