Habari za jioni wakuu.
nimeona hii title inaweza kuendana na mada yangu ila kikubwa niwashauri ndugu zangu wana jf tumtangulize MUNGU kwa kila jambo kabla ya kuanza shughuli zetu, siku moja tu ina thamani sana kwenye kupambana kwa bidii kutafuta pesa.
Naomba nisisitize hapa "TUTAFUTE PESA KWA...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza ni exactly kilichonitokea na kinachoendelea kunitokea.
Mimi siyo mtaalam wa mambo ya wanawake, so katika hili sifahamu, "hivi mwanamke akiwa period anakuwa na tabia kumchukia mpenzi wake?[emoji120][emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake sasa hivi wamekuwa yaani ni kama wana side mirror hivi kwenye macho yao, sharauti kwa wale madem ambao ukiwaita wakipiga macho mbele ni mbele hawakuchungulii kwa pembeni[emoji123]
kuna watu wanajiuliza side mirror ninazozizungumzia ni zipi? jaribu...
kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Ni utafiti ambao, umefanywa na unaendelea kufanywa na watu, ambao ni wahanga wa hiki kitendo(hili janga) ambao either ni wapenzi wa huu mchezo, ambao wamechoshwa na hiki kitendo au wale ambao wanatamani kuacha lakini wameshindwa kabisa kuacha.
Makala hii...
Vijana sasa hivi wimbo wa taifa ni ngono, Ngono imekuwa na mvuto kiasi kwamba inatawala kila kitu. Naizungumzia ngono isiyo rasmi maana tusichanganye hapa, nazungumzia uasherati na uzinzi na wala siyo tendo la ndoa, nafikir nimeeleweka.
Nimezungumzia vijana lakini hasa nalenga jinsia me, jinsia...
Hapa nazungumzia imani ya kikristo na kiislam juu ya upendo, hasa upendo wa Agape(yaani upendo wa mtu kuutoa uhai wake kwaajili ya wengine)
baada ya kuwa na mijadala kadhaa na baadhi ya wajuzi wa Quran tukufu, nimepata kugundua kuwa upendo wa Agape ni dhambi kwa uislam. wanadai kwamba uislam...
Hii imetokea leo mitaa fulan huku Daslam.
Ipo hivii, jamaa na huyo mwanamke ni wapenzi wa muda mrefu sana, mahusiano yao yalifika mbali kiasi kwamba, huyu jamaa alifahamika na baadhi ya ndugu wa mwanamke.
jamaa alijitoa sana, alisaidia ndugu wa mwanamke. kingine ni kwamba, huyu mwanamke...
Bila ya kupoteza muda naomva niende moja kwa moja kwenye mada.
Mada yangu inachochewa na utafiti mdogo ambao nimeufanya kuhusiana na hii kitu ya kuitwa punyeto. punyeto ni kitu mbaya sana linapokuja swala la spiritual issues.
kuna kipindi nimewah kuandika mada inayohusu uraibu wa kupiga...
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.
Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini[emoji15] hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan...
wasalaam......! poleni na majukumu na wale ambao mnaendelea na majukumu, all the best. bila ya kupoteza time nying let me go straight kwenye mada.
Hili ni swala la imani, na ukizingatia imani zote mbili yaani ukristo na uislam unaongozwa au umejengwa katika misingi ya kiimani. kuna wale ambao...
Nimesoma taarifa fulani kwenye mtandao kwamba serikali kupitia mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA imeongeza uwekezaji katika kukomesha kabisa video za ngono almaarufu ponograph.
Binafsi sijaridhishwa na maamuzi ya serikali kwasababu;
1. Yapo mambo muhimu ya kufanya wakati tunapambana kuweka...
Iko hivi, wewe kwenye maisha ni mtu wa kulalamika tu, ukikaa vijiweni ni kulalamika tu oooh maisha magumu, Oooh serikali imetuacha, mara Mungu ameniacha, kwanini mimi?
Angalia, siri ya mafanikio yako ipo kwenye kutokukata tamaa, kupambana na kuamini.
Acha lawama za ajabu ajabu hazikusaidii...
Wakuu naomba muongozo, hivi uchawi una faida gani kiuchumi? Maana wanaosadikika na waliowahi kujulikana kuwa wachawi maisha yao ni duni sana kias kwamba hata kupumua wanashindwa.
Kuna majirani huu mtaa wanasadikika kuwa wachawi na mwingine nimemuona mida ya saa 6:15 hivi usiku (yaani siyo mda...
Ndiyo hii haiitaji maelezo mengi, kama kichwa kinavyojieleza "Nimeshindwa kuacha punyeto" nimejikuta naskip tu siku lakini siku mizuka ya punyeto ikija nashindwa kujizuia.
Nakirusha tu shwaaa, dah unyamaa sana. Mliobarkiwa karama za maombi mtuombeee please, hali ni mbaya.
========
Ushauri wa...
Wasalam wakuu..[emoji120]
Ndugu zangu ninawaomba mnipe mwongozo tabia ya mzee nowdays imechange kinoma kufikia hatua kuanza kunitisha.
Siku ya jumapili huwa watoto tunakutana kwa mzee kwaajili ya kuweka mambo sawa. Sasa jumapili ya jana tulikutana kama ilivyo ada, tukapata chakula cha mchana...
Maisha yametawaliwa na changamoto, itategemea na ukubwa wa changamoto zenyewe lakin changamoto hazikosekani kwenye maisha Never.
Angalia tukizungumzia changamoto kwenye mahusiano.
Utakuta kwenye mahusiano either boy or girl anapitia changamoto za maumivu kwenye mahusiano. Anampenda mwenzake...
Ndugu zangu kama kichwa kinavyojieleza.
Mimi tokea nimezaliwa, mpaka najitambua nafikia umri wa miaka 24 mimi simjui baba yangu kwa sura, siyo kwenye wala live. Niliwahi kumuuliza mama akaniambia baba yangu yupo mamtoni (Ujerumani) na ndiyo ndugu zake wanakaa huko.
Nilimuuliza kama baba yangu...
Sikia hii!
UTANGULIZI
Huyu bibie ni classmate o level miaka hiyoo, nilianza kufahamiana naye kipind nipo 4m III darasa la science A.
Tulifahamiana ghafla tu mara tukawa marafiki wakubwa, huyu demu katongozwa na watu wengi sana pale shule nikiwemo na mimi rafiki yake mkubwa lakin wapi...
Wakuu naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya social helth science. Yaan inahusiana na nini,upana wake na uhusiano katika soko la Ajira.
Natanguliza shukran zangu za dhati[emoji120][emoji120]
Wakuu ambaye yupo on air right now humu jf ajaribu kuchunguza time inavyoenda atagundua leo time unasogea taratibu kuliko siku zote.
Mim nimeanza kugundua mida ya saa saba kamili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.