Chama cha walimu Tanzania imefika mahali kiamke na kuwa "active" sasa!! Kuna ujinga mwingi sana unafanyika dhidi ya wanachama wake lakin hakuna tamko wala kauli ya kukemea inayotolewa!! Mimi sio mwalimu ila nafikiri kuna tatizo ndani ya CWT.
Haiwezekani mwalimu anakatwa sehemu ya mshahara wake...
Ramadhani, miaka 14 aliyemaliza darasa la saba mwaka huu shule ya msingi kingodi iliyopo kata ya lembeni siku wilayan mwanga leo mchana mida ya saa tisa amejeruhiwa miguu kiacha kwa kuwa huenda ikakatwa baada ya kusagwa na katapila la mgodi huo!??
Kwa mujibu wa mashuhuda!! Ramadha ( jina la...
Kwanza!!! Mimi sio mpenzi wa mchezo wa soka kabisa!!? Kwa ngazi yoyote!! Sana sana world cup tuu niambiwe matokeo lakini sio kutumia dk 90 kuangalia mpira!!!
Mm ni mpenz wa old school music hasa wa dansi wa hapa home na kongo!!
Ni ukweli hili nimelipata mahali ambapo kuliko baadhi ya watu ambao...
Wazeee age between 40s to 60s mbona upo karibu sana!?? Au ni uoga wa kustaafu!!! Daaah!!! Hatari!halafu katika age hii kamshahara kaserikali kanazidi utamu aisee
Direct naingia kwenye mada!! Mh nafasi yako unaiweka rehani!! Kuna hitilafu mahali hasa jeshi LA polisi!!! Kwann mambo yapo kama tunavyoyaona!?? Ni nidhamu kushuka au wapi tatizo!??
Kuna matukio yanashangaza sana huku mitaani!!!
Yakupasa kusimamia nidhamu ndani ya idara zako kinyume na hapo kiri...
JK Nyerere kwa kinywa chake aliwahi kesema (baada ya kustaafu) kwamba alijutia kutaifisha baadhi ya mambo ikiwamo mashamba ya mkonge Sisal estates!!! Kiukweli ukifika kwenye hayo mashamba mfano Tanga, Mwanga, Same nk utaona kweli kuna kitu au uwekezaji ulifanyika hapo.
Ikaja awamu yingine...
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya Malori jamii ya FUSO.
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya Watanzania wengi!! Yaani kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nini.
Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa...
Nilikua najiuliza kwann kuna baadhi ya watu hulipuka kwa shangwe pindi walinzi wetu wa usalama wanapopata shida mbalimbali kama vile kuuwawa na kufa katika ajali nikawa siekewi kwann watanzania tunafurahia (baadhi ) huwa na raha kiasi hicho!Kwa sasa naanza kuona mwanga.
Tangu wakati wa mauaji...
Nitoe hongera kwa uwekezaji wa hotel /motel zilizopo Korogwe zinazohudumia Wasafiri wa kutoka Dar-Arusha.
Kiukweli japo bei ya vyakula ni juu kiasi ila nimeupenda huu uwekezaji, nashauri na maeneo mengine waige uwekezaji huu mzuri.
Kiukweli huu ni ujinga kabisa!! Sina salio la mtandao ila benk nina pesa sasa nikitaka kuingia NMB mobile ina shindikana huu ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa!!
Sasa nmb mobile hii huduma ina maana gani? Yan aliyeleta huu utaratibu ni mpumbavu sana sana!! Kwann hafikiruu kuna watu tupo...
Kumekucha sasa !!! Wanaojua sheria wanaanza kutuadhibu vilivyo!!!
Wanatudai pesa hizo na wameshafungua mashauri katika mahakama za kimataifa.
Mashitaka hayo ni kutokana na serikali ya Tanzania kuvunja mikataba july 2017 !!!
Kuna kila dalili za makampuni aina hii kufungua mashauri katika...
Katika soma soma yangu ya vitabu nimeona picha ya Mzee Kaunda Keneth almaarufu KK. Hiyo picha alipigwa 1928 akiwa mtoto huku ametika mavazi decent pamoja na viatu!!! Hakika mh Kaunda alioendeza sana.
Ni dhahiri alitoka Royal family kwa mwaka 1928 kuvaa vile haikuwa mchezo aiseee.
Pia Jirani...
Kikweli sisi tulioishi miji mikubwa kama Dsm na kisha tukasarenda na kurudi vijijini au wilayan mwanzon tuliona ni dhihaka na aibu lakin kadiri muda unavyokwenda mimi situjii kabisa uamuzi niliouchukua!!!
Nikitembea miji kama Dsm natamani watu wengi wajaribu kufata nyayo zangu,sina mafanikio...
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha...
Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:
1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha...
Nimesoma mahali, serikali ina mpango wa kutoa viwanja vya ujenzi wa nyumba binafsi kwa askari polisi ili wasifedheheke pindi wanapostaafu.
Rai yangu ni kwamba hili liende kwa watumishi wote isiwe kwa polisi tu.
Hainiingi akili kuwa askari anaelipwa mshahara, posho ya shiling 300,000/, pesa ya...
Wajerumani hatimaye wamekiti ukatili walioutekeleza 1904 - 1908!
Nimeogoppa kabisa kusikia hii yan waliua 80% ya haya makabila yani nihatari it wa pure genocide! Japo fidia walioitoa hatasaidia kitu lakini hata kikubwa wamekiri na kuonesha walikosea kuna wakati niliona documentary kwenye...
Nakumbuka wakati tunakua miaka ya 90s kulikua na Taifa Cup ambapo mikoa yote ilishiriki na wachezaji wakubwa pia walishiriki hii iwaweza ufufua.
Vipaji na kuonesha uzalendo uliofufuka! Pia mashindano hata yasiishie kwenye soka tuu Bali ile ni michezo mingi mfano netball, basket, riadha, ngumi...
Wanabodi ,kama sio Mali ni Chad, kama sio Chad ni Niger, kama sio Niger ni Gambia, kama sio huko ni Burkina Faso, kama sio Burkina Faso ni Ivory Coast nk
Tatizo ni Nini!? Je, Poor administration structure (mfumo mbovu aliocha mfaransa) au ni ujasiri na utovu wa nidhamu wa wanajeshi wa mataifa...
Wanabodi nakaaa tafakari nn kifanyike kupunguka kama sio kuondoa kabisa hill tatizo!??
Najaribu kutafakari kwa kina naona wanaopewa dhamana ya kuongoza nchi hawalichukulii kwa uzito unaostahili tatizo hili!!!huwa wanakuja na majibu mepesi mno mno, mfano unakuta kiongozi anasema fanyeni kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.