bodaboda

Boda bodas are bicycle and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

    Kwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia (natoka Baru) eneo la Tukio kwa Kiwewe na kwenda 'Kuisikilizia' Ajali kwa mbali. Najua (Huenda) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine...
  2. Roving Journalist

    Dar: Msanii Nay wa Mitego amepata ajali ya bodaboda

    Msanii Emmanuel Eribariki Munis (Nay wa Mitego), amepata ajali ya bodaboda wakati anawahi kwenye Interview. Kwa sasa msanii huyo yupo katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni akipatiwa matibabu na hali yake bado haiko vizuri. Inaelezwa alipanda bodaboda ili kuwahi kipindi baada kukwama kwenye...
  3. snochet

    Wazo: Biashara ya usimamizi wa magari ( daladala, bajaj, bodaboda )

    Kikwazo kikubwa kinachoathiri biashara ya Daladala leo ni njia na usimamizi wa haya magari. Hii inajumuisha wasimamizi yaani TRA & trafiki, Bima etc. Biashara ya Daladala imekuwa moja ya uwekezaji hatari zaidi hadi sasa kutokana na wamiliki kushindwa kushika mambo yote,tena ukizingatia wengi...
  4. D

    Yatokanayo na usafiri wa bodaboda

    Yatokanayo na bodaboda; Ukipanda boda boda unakuwa sehemu ya pikipiki kama mzigo Ukibebwa na mwendesha pikipiki mwenye mawenge nawewe unasomeka waruwaru mkipita wote mnaonekana pipa na mfuniko. Ukibebwa na mwendesha pikipiki mfupi kwenye utelezi au mchanga jiandae kuagushwa Endapo mtakutana na...
  5. Analogia Malenga

    Wizi wa bodaboda watikisa Kilimanjaro

    Wizi wa pikipiki zinazosafirishwa kwenda kuuzwa nchi jirani umeutikisa Mkoa wa Kilimanjaro. Wizi huo umekithiri zaidi katika wilaya za Moshi na Rombo pamoja na Mji wa Mirerani. Chama cha Wamiliki na Waendesha Bajaji Mkoa wa Kilimanjaro (CWBK) kinakadiria wastani wa pikipiki 100 huibwa kila...
  6. Kaluluma

    Naomba pikipiki kwa ajili ya bodaboda Dodoma

    Habari za leo wakuu,kijana wenu naomba yeyote mwenye pikipiki kwa ajili ya bodaboda anipatie nimfanyie kazi kama dereva wake kwa hesabu tutakayokubaliana kwa uaminifu mkubwa kabisa. Au kama kuna ambaye anafahamu wapi nitapata mkopo wa pikipiki unaolipiwa either kwa kila wiki au mwezi kwa...
  7. The Eye

    Mauaji ya Bodaboda Kongwa

    Kumekuwa na wimbi la wizi wa pikipiki na hata mauaji kwa vijana wanaofanya kazi ya kusafirisha abiria kwa pikipiki wilayani Kongwa-Dodoma. Wiki tatu zilizopita Kijana mmoja aliyekuwa akifanya kazi hiyo Kongwa mjini alipotea kwa kipindi cha wiki mbili na baadae kukutwa akiwa amefariki na mwili...
  8. Mrs Gudman

    Vijana wa Kiume badilikeni

    Habari za jumapili wana Jamii Forum Leo naomba nizungumze kidogo na hawa wenzetu upande wa Kiume mana miaka ijayo kuna hatari ya kupoteza nguvu kazi Siku izi ni kawaida kabisa kukuta mdada anauza matunda, anatembeza mtumba, anachoma mandazi ubuyu na juice na mengine mengi ya kuingiza kipato...
  9. King snr

    Ni pikipiki gani nzuri kwa bodaboda?

    Habari zenu wakuu, Naomba kujua pikipiki nzuri kwa ajili ya boda boda nahitaji kununua pikipiki used nijaribu biashara ya bodaboda
  10. M

    Kama Wabunge wana Magari yao ya 'Kifahari' unadhani ni kwanini hupenda Kutumia 'Bodaboda' na 'Bajaji' tena Nyakati za Usiku tu wakiwa Dodoma?

