maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,517
Biashara ni siri..aisee usitoe code kabisa
Mimi kuna biashara nilikua nafanya 7years back sasa bana nikampa code wife...wife ana rafiki yake si ampa siri yote!
Nakuja ingiza mzigo sokoni aisee! Soko Limejaa..nikabaki najiuliza
Nikatumia umafia sana nikajua ni yule dem na mumewe
Nika mbana yule dem si ndio aliniambia wife ndio alimwambia aisee ilikua balaa
......ila baadae waliishindwa na baadae ikawa sio deal tena
Ila nilijifunza..
Sa hivi code yangu ni yangu!
Mimi kuna biashara nilikua nafanya 7years back sasa bana nikampa code wife...wife ana rafiki yake si ampa siri yote!
Nakuja ingiza mzigo sokoni aisee! Soko Limejaa..nikabaki najiuliza
Nikatumia umafia sana nikajua ni yule dem na mumewe
Nika mbana yule dem si ndio aliniambia wife ndio alimwambia aisee ilikua balaa
......ila baadae waliishindwa na baadae ikawa sio deal tena
Ila nilijifunza..
Sa hivi code yangu ni yangu!