Probably huna hela/mtaji mkubwa wa kufanya biashara, hiyo haitakiwi kukuzuia usitajirike Kuna namna 'nature' inaweza kukuAccomodate kwa kdg ulichonacho kupitia
MINYORORO YA THAMANI
1. Kama kuna fursa ya kufungua restaurant, sio lazima ww ndo umiliki hiyo restaurant. Fukuzia deal ya kuuza...
Karibuni Sana Marafiki zangu Damdam!!
Kama hukubarikiwa kipaji huna option nyingine zaidi ya kuwa na bidii.
Ukizaliwa na kipaji, its God given, huna option nyingine zaidi ya kutumikia hiko kipaji.
Hutumii nguvu, yani effortlessly. Hutoki jasho kbs.
Mwangalie Messi, mwangalie Kiba...
Karibuni Sana
kwenye JUKWAA LETU LA (Stories of Change) Tujifunze - Teulemike & Tubadilishane mitazamo.
Naamini 99.9% umaskini unarithishwa sawa tu na utajiri unavyorithishwa. Na wala hii sio breaking news 'tajiri huongezewa, maskini hupungiziwa'~
BAADHI YA VITU NITAKAVYOWAFUNDISHA WANANGU...
Salute Wakuu;
Matumaini yangu hamjambo, Wakuu Leo nataka ushauri kuhusu safari ya kwenda (London) Uingereza.
Mimi wazazi wangu (Baba na Mama) wanaishi Huko London lakini kwa bahati Mbaya mimi mtoto wao mpaka Leo hawajanifanyia mpango ata wa kwenda kutembea but wao huja huku as Holiday...
Habari wakuu,
Mimi ni mjasiriamali mdogo nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza Flana na kofia (sare) za chama kama vile CCM na CHADEMA na ACT wazalendo kwenye mikutano Yao.
Je Kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu hii biashara?
Nawasilisha na Shukurani.
HABARI WAKUU,
KARIBU KWENYE MADA;
UKWELI ambao pengine una kushangaza ni kuwa matajiri wengi hupenda kusimulia nyakati zao za giza. Kipindi ambacho maisha yalikuwa magumu, yenye mateso, manyanyaso na taadhira.
Upande wa pili, maskini wengi hujitahidi kwa kila namna kuficha aibu zao. Watu...
Habari wakuu!!
KARIBU kwenye mada yetu ya Leo,
Katika maisha kila mtu anakitu au jambo fulani ambalo wengi wetu tunatamani kufanya Leo nataka tujuzane au tufundishane kuhusu hilo na pia tushauriane.
Kama kuna mtu utashare nae ndoto basi tupeane connections ili tuweze sote kufikia huko...
Familia ya Said Salim Bakhresa
Said Salimu Awadh Bakhresa ni mfanyabiashara mwenye mafanikio na uzoefu wa zaidi ya miaka 30 wa kusimamia kundi la kampuni za biashara. Yeye ni mwasisi na mwenyekiti wa Bakhresa Group of Companies. Alizaliwa mwaka 1949 na kukulia Zanzibar.
Bakhresa Group ni...
Namna ambavyo Jeff Bezos alivyounda kampuni ya Amazon na kuwa mtu tajiri zaidi duniani
Miaka 25 iliyopita Jeff Bezos , aliona kuwa hapo baadae kuwa mambo yatabadilika , maduka yatapoteza umaarufu na yatalazimika kutoa burudani ili yasifungwe.
Kutokana na wazo lake hilo alitengeneza kampuni...
1. Industrial and Commercial Bank of China
Benki hii ni kubwa na yenye uwezo zaidi duniani ikijulikana kwa kifupi ICBC na ikiwa na raslimali za zaidi ya Dola tril. 3 na thamani ya masoko ya Dola bil. 215. Iko sehemu zote isipokuwa Afrika na Antarctica.
2. China Construction Bank Corporation...
Joseph M. Kusaga
Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni...
Nukuu muhimu za Mo Dewji
Mara kwa mara, hutoa ushauri, na pia huwa hafichi upendo wake kwa klabu ya Simba FC ambayo ndiye mdhamini wake mkuu.
Ijumaa wiki iliyopita, aliandika: "Kila jambo unaloogopa, Mungu ana mpango wake. Mungu ni mkuu kuliko hofu uliyonayo. Ana mamlaka na maisha yako ya...
Habari Wakuu
Naomba ushauri wenu mimi ninandoto yakua tajiri kama mfanyabiashara Said Salim Bakhresa.
Je, nifanye nini ili nifanikiwe Kimaisha?
Toa maoni yako hapo [emoji116][emoji116]
Salute wakuu!!
KARIBU: Siri 5 kubwa Za Mafanikio Bila Utegemezi
Kila binadamu ameumbwa na kiu ya kufanikiwa katika kila kitu anachofanya. Mafanikio ndio kilele cha mlima mkubwa wa maisha ambao umejengwa kwa misingi na ngazi za mihangaiko na mitihani ambayo unapaswa kuivuka ili upumzike kwenye...
Salute wakuu!!
Jifunze haya toka kwa Jack Ma: Bilionea aliyekataliwa mara nyingi zaidi
KARIBU
Tujifunze kutoka kwa ‘Ma Yun’ maarufu kwenye ulimwengu wa biashara ya mtandao kama Jack Ma. Bilionea kutoka China mwanzilishi na mwenyekiti mtendaji wa Alibaba Group, moja ya familia ya biashara ya...
Salute!!
Ten Tanzanian Multi-Millionaires You Should Know
The number of Tanzania’s centi-millionaires continues to grow substantially as economic growth in the country outstrips that of other countries in the East African region.
Apart from the easily recognizable names like Mohammed Dewji...
Instagram ya Ronaldo: Atengeneza Tsh Bilioni 2 kwa kila post ya udhamini
KARIBU
Nyota wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo, ametakiwa kukodisha akaunti yake ya mtandao wa Instagram kwa dau nono kwa muda wa mwaka mmoja.
Shirika kubwa la uwekezaji la Marekani lilimpigia simu nyota huyo na...
Sasa unaweza kununua roboti kutoka Boston Dynamics kampuni inayomilikiwa na Softbank.
Karibu
Tuliandika mengi kuhusu roboti anayetengenezwa na kampuni ya Boston Dynamics. Kampuni ya Boston Dyanamics ishawahi kumilikiwa na Google kwa miaka mingi (2013 – 2017) kabla ya kuuzwa mwaka mwaka 2007...
Salute wakuu !!
KARIBU kwenye Jukwaa letu la Biashara, Uchumi na Ujasiriliamali. Leo nimekuandalia Biashara 10 ambozo ukizifanya zinaweza kukuleta mafanikio makubwa sana.
Biashara Kumi (10) Unazoweza Kuanzisha na Kufanikiwa Kimaisha.
Mwaka huu 2020 ni mwaka ambao moja ya malengo ambayo kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.