Je, ni kutaka kuonekana kwamba wanaujua mziki tangu 80's au wanadhani wateja ndo tunazopenda?
Nyimbo mpya ni nyingi sana hata ukizipiga masaa 24 haziishi...
Nipo hapa Maisha Club makumbusho, jamaa anapiga old schools tu mwanzo mwisho yaani hadi elfu 10 yangu ya mlangoni inaniuma.
habari wadau,
Kama mnavyojua, siku zote mafanikio huja kwa kuendana na hali, kuangalia upepo unakoelekea, kutatua tatizo ambalo kwa muda huo jamii ndio inakumbana nalo nk.
Sasa jimekuja na wazo la kibiashara ambalo nahitaji Partner, hapa chini: aya ya kwanza ninachambua wazo...aya ya pili...
Nina wadogo zangu kama wawili nawafahamu, mmoja kaenda jela mwingine bado yuko mahabusu. Serikali hii ingewatumia vijana wote wenye elimu za chuo na fani zinazoeleweka kama vile IT, Programming na Computer Science kuwatawanya kwenye Halmashauri ambazo bado hazina mifumo ya kieletroniki, systems...
Usiku wa kuamkia leo, nikiwa nimetembelea ndugu zangu Tungi, Kigamboni, tumeamka asubuhi na kukuta begi langu halipo...alifungua dirisha kwa kitu cha chuma na kutoa loki ya dirisha. Ndani ya begi kuna Simu (sitataja ni aina gani kwsababu maalumu), vitambulisho 8 (kadi za benki 4, kadi za mifuko...
Ni aje makamanda, I hope mko poa.
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara...
Hodi wana JF,
3D Press Printer/Heat Press inauzwa kwa bei poa sana, ni nzuri kwa wajasiriamali wa Stationery, Printers au yeyote anayetaka kuendesha biashara ya kuprint Promotional items k.v. Tshirts, Vikombe, Glasi, Badges, Funguo, Vitambaa, Trophies/Tuzo za vioo au mbao, Sahