RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Hivi mwanamke akiwa anakusumbua hivi na haumjibu chochote kila siku utafanyaje?
Huyu mwanamke nilikuwa Naye kwenye relationship ila tatizo lake ni kausha damu, kitu kinachofanya nisimwamini sana, ndio maana sitaki mazoea naye.
Sasa amekuwa ananicheck karibia kila siku ila mimi nimeuchuna na hachoki kunicheck. Sasa nashindwa kumuelewa, nikijirudisha tu anaanza ukausha damu wake, nikipotea anakuwa hivyo, naombeni ushauri wenu.
Huyu mwanamke nilikuwa Naye kwenye relationship ila tatizo lake ni kausha damu, kitu kinachofanya nisimwamini sana, ndio maana sitaki mazoea naye.
Sasa amekuwa ananicheck karibia kila siku ila mimi nimeuchuna na hachoki kunicheck. Sasa nashindwa kumuelewa, nikijirudisha tu anaanza ukausha damu wake, nikipotea anakuwa hivyo, naombeni ushauri wenu.