Umoja wa ulaya hatimaye umeyaruhusu makampuni yake kununua mafuta ya Urusi kwa kufuata taratibu ambazo Urusi kaziweka.
Yetu macho na masikio.
EU gives companies green light to buy gas from Russia
European companies are starting to move ahead to comply with Russian demands and keep the gas...
Wanabodi habarini za hapa jukwaani.Kuna taarifa inasambaa sana kwenye magroup ya majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii.Taarifa inahusiana na maombi ya kazi ya sensa.
Ukiingia kwenye hiyo link ambayo wameweka na kujisajiri mwishoni kuna hela ambayo unalipia ili kukamilisha usajiri ambayo ni...
Mabaki ya roketi ya China yametua kwenye bahari ya hindi magharibi mwa nchi ya Maldivies pasipo madhara yoyote kwa binadamu kama China yenyewe ilivyosema.Naona USA kabaki hoi.Chanzo cha habari kwa mashirika yote ya habari ni kutoka China kwenyewe.
=====
Mabaki ya roketi ya China yalipuka na...
Mimi binafsi hawa viumbe, wananivutia sana ninapowatazama wakiwa kwenye mwendo. Hakika nafsi yangu husuuzika sana. Sijawahi kupata bahati ya kuwatumia hata kidogo.
Huu utakatifu tunaojivika huu we acha tu.Unakuta mtu umeng'ang'ana tu na mwanamke mmoja, huku wengine wakijilia tu mema ya nchi...
Katika kile kinachoonekana kutupiana maneno kati ya China na Marekani,China imelituhumu jeshi la Marekani kuwa ndilo lililopeleka virusi vya corona kwenye jimbo la Wuhan,nchini China,ambako mlipuko wa virus hivyo umeanzia.
China government spokesman says U.S. military may have brought virus to...
Katika hali isiyo ya kawaida,Iran imesema kuwa haitaikabidhi Boeing kile Kisanduku cha taarifa.
Yetu macho na masikio.
Iran will not give black box from crashed Ukrainian airliner to Boeing: Mehr
Iran will not give the black box of the crashed Ukrainian airliner to planemaker Boeing, the head...
Hivi karibuni, makampuni makubwa, Facebook, Google na mengine kama sikosei yalishtakiwa kwa ku monopolize masoko.Yaani, kuwa na Apps nyingi zaidi ili kuweza kuliteka soko wao tu peke yao kwenye Android na iPhone na mifumo mingine endeshi.Lengo la mashtaka,ni kuwataka Apps zao wazitambulishe kuwa...
Naona kuna dalili ya Ali kiba kubadilika.Kwa sasa kaamua kuachia ngoma back to back,iwe ni ngoma zake au za kushirikishwa kitu ambacho hapo kabla kilikuwa kigumu.
Safari hii kaachia wimbo alioimba na Bella.Audio na video vyote vimekamilika.
Yetu macho.
Mkwaju baada ya Mkwaju - another one...
Unapiga Simu kwa mpenzi wako mara tatu zote anakata, halafu anakutumia text nimelala....My friend anza kung'atuka Mapema.
Sio maneno yangu.Nimeyacopy kutoka kwa mdau wa twitter.
Hakika umeonesha utu,hata kama una mapungufu yako.Sisi sote tunayo mapungufu.
---
Diamond Platnumz amezungumzia kilichoandikwa na msanii mwenzake, Ali Kiba katika mtandao wake wa kijamii wa Instagram saa chache baada ya kumualika kushiriki tamasha la Wasafi litakalofanyika Novemba 9, 2019...
Siku zote nilikuwa sikubaliani na madai hayo.Kwa mara ya kwanza leo,nimesanda.Pamoja na hayo yote, hakika yahitaji moyo, kufanya mapenzi kwenye kipindi hicho cha hedhi.
Kipindi cha hedhi,hata mke wangu huwa namnyanyapaa.Yawezekana ni kutokana na uwoga wangu tu.
=================
USHAURI WA...
Katika kile kinachoonekana misimamo tofauti juu ya sakata la WCB na Harmonize,tayari wajuaji wameshaanza kumwaga upupu wao kwa WCB.
Yetu macho na masikio.
----
Mkataba wa Harmonize, WCB ulivunjika tangu 2016
Harmonize amethibitisha kilichonong’onwa muda mrefu kwamba menejimenti ya Wasafi...
Huawei,kwa sasa haitegemei tena components za kutoka makampuni ya USA kwenye 5G teknolojia yake.CEO wa kampuni hilo linaloongoza kwa usambazaji wa teknolojia hiyo ya 5G amesema kuwa kwa sasa kampuni hilo linatengeneza lenyewe hizo components.
Ngoja tuone huo mtanange.
#Huawei CEO #RenZhengfei...
Saudi Arabia imeiomba South Korea kuimarisha ulinzi wake wa anga.Hii inakuja mara baada ya uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kampuni lake kubwa la uchimbaji mafuta na gesi na drones ambazo zinasadikika hazikutoka Yemen,bali Iran.
Pamoja na mkwara mzito wa Saudi Arabia wa kuiambia dunia kuwa...
Chama cha mabaharia wa ukweli, kimewajia juu vijana na watu wenye tabia ya kujiita mabaharia wakati hawana taaluma hiyo.
Hivi karibuni kumekuwa na tabia ya watu,hasa vijana kujiita mabaharia.Ubaharia huo umeonekana kutapakaa sana mitandaoni.
Chama hicho kimesema kitendo cha watu kujiita...
Hatimaye Huawei waanza kuitumia Os yao kwenye Smart Tv zao zilizozinduliwa rasmi huko Berlin Germany.
Kuna uwezekano pia wa simu zao tarajiwa ambazo ni flagship kama Mate 30,Mate X na zingine zitakazozinduliwa mwezi ujao October,kuwa powered by Harmony Os yao.
Google rasmi imeifahamisha Huawei...
Muda sio mrefu,bingwa wa Android version updates na security patch level updates duniani, Nokia,anaachia simu zake mpya,kama Nokia 5.2,6.2,7.2,nokia 2720 flik, Nokia 800 na zingine ambazo bado hazijulikani.
Karibuni Berlin Germany, kushuhudia uzinduzi.Sisi wafia Nokia, tayari tushajiandaa kwa...
Natamani hata niwakaribishe majemedari wenzangu kunako hii papuchi yenye viwango na sifa zote nzuri.Sio mapapuchi hata hayaeleweki.Mapapuchi full vimiminika na harufu za ajabu ajabu pasipo kusahau mizingo mikubwa na vipenyo vya kuwafukuza akina sisi ambao mwishowe huitwa wamiliki vibamia.
Any...
Huawei wanaendelea kupambana ili kujikomboa kutoka utumwani😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Introducing Huawei Ascend 910, the world's most powerful AI processor, and MindSpore, an all-scenario AI computing framework. https://t.co/fr7pbephja #Ascend910 #MindSpore #ChosenOne
Cc: @realDonaldTrump https://t.co/A4ECzvmz1v
Russia,Iran na North Korea ni full kutest mitambo.Ama kweli kumekucha.USA nae katest siku chache tu zilizopita.
Russia test fires missiles from submarines in the Barents Sea
Russia test-fired Sineva and Bulava ballistic missiles from two submarines from the polar region of the Arctic Ocean and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.