Kuna ukweli wowote kuwa baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?

Kuamini mikosi ni uzwazwa.

Let's play dumb and assume mikosi Ipo, hiyo mikosi wanapata wanawake tu? Wanaume hawapati?

Kama ukilala nao unapata mikosi basi wapo wengine ukilala nao unapata Baraka. To every action there's an equal and opposite reaction. Unawajuaje?

Endelea kuchakata acha uzwazwa.
 
Kuamini mikosi ni uzwazwa.

Let's play dumb and assume mikosi Ipo, hiyo mikosi wanapata wanawake tu? Wanaume hawapati?

Kama ukilala nao unapata mikosi basi wapo wengine ukilala nao unapata Baraka. To every action there's an equal and opposite reaction. Unawajuaje?

Endelea kuchakata acha uzwazwa.
🤣🤣🤣🤣
 
Kuamini mikosi ni uzwazwa.

Let's play dumb and assume mikosi Ipo, hiyo mikosi wanapata wanawake tu? Wanaume hawapati?

Kama ukilala nao unapata mikosi basi wapo wengine ukilala nao unapata Baraka. To every action there's an equal and opposite reaction. Unawajuaje?

Endelea kuchakata acha uzwazwa.
 
Niligongana na mdada 24hrs ninae nimemficha,saa kumi mchana nikaweka Mkeka makamalia wanaojua...Aaasee nilipiga Millions 3 na laki sitaa na takatakaa!

Duh! Nilimpa laki akalee anachotaka huko aendakoo,Koo Ipo hiyoo...wengine utashaangaa ukitoka kumlaa tu simu za kukopwa pesa zinafululiza tu tena ambao Soo wakurudisha baba mkwe mfanooo.
 
Back
Top Bottom