Nasikia ni hatari Sana Gonogono ni mkosi aisee,
chezea kukojoa huku unalia....
Malaya yeyeto hana baraka sababu kifua chake kimebeba laana na mikosi kama dustbin la kila mwanaume kutupia uchafu wake humo na kuchukua wa mwingine mnajikuta mmshare mikosiutamjuaje ana kibandiko usoni? umejiona mwanamke umetongoza umekula mzigo unakuja kutahamaki ana mkosi kaz unayo
Both mwanamke na mwanaumeMalaya yeyeto hana baraka sababu kifua chake kimebeba laana na mikosi kama dustbin la kila mwanaume kutupia uchafu wake humo na kuchukua wa mwingine mnajikuta mmshare mikosi
🤣🤣🤣🤣gono ni mkosi aisee,
chezea kukojoa huku unalia....
🤣🤣🤣🤣Kuamini mikosi ni uzwazwa.
Let's play dumb and assume mikosi Ipo, hiyo mikosi wanapata wanawake tu? Wanaume hawapati?
Kama ukilala nao unapata mikosi basi wapo wengine ukilala nao unapata Baraka. To every action there's an equal and opposite reaction. Unawajuaje?
Endelea kuchakata acha uzwazwa.
Kuamini mikosi ni uzwazwa.
Let's play dumb and assume mikosi Ipo, hiyo mikosi wanapata wanawake tu? Wanaume hawapati?
Kama ukilala nao unapata mikosi basi wapo wengine ukilala nao unapata Baraka. To every action there's an equal and opposite reaction. Unawajuaje?
Endelea kuchakata acha uzwazwa.
Ndo maana kuwa makini sana na utakaeingia nae ndoani.Both mwanamke na mwanaume
Wanakua wamebeba spirit kibao🙌
Hao wenye "elimu zao" wanapatikana wapi!?Ndo maana kuwa makini sana na utakaeingia nae ndoani.
Waone wenye elimu zao wakuambie kama ni mtu sahihi au sio sahihi
Aah mi naomba mwenyeweNdo maana kuwa makini sana na utakaeingia nae ndoani.
Waone wenye elimu zao wakuambie kama ni mtu sahihi au sio sahihi
Acha uongo rafiki yangu hataki kuoa na ananunua malaya kaongezewa mkataba wa kazi na mshaharaMalaya yeyeto hana baraka sababu kifua chake kimebeba laana na mikosi kama dustbin la kila mwanaume kutupia uchafu wake humo na kuchukua wa mwingine mnajikuta mmshare mikosi