Mwenyekiti wa bodaboda wilaya ya Ubungo Dar es Salaam, amesema kwamba baadhi ya vijana wake wa bodaboda walifuatwa na kuahidiwa kupewa mafuta na posho ili washiriki kwenye maandamano lakini kwa mujibu wake yeye alikataa kushiriki.
ANGALIA VIDEO HAPA
Source - EastAfricaTv
ANGALIA VIDEO HAPA
Source - EastAfricaTv