chochote

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

    Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa. Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM --- Taarifa kutoka ukurasa rasmi...
  2. RUSTEM PASHA

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji ajira kwenye international companies zinazolipa vizuri, tunza afya yako kuliko chochote

    Utapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao. Aisee tutunze afya zetu.
  3. Webabu

    JamiiForums Tanzania Iran yasema inamsubiri huyo atakayejaribu kuishambulia kwa kutumia kisingizio chochote

    Taifa la Iran kwa mara ya mwanzo limetoa kauli kufuatia vitisho vya Marekani kuwa inakusudia kulipiza kisasi kwa nguvu kubwa dhidi ya wale walioongoza mashambulizi kwenye vikosi vyake nchini Jordan ambavyo vilisababisha vifa vya askari wake watatu hapo majuzi. Onyo hilo limetolewa na balozi wa...
  4. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame: Hakuna chombo chochote nje ya nchi kinachoweza kuiamuru Rwanda nini cha kufanya katika uongozi

    Akiongea wakati wa maombi ya Kitaifa Nchini humo, Kagame amesema “Watu wote tupo sawa mbele za Mungu hakuna Mtu ambaye yupo juu kuliko mwingine, ukweli huu uwe chanzo cha kuwapa hamasa na msukumo utakaowapa mwongozo wa matendo yenu kwenye masuala mbalimbali” “Kwa kuizingatia historia ya Rwanda...
  5. MK254

    JamiiForums Tanzania Iran yalalamika kwa Houthi kupigwa, ilitaka waendelee kufanya chochote bila kunyooshewa kidole

    Ajabu sana yaani, kwamba hawa magaidi wa kidini ilipaswa waachwe waendelee kulipua meli za watu bila kufanyiwa chochote, jameni Mungu tulinde sana haya mataifa ya uzombi wa kidini yasije kuwa supapawa dunia hii..... In a statement on Friday, Kanaani described the attacks on Yemen as a clear...
  6. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kijana usijaribu kumsaidia binti jambo lolote au kiasi chochote cha pesa kama huyo binti si ndugu yako

    Kichwa cha habari kinahusika. Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada. Hawana cha kukupa zaidi ya UTI Hawana shukrani Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio...
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mbona DJ Khalid hajazingumza chochote kuhusu vita ya Palestine licha ya yeye kuwa Mpalestina

    DJ Khaled ni Mpalestina na kwenye hivi vita hajaongea chochote kile, ni kama watu wanataka kumsikia akisema lolote wampoteze. Bro! Muziki wa Marekani unashikiliwa na Wayahudi. Yaani wao ndiyo wanapanga kila kitu. Hivi ushawahi kujiuliza kwa nini Waarabu wakiingia vitani wanakwenda kuomba...
  8. stephenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sasa nahitaji ndoa kuliko kitu kingine chochote. Siwezi tena kusubiri

    Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa. Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa. Haswa ukizingatia...
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Jijengee mfumo wa kutompa mtu ahadi yoyote kuhusu jambo au kitu chochote

    Katika maisha tunaishi ila usikubali kumpa MTU ahadi yoyote , ishi maisha yako tu. Kuwa na ule mfumo wa MTU akikuomba kitu mwambie ebu tuone hali itakuaje. Wafanyie WATU surprise ila usiwape ahadi. Avoid entitlement trap -this life is yours hakuna MTU aliapa kuwa atakupa chochote unachokitaka...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania 2023 /2024 Arsenal hatoambulia kikombe chochote tena , Mashabiki wake jiandaeni kisaikolojia

    Hii ndio taarifa ya upendo ya leo ambayo tumeona ni vema tusiwafiche washabiki wake ili visukari visije kuwapanda hapo baadaye . Arsenal 0-2 Westharm
  11. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inawezekana niamkie Kariakoo na kupata kipato ikiwa sina ofisi wala chochote?

    Inawezekana niamke asubuhi na kwenda Kariakoo ikiwa Sina ofisi yeyote hapo???? Udalali huwa unafanywaje jamani! Kazi gani unaweza kuifanya pale Kariakoo kwaajili ya kukuingizia chochote kitu ikiwa huna duka, huna chochote?
  12. RoadLofa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi, mwanamke akiwa anakusumbua hivi na haumjibu chochote kila siku utafanyaje?

    Hivi mwanamke akiwa anakusumbua hivi na haumjibu chochote kila siku utafanyaje? Huyu mwanamke nilikuwa Naye kwenye relationship ila tatizo lake ni kausha damu, kitu kinachofanya nisimwamini sana, ndio maana sitaki mazoea naye. Sasa amekuwa ananicheck karibia kila siku ila mimi nimeuchuna na...
  13. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Chochote kinachompotezea mtu muda huonekana kizuri.

    Katika zama ambazo kumeibuka vitu vingi vinavyoweza kumpatia mwanadamu uraibu wa kupoteza muda ni zama tunazoishi. Uzoefu wa kawaida wa maisha unaonesha mambo yanayopoteza muda wa watu kwa visingizio au sababu mbalimbali kuongezeka mara dufu Duniani. Siyo jambo la ajabu leo kumkuta mtu...
  14. Wivu tu

    JamiiForums Tanzania Mfungo wangu wa siku 40 bila ya kula chochote umekamilika

    Habari ndugu zangu, Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote . Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
  15. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Uliza chochote kuhusu Tanzania nitakujibu

    Uliza chochote kuhusu Tanzania nitakujibu
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mkeo ni kivuli chako. Chochote utakachofanya au unachotaka afanye atafanya. Akikusumbua ujue wewe ndio msumbufu

    MKEO NI KIVULI CHAKO. CHOCHOTE UTAKACHOFANYA AU UNACHOTAKA AFANYE ATAFANYA. AKIKUSUMBUA UJUE WEWE NDIO MSUMBUFU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Mkeo ukimuona hana akili ujue wewe ndio huna akili. Ukimuona anadharau ujue wewe ndio unadharau. Ukimuona anakasoro yoyote ile ujue kasoro hiyo...
  17. Nobunaga

    JamiiForums Tanzania Walimu wanaojitolea kufundisha kipindi cha likizo wapongezwe, wazazi msisite kuchangia chochote

    Nimefungua huu uzi baada ya kuona "dokezo" hili lililopostiwa hapa JF... https://www.jamiiforums.com/threads/walimu-shule-ya-mpanda-day-wanalazimisha-wazazi-tulipe-hela-ya-twisheni-wakati-wa-likizo.2163945/unread Nipo hapa kupinga hili dokezo kwa nguvu zote kwa sababu haliendani na uhalisia wa...
  18. MK254

    JamiiForums Tanzania Netanyahu asema hamna chochote kitazuia mapigo, hata warejeshwe mateka wote

    Kwa kifupi, hili la kurejesha mateka ni namna tu ya kuwapa HAMAS fursa ya kupumua, ila mapumziko kamili ni akhera kule kwa mabikira, kipigo kiko pale pale. =================...
  19. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Mkristo ni Mungu. Bila kuamini hivyo huwezi kuwashinda miungu watu na miungu yao

    Sio mara ya Kwanza Mungu kuwafanya wanaomufuata Mungu. Ili Musa amvae Farao ambaye kwa kimisri alikuwa anahadhi ya muungu alimfanya kuwa mungu kwa farao. Kuna watu ni miungu, kuna miungu mingi, ukiwaface kama binadamu watakushinda, lazima uvae cheo chako cha umungu ili uwe juu yao. Biblia...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

    Hadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho. Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza...
Back
Top Bottom