luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Yani imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu.
Ukiaa kidogo maraa paaaaaaa! Ukigeuka tu kidogo tena mara puuuu puuuuu, yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya maamuzi kushindwa kulikemea tabia hii Chafuuu ambayo sasa imekuwa ni sugu haopa Shinyanga.
Na naaamini hata uongozi wa manispaa wanasikia hizi kero za bodaboda ila ni kutokujali tu na kuliona sio jambao la umuhimu.
Ukiaa kidogo maraa paaaaaaa! Ukigeuka tu kidogo tena mara puuuu puuuuu, yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya maamuzi kushindwa kulikemea tabia hii Chafuuu ambayo sasa imekuwa ni sugu haopa Shinyanga.
Na naaamini hata uongozi wa manispaa wanasikia hizi kero za bodaboda ila ni kutokujali tu na kuliona sio jambao la umuhimu.