    Hatimaye Spika Ndugai Uvumilivu umemshinda na kaamua Kuwaonya Wabunge wanaopenda Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' wakati wana Magari yao tena ya 'Kifahari' kabisa kuwa yakiwakuta ya kuwakuta Wasilaumu. Chanzo: Daily News Ukurasa wa Pili Na nyie Wabunge ifike muda mjitathmini hivi Magari yenu...
  11. The Mongolian Savage

    Nawachukia sana waendesha bodaboda

    Yeereeeeeh, Tulisifika sana enzi zetu sisi mashamba boy, Houseboy na Wabeba zege. Mara ghafla miendesha bodaboda ikaja na kuchukua heshima na hadhi yetu ya kuridhisha wasioridhishwa. Siku, miaka na maisha yanaenda kasi sana.
  12. The Boss

    Mkeo ana bodaboda wake?

    Ukisikia mama au dada anakwambia ngoja nitamtuma 'bodaboda wangu' basi ujue huyo Bodaboda wake ni bodaboda wake kweli kweli. Ninamjua mdada ambae anamtuma bodaboda wake kumtolea hela Kwa ATM. Kuna mmoja aliniletea bidhaa nikatakiwa nimrushie zaidi ya 300,000, nikamwambia makato upande wako...
  13. Regent

    Bodaboda ya mkataba faida inapatikanaje?

    Wadau naomba kuuliza anayechukua bodaboda ya mkataba ili kumpelekea kilasiku hesabu Boss 10,000 anaweza kuingiza Tzs ngapi kwasiku akifosi kwelikweli, sehemu ya kazi mtoni kijichi.
  14. kavulata

    Ipo siku ambayo vijana watakuja kugundua kuwa bodaboda zinawaumiza na kudai kupewa Kazi nyingine salama

    Utafiti mdogo niliofanya kuhusu ukosefu was nguvu za kiume miongoni mwa vijana unaonyesha kuwa vijana wanaofanyakazi ya bodaboda wanakabiliwa na upungufu was nguvu za kiume kwenye umri mdogo. Na tatizo ni kubwa kwa wale wanaobeba mishikaki (abiria zaidi ya mmoja) na mizigo mikubwa, kwakuwa...
  15. Elisha Sarikiel

    Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

    Ilikuwa siku ya Ijumaa 19.2.2021, ni siku nyingine ya kukumbukwa, katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Dar-Es-Salaam, lililoko Barabara ya Sam Nujoma; pale ambapo jumla ya wahusika 84 waliposhiriki katika kufungwa kwa Ndoa 21, zilizofungwa kwa pamoja katika Ibada ya Ndoa...
  16. Requal

    Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

    Habari za jioni wakuu Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali.. Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha...
  17. Mlenge

    Kiwanda cha Bodaboda

    Kiwanda cha Bodaboda Ikiwa kichwa cha habari kimekufanya uwaze mitambo ya kutengeneza pikipiki, karibu kwenye mada. Mada hii si kuhusu mitambo ya kutengeza pikipiki (factory). Mada hii inahusu watoa huduma za usafiri wa bodaboda. Mafundi wa pikipiki za bodaboda. Watumia huduma za bodaboda. Na...
  18. Miss Zomboko

    MOI: Kuna ongezeko la Wagonjwa wengi watokanao na ajali. Nusu ya Wagonjwa ni ajali za bodaboda

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI), imesema imekuwa ikiwapoteza wagonjwa kati ya wawili hadi watatu kila mwezi katika Idara ya Wagonjwa wa Dharura kutokana na ajali zikiwamo za pikipiki. Ofisa wa Takwimu wa MOI, Joshua Ngahyoma, aliiambia Nipashe...
  19. B

    Tetesi: bodaboda mjini zilindwe

    Ni wakati sasa wa serikali kutunga sheria rafiki kwa bodaboda wanaofanya kazi maeneo ya mjini kwa kuwatambua na kuwapa utambulisho maalumu ili kuondoa hadha ya kusumbuliwa na askari polisi na askari wa jiji, kwani kwa sasa bodaboda anaweza akakamatwa akalipishwa fani ya zaidi ya laki na zaidi...
  20. Fya-fyafya

    Ona hapa aina mbili mpya za wizi wa pikipiki ulioshamiri mijini

    Hapa Nchini kumekuwepo na wimbi kubwa la wizi wa pikipiki hasa pikipiki aina ya Boxer. Tena baada ya uzuka kwa ugonjwa wa Kirona, ndo hali imekuwa mbaya. Watu (bodaboda) wengi wamekuwa wakilizwa mara kwa mara. Kwa nini pikipiki aina za boxer ndo zimekuwa zikishambuliwa sana kuibiwa? Wengi...
Back
Top Bottom