Kwanini watu ambao hawajui chochote ndo hujiona wanajua. Au mtu mdhaifu siku zote haoni udhaifu wake?

deblabant

JF-Expert Member
Oct 7, 2022
901
1,334
Natoa mfano Magufuli ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natolea ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa Rais wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na Rais lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria aliingilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
 
Natole mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajbu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Yawezekana wewe ndo hujui chochote harafu unaona wanaojua hawajui kwasababu wewe hujui
 
Natole mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajbu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Aisee.
 
Natole mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajbu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Wewe ni aina ya watu Wanafiki, Waoga, Machawa na Maskini wa fikra. Ulikuwa wapi kuyasema hayo wakati JPM angali hai?

Acha kupambana na kivuli cha mfu, endelea kununua sukari 5000/=, badala mpambane na mfumuko wa Bei na kushuka thamani ya pesa yetu nyie mko bizze na JPM kenge nyie
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Kuna tatizo la watu kama mfano wa wewe, kujisema wanajua na hawajui, wanasema fulani alikuwa hajui lolote na kumbe alikua sawa na anayesema mwenzie ndo hajui, so we mwenyewe ni punguani.
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
No doubt Magufuli alimaster sana the art of propaganda. Alizishika media zote, hadi za nje kuna wakati ikatangazwa kwamba hazipaswi kurusha maudhui ya ndani bila kibali.

Media zote nchi, binafsi na zile za serikali hadi zile ambazo ziko tu online ambazo hazina usajili wa serikali zilijaa woga kumtaja Magufuli katika namna ambayo isingempendeza. Media nchini ziliimba mapambio ya kumsifu na kumtukuza mawizo mpaka machweo.

Propaganda za Magufuli zinanikumbusha propaganda za Adolf Hilter, Joseph Stalin na Mao Ze Dong. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuaminisha mambo ambayo hayapo, walikuwa na uwezo wa kupandikiza nadharia zao na imani zao juu ya kadamnasi na ikaamini vivyo, huku nyuma ya pazia wakiwa na mauzauza yao kibao.

Magufuli alitupiga wapi? Kwanza alijifanya Rais wa wanyonge, akijua kwamba watanzania wengi over 40% tuko chini ya mstari wa umasikini wa $1 kwa siku, masikini wengi tulimpenda sana tukidhani ni mwenzetu lakini katu, hakuwa mwenzetu, JPM alikuwa tajiri sana.

Magufuli alijua kwamba watanzania hatupendi mafisadi, wengi tunadhani umasikini wetu kuna watu wanatuibia serikalini. JPM akaona atangaze nao vita kali, tukamsahau yeye ambaye alijilimbikizia mali nyingi sana, huku tukijua kwamba anapambana na mafisadi kwa ajili yetu, kumbe ni kwa ajili yake kwani kila alipotaifisha mali zao, zikawa zake na jamaa zake.

JPM master the art of public manipulation. Kwenye ziara zake alisimama barabarani, alizungumza na watu, akatoa fedha hadharani kwa watu wa hali ya chini, alitembelea hospitali na kutoa misaada hadharani kwa watu waliokuwa na hali ngumu huku kila media ikimulika. Vitendo vile vimewalevya wengi kudhani kwamba JPM was saviour, tukasahau kabisa na yeye ni mwanadamu mwenye tamaa na uchu, aliweza kufanya chochote pasi nasi kujua kuwa mali zetu zinaibwa na kuwekezwa kwenye hotels zake, real estate, mashamba na kuficha fedha nje ya nchi. Mtoto wa dada yake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dotto James alifanya kazi kubwa sana kusafirisha fedha za mjomba wake nje.

Naona leo wakimkumbuka sana. Nasikitika sana kuona wengi wakimkumbuka JPM pasi na wao kujua kwamba bado wamo kwenye dimbwi la mning'inio wa propaganda za JMP. Ila kama tungejua uozo na madudu aliyofanya nyuma ya pazi, pengine tungezinduka kutoka kwenye hangover hiyo
 
JPM kasha lala usingizi wa milele sio jambo jema sana kumsema marehemu.kama ilivyo kwa binadamu wote,mtu huwa na pandembili za shilingi.
 
Tatizo tunaendelea kusumbuliwa na ukoloni mambo Leo ukisoma jambo moja unafikiri mambo yote umeyaelewa lakini pia kujiona unajua kila kitu bila kujua wenzako unaowaita wajinga wanajua nini usichokijua.
 
Jiwe alikuwa alikuwa na uwezo mdogo sana kiakili. Ili kuficha upumbavu wake alilazimika kujifaragua hadharani aonekane much know. Lkn kubwa zaidi alisumbuliwa na ushamba & ulimbukeni.

Watato wa mjini wakaona isiwe taabu. Wakamfyekelea mbali.
 
Duuuh kwa hyoo wee ndo unaejua,mwenzio alikuwa hajui??.si ndivyo ulivyomaanisha??.
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
Wewe ndio mpumbavu kabisa. JPM ambae ameifanyia nchi hii makubwa kuliko rais, yeyote ww unasema alikuwa, mweupe. Sasa, ww umefanya nn mpaka sasa, hivi zaid ya kusajili jina, fake kwenye key board. Inawezekana bado unazurula tu mjini huna hata, kaz,kwa kuwa, ulikuwa na cheti fake, mpumbavu mkubwa.
 
Wewe ni aina ya watu Wanafiki, Waoga, Machawa na Maskini wa fikra. Ulikuwa wapi kuyasema hayo wakati JPM angali hai?

Acha kupambana na kivuli cha mfu, endelea kununua sukari 5000/=, badala mpambane na mfumuko wa Bei na kushuka thamani ya pesa yetu nyie mko bizze na JPM kenge nyie
Hivi wakati wa jpm Kuna mtu alithubutu kusema chochote kinyume na mtazamo wake. Wote walisema ama waliishia jela au waliuawa
 
Wewe ndio mpumbavu kabisa. JPM ambae ameifanyia nchi hii makubwa kuliko rais, yeyote ww unasema alikuwa, mweupe. Sasa, ww umefanya nn mpaka sasa, hivi zaid ya kusajili jina, fake kwenye key board. Inawezekana bado unazurula tu mjini huna hata, kaz,kwa kuwa, ulikuwa na cheti fake, mpumbavu mkubwa.
Nani alipaswa kunipa kazi Sasa. Jpm si ndo alijaribu mfumo mzima wa ajira na Sasa mama anarestore mfumo ulioharibiwa
 
Kwenye title ungeongeza neno JPM ili tujue umeandika uzi kumjadili marehemu...
 
Natoa mfano jpm ambaye kiukweli kabisa alikuwa mweupe kiungozi, kiakili na kimaadili. Lakini Cha ajabu ndo alikuwa anajisema sema eti watu wengine hawafai wakati yeye ndo hafai.

Nakumbuka Kuna wakati alikuwa natole ufafanuzi wa CAG, akasema eti kama huwezi kumfukuza uliyemteua basi hufai kuwa raisi wakati katiba inasema hivyo kwamba CAG hafukuziki kabisa na ni independent institution isiyoingiliwa na raisi lakini yeye na umbumbumbu wake wa sheria allngilia ki ubabe, Sasa nani hapo Hana akili?

Alikwenda bandarini akawa anafoka na anajifanya anajua physics kumbe sisi wataalamu tunamchora tu. Anasema eti infrared ndo inatambua kumbe uongo. Infraredo ni mionzi midogo ya kutambua kitu Cha karibu tu chenyewe kama chenyewe kakiwezi. Ila aliniona ana akili kumbuka utumbo tu
🚮
 
Back
Top Bottom