Ndugu samahanini kwa usumbufu,.nina mdogo wangu kahitimu kidato cha nne,ufaulu wake ni Division III(24)
(kiswahili, english, history, geography)-𝐂
(civics, biology, phyisics, chemistry)-D
mathematics-F
Kwa huu ufaulu je aaply coarse ipi yenye uhafadhari kwa hali ya sasa kwenye vyuo vya...
Habari za zenu Wana Jf
Throw back Tuesday
Ilikuwa mwezi wa 12 miaka mingi kidogo nyuma baada ya kwenda likizo Morogoro tulifikia kwa baba mdogo ambaye alikuwa anaishi maeneo ya tazara
Siku moja majira Kama ya saa 8 au 9 baada ya kula msosi nikawa nimekaa kwenye kibaraza Cha mbele ya nyumba...
Elimu ni jumla ya maarifa aliyonayo mtu yanayomuwezesha kutatua changamoto za maisha yake ya kila siku. Elimu si ile tu inayopatikana shuleni na vyuoni bali ni maarifa yote yapatikanayo katika mazingira husika au mazingira yanayo tuzunguka.
Elimu ni kitu muhimu sana katika mapinduzi ya kifikra...
RISE UP ( AMKAA) sehemu ya kwanza
***********************************
***********************************
Niliendelea kukimbia huku nikianguka na kusimama maana nilikuwa najikwaa kwenye mawe yaliyoijaza hii njia ndogo, giza nene lililotanda juu ya uso wa nchi lilikuwa ni kikwazo kikubwa katika...
UTANGULIZI.
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na changamoto kubwa ya watu wengi kupata maumivu ya viungo sehemu mbalimbali za mwili. Zipo sababu nyingi zinazosababisha watu kupata matatizo ya kumwa viungo vya mwili lakini sababu moja wapo ni ukosefu wa elimu ya Ergonomics.Kwa...
Asalaam wakuu,
Kama binadamu nimekuwa najikuta nateseka sana kuishi kwenye hii dunia hasa kwenye jamii yangu ambayo inanifanya nipate huduma muhimu tu kama binadamu
Kwa muda mrefu sijui imeanza lini lakini huwa nafikili ni vipi kama haya maisha yote ninayoishi ni ndoto
Katika maisha yangu...
Kwema wana JamiiForums?!!!
Nadhani karibia kila mmoja atakayesoma uzi huu tangu umezaliwa umekuta watu wakitumia neno CHIPS na umekuwa ukilitumia kwa kipindi chote cha maisha yako. Labda kama ulikuwa hufahamu basi tambua kuwa neno mbadala la Kiswahili ni VIBANZI.
Hivyo basi kuanzia leo ukienda...
Baada ya kufunga chuo Likizo ya Mwezi wa kumi na bee nikiwa Fas ya Kijenge juu Chugamaican nikaamua kutimba Tripple A FM kucheki izo mbishe na mbanga za field bablae,,
Picha linaanza chaliako nimepiga suruali angu flani imeminywa kule danta ime tight kisolo na T-shirt flani oversize tunaitaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.