Bodaboda wadai kulipwa ili waandamane, wamesema Wanasiasa wote wanawatumia

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,310
Mwenyekiti wa bodaboda wilaya ya Ubungo Dar es Salaam, amesema kwamba baadhi ya vijana wake wa bodaboda walifuatwa na kuahidiwa kupewa mafuta na posho ili washiriki kwenye maandamano lakini kwa mujibu wake yeye alikataa kushiriki.

ANGALIA VIDEO HAPA



Source - EastAfricaTv
 
Mwenyekiti wa bodaboda wilaya ya Ubungo Dar es Salaam, amesema kwamba baadhi ya vijana wake wa bodaboda walifuatwa na kuahidiwa kupewa mafuta na posho ili washiriki kwenye maandamano lakini kwa mujibu wake yeye alikataa kushiriki.

ANGALIA VIDEO HAPA

View attachment 2896761

Source - EastAfricaTv
😂😂😂Wanaanzaje kulaaniwa
 
Back
Top Bottom