Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 747
- 1,816
Waungwana,
Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.
Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.
Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!
Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku.
Ni sehemu tunamoonesha utendaji kazi ili kiuweza kumshawishi boss akupe bonus kama ni kiwandani na kadhalika lakini kama ni hospitalini boss hakai hapo, kama ni shuleni boss hakai hapo sana sana hapo wamejaa machawa na watu ambao wanaumbea asikuambie mtu.
Ni sehemu za kutendea haki, tuishi lakini ni sehemu za kuogopa sana, bianadam unaofanya nao kazi waogope sana. Usiwadharau wala usijipendekeze kwao, kikubwa ni kaa mbali sana viumbe anayeitwa mfanyakazi mwenzio!