road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
Chama cha walimu Tanzania imefika mahali kiamke na kuwa "active" sasa!! Kuna ujinga mwingi sana unafanyika dhidi ya wanachama wake lakin hakuna tamko wala kauli ya kukemea inayotolewa!! Mimi sio mwalimu ila nafikiri kuna tatizo ndani ya CWT.
Haiwezekani mwalimu anakatwa sehemu ya mshahara wake lakini pindi anapokutwa na dhihaka kutoka kwa viongozi wapumbavu wasio na weledi na utu chama kisitoe tamko na kulaani udhalilishaji dhidi ya mwanachama husika.
Mfano ni huko mtwara!! Mkurugenzi mkumvua cheo mwalimu mkuu kisa hajachangia pesa kwenye harambee iliyoitishwa na mbunge. Tena mbele ya wananchi? Halafu wananchi wakashangilia!! Hii ni mbaya sana!! Viongoz wapumbavu wasio na busara aliyotuachia magufuli ndio hao!! Nilijisikia vibaya sana kwa kweli.
Yaani hata kama mwalimu alishindwa kujiongeza hata kutoa ahadi hewa lakini hakupaswa kudhalilishwa hivi mbele ya kadamnasi!
Haiwezekani mwalimu anakatwa sehemu ya mshahara wake lakini pindi anapokutwa na dhihaka kutoka kwa viongozi wapumbavu wasio na weledi na utu chama kisitoe tamko na kulaani udhalilishaji dhidi ya mwanachama husika.
Mfano ni huko mtwara!! Mkurugenzi mkumvua cheo mwalimu mkuu kisa hajachangia pesa kwenye harambee iliyoitishwa na mbunge. Tena mbele ya wananchi? Halafu wananchi wakashangilia!! Hii ni mbaya sana!! Viongoz wapumbavu wasio na busara aliyotuachia magufuli ndio hao!! Nilijisikia vibaya sana kwa kweli.
Yaani hata kama mwalimu alishindwa kujiongeza hata kutoa ahadi hewa lakini hakupaswa kudhalilishwa hivi mbele ya kadamnasi!