Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,817
Polisi wa kituo cha Maturubai wamegonga Dereva pikipiki maeneo ya Mtongani, Dar karibu na kituo cha msikitini wakiwa na ist T 149 DTZ. Dereva wa bodaboda alivunjika miguu yote miwili katika ajali hiyo.
Baadae walimpeleka hospitali ya Temeke na kumtelekeza bila matibabu tangu saa saba mchana, wadau wameomba mamlaka husika msaada juu ya wahusika na kwa majeruhi ambae hajahudumiwa mpaka usiku huu.
Wamedai wanao ushahidi wa ajali husika kama video.
Baadae walimpeleka hospitali ya Temeke na kumtelekeza bila matibabu tangu saa saba mchana, wadau wameomba mamlaka husika msaada juu ya wahusika na kwa majeruhi ambae hajahudumiwa mpaka usiku huu.
Wamedai wanao ushahidi wa ajali husika kama video.