Wengi mnasema Leonardo ataondoka na pesa hizo yote ni kwa sababu jamaa hajawahi kupondwa hata kidogo maana tangia Cheka tu ianze jamaa amekuwa akishangiliwa kila wakati ni kweli mshikaji Yuko vizuri hata asiposhinda akiamua awe stand up comedian atafika mbali pia lakini kuna mashkaji...
Ina
Ina maana unavyosema kuna njia ya kuzimu manaake ni kwamba shetani anavyotaka kuja kupiga michongo yake duniani huwa anatumia njia yake ya kariakoo shimoni
Kuna jamaa yetu mmoja alikuwa ni dereva bajaji usiku anapiga ruti zake za kawaida maeneo ya mbeya stand kuu akaiona pisi moja Kali iko stand Kama inasubiria usafiri akaipita akapeleka abiria anarudi anaikuta iko palepale akasimamisha bajaji akaifuata kujua kulikoni muda wote iko pale inamsubiria...
Video ya ngono iki leak mwanamke aliyomo kwenye hiyo video huwa haangaliwi vizr na jamii yake tofauti na mwanaume aliyehusika pia kwenye hiyo video.
Mwanamke atataniwa kwa aina ya matusi na utani na sometimes inaweza kumpelekea msongo wa mawazo mwisho kujiua lakini kwa upande wa mwanaume yeye...
Asikuambie mtu jamani njaa ni hatari Sana sikia tu kwa wenzako. Omba isikukute Mara ya Kwanza nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwizi kaingia kwenye nyumba ya mtu kapakua wali na maharage kwenye sufuria kajilia halafu kasepa na hajaiba chochote zaidi ya wali
Njaa sometimes inafanya akili iruke...
Daah aisee movie za kihindi zamani zilijua kutukamata kulikuwa hakuna watafsiri lakini tulizielewa balaa.
Miaka ya 80's huko wazazi wetu na wenyewe walikuwa na mastaa ambao waliwakubali Kama Dharmendra, Amitha Bachan, Shratugansina, Mithun chaklaboth, jitendra, huku maqueen wao wakiwa Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.