Donald Clayborn "Don" Sleet (November 27, 1938 – December 31, 1986) was an American jazz trumpeter. He was a member of Howard Rumsey's Lighthouse All-Stars and Lenny McBrowne and the Four Souls. Widely considered a gifted musician, compared to the likes of Art Farmer and Kenny Dorham, Sleet had a short career as a result of his drug abuse, recording only one album as a leader.
Kuna ukweli wowote kuwa kuna baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?
Kumekuepo na story nyingi mtaani hasa kwa vijana na wazee kuwa kulala na kila mwanamke unaweza pata mikosi.
Kuna yeyote alishawai kutana na hichi karibu tushare..!
Elimu inahitaji kuzingatia utofauti na usawa. Uongozi bora unahitaji kuheshimu na kuthamini tofauti za kitamaduni, kijinsia, na kiuchumi. Shule na vyuo vinapaswa kujenga mazingira ya kujifunza yenye usawa, kuhakikisha upatikanaji sawa wa elimu kwa wote, na kutoa fursa sawa za uongozi. Pia, elimu...
Mara nyingi, tunapozungumzia afya, tunawaza tu juu ya upatikanaji wa huduma za matibabu na jinsi ya kudumisha afya yetu binafsi. Hata hivyo, afya ni zaidi ya hilo, Ni muhimu kutambua kwamba uwajibikaji wa kiafya hauhusiani tu na kujali afya yetu binafsi, bali pia kwa kugusa sehemu kubwa ya...
Elimu ni jumla ya maarifa aliyonayo mtu yanayomuwezesha kutatua changamoto za maisha yake ya kila siku. Elimu si ile tu inayopatikana shuleni na vyuoni bali ni maarifa yote yapatikanayo katika mazingira husika au mazingira yanayo tuzunguka.
Elimu ni kitu muhimu sana katika mapinduzi ya kifikra...
Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?
Poleni wananzengo,
Si vibaya kukumbuka nyakati zilizopita pindi tukiwa watoto wadogo ukiachana na maswali ya kidadisi kama vile "Eti mama mimi nimetoka wapi?"
Je ulishawahi kuwaza nini kipindi cha utoto wako ukaja gundua sio kweli ulivyokuwa ukihisi?
Mfano mimi nilijua watu wazima hawaendi...
Wazee wenzangu
Wazeee wa bata
Wazeee wa location
Tuambiane sehem gani zinabamba kipindi hiki cha sikukuu
Bata yako utakulia wapi
Mimi leo niko slip way hapa nashangaa watoto wazuri
Krismas nitakuwa 5n
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.