Video: Bodaboda asababisha Ajali

Jana tu asee maeneo ya jirani na mataa ya tanki bovu, kuna jamaa alitaka kunisababiahia ajali Haki Ya Mungu... Ni vile Mungu alikuwa upande wangu nikatoka nikamuachia njia nilicontrol piki piki na kuvua gear mpaka nikasimama nikiwa nje ya barabara... Jamaa alivyoona vile akakimbia pia na pikipiki yake akageuza .. Ila ni Mungu tu
 
Katika kitu nimefanikiwa ni kuacha kbs kupanda boda boda
Wewe umeacha, ila Nina uhakika familia Yako haijaacha!! Akina mama,dada zetu, na watoto wetu wanaopandishwa bodaboda na mama zao ni hatarishi Zaidi!! Akina mama huwambii kitu na bodaboda!! Unakuta mijimama mwili mkubwa akili zero wamajipakiza bodaboda wakiwa majimishikaki!! Wawili na mtoto mdogo katikati, my Goodness!! Ila ndio mwanasiasa mkubwa alisema kama ni mtu na mpenzi wake wacha wafe Pamoja!! Sijui tunakwenda wapi
 
Back
Top Bottom