In communications and information processing, code is a system of rules to convert information—such as a letter, word, sound, image, or gesture—into another form, sometimes shortened or secret, for communication through a communication channel or storage in a storage medium. An early example is an invention of language, which enabled a person, through speech, to communicate what they thought, saw, heard, or felt to others. But speech limits the range of communication to the distance a voice can carry and limits the audience to those present when the speech is uttered. The invention of writing, which converted spoken language into visual symbols, extended the range of communication across space and time.
The process of encoding converts information from a source into symbols for communication or storage. Decoding is the reverse process, converting code symbols back into a form that the recipient understands, such as English or/and Spanish.
One reason for coding is to enable communication in places where ordinary plain language, spoken or written, is difficult or impossible. For example, semaphore, where the configuration of flags held by a signaler or the arms of a semaphore tower encodes parts of the message, typically individual letters, and numbers. Another person standing a great distance away can interpret the flags and reproduce the words sent.
Salamu wana jamvi, leo nimeona niwaletee chapisho linaloelezea kitabu maarufu sana cha hadithi kinachojulikana kama’’The DaVinci Code”. Kitabu hiki nimekisoma hivi karibuni nikaona si vibaya kuleta hapa ili kujifunza. Kitabu hiki kilmeandikwa na mwandishi Dan Brown na kutolewa mwaka 2003...
Salamu wana jamvi, leo nimeona niwaletee chapisho linaloelezea kitabu maarufu sana cha hadithi kinachojulikana kama’’The DaVinci Code”. Kitabu hiki nimekisoma hivi karibuni nikaona si vibaya kuleta hapa ili kujifunza. Kitabu hiki kilmeandikwa na mwandishi Dan Brown na kutolewa mwaka 2003...
Hiz ni code zitazokufanya usifeli popote
1. Hakikisha Unapiga pipe kwelikweli
Kama uko 18-50 jitahidi uwe unapga pipe au uwe na mahusiano valid. Kama hupigi pipe Heshima sahau utaonekana ni pisi kali (Hapa si lazima uwe malaya)
2. Jitahidi miziki yako iwe Hip pop au nyimbo za jeshi
Achana na...
Wakuu hivi mchakato wa kupata barcode kwa mjasiriamali mdogo ukoje...Kuna mdau alisema ni pale ofisi ya mkuu wa wilaya ya ilala ndio ofisi zilipo ni sawa.
Biashara ni siri..aisee usitoe code kabisa
Mimi kuna biashara nilikua nafanya 7years back sasa bana nikampa code wife...wife ana rafiki yake si ampa siri yote!
Nakuja ingiza mzigo sokoni aisee! Soko Limejaa..nikabaki najiuliza
Nikatumia umafia sana nikajua ni yule dem na mumewe
Nika mbana...
Habarini wana JF na mvua za hapa na pale. Jana tumetoka kutoa mahari tukimsindikiza jamaa mmoja ila tulipofika mimi sikujua mahari ila kwa vile sio mambo yangu pale kwenye mahari ilikuwa ndogo kulingana na kipato chake kama alivyokadiriwa.
Asilimia kubwa za familia ukiona unawekewa mahari kubwa...
Maisha ya siku hizi yanakera sana hasa kwa sisi tulozaliwa zamani kidogo, wengine mtaniita conservative lakini kiukweli mambo yakiendelea hivi dunia itakua ya hovyo sana in 10 years.
No code, No honor.
Yaani sikukuu kubwa kama Chrismas haina zile bashasha tulizozoea. Na sio ya mwaka huu tu,ni...
Habari wana JF,
Moja kwa moja nende kwenye swali langu hapo juu.
Katika mtaa wetu tulibahatika kupitiwa na zoeli la anuani za makazi kama serikari ilivyotangaza.
Na ni kweli tuliandishwa na kupewa namba na majina ya mtaa yaliyochaguliwa. Cha ajabu ni kwamba watu tumebaki na namba lakini...
Bitcoin mining is a complex but rewarding process that helps to secure the Bitcoin network and create new Bitcoins. While the cost of mining has increased in recent years, it can still be a profitable endeavor for those who are willing to invest in the necessary hardware and software...
Kumekuwepo na madai yanayosambaa mtandaoni kuwa makasha ya dawa za meno huwa na rangi (code) za aina mbalimbali zinazofafanua aina ya kemikali zilizotumika kutengenezea dawa hiyo.
Aidha, madai hayo yanafafanua zaidi kuwa kemikali husika ni hatari kwa afya na husababisha saratani, na kwamba...
Heloo hii project ni very simple na niliiunda kipindi najifunza PHP, ni system ambayo itatake user notes na kusave kwenye database, na kuzishow kwa user ina admin panel pia ina user information settings
Source code Inapatikana HAPA
Pia unaweza itumia kwa kuanzisha mtandao wako (tovuti)...
Wakuu siku kadhaa nilipost kuwa nimeanza kujifunza python. Nashukuru wadau walinipa mwongozo. Kuptia python niliweza kuweza kuelewa rahisi kidogo C++ kuliko awali nilikuwa sielewi kirahisi. Naweza kusema Python imenipa msingi. So nafanya nayo mazoezi ya hapa na pale ila nimeamua nitahamia Dart &...
Hello bosses and roses...
Kwenye harakati zangu nimesikia matumizi ya teknolojia ambayo yameniacha mdomo wazi kwakweli, moja wapo ni hili.
Kuna rafiki yangu yupo huko nchi za watu alinambia kwamba huko madada poa wameacha kupokea cash sababu wateja wengine ni wezi, hivyo wanachofanya wanakua...
Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.
Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.
Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu...
Is the WhatsApp verification code or security code not sending? Did you request an SMS code from WhatsApp but you’re not receiving it? If you’re facing this issue, you won’t be able to access WhatsApp. This problem can happen if you’ve enabled the 2-Step Verification feature. It can also happen...
Natumaini wote ni wazima wa afya,
Naomba kupata maeleze kuhusiana na IBAN na SWIFT CODE za bank, nimejaribu ku-Google Nimesoma maelezo lakini kuna points sijazielewa.
Natanguliza shukrani.
Habari za wakati huu,
Thread zangu napenda kuziweka huku sababu pako active kuliko majukwaa mengine.
Naombeni msaada wa code, nahitaji mtu fulani akinipigia nisipatikane, simdai hanidai ila sihitaji tu kuwasliana nae.
Mwenye anajua namna ya kufanya naomba unielekeze. Natanguliza shukrani.
Sometimes ni ngumu kuchora mstari katika matukio kwamba nguvu hii inaishia hapa na nguvu hii inaanzia hapa hadi pale ila matokeo ya kila kitu huwa yanakuwa wazi na kuacha kila mtu akiwaza na kujipa majibu karidi ya tathmini binafsi.
Ni vema kila jambo linalofanyika liwe kwa maslahi kwa taifa...
Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti.
Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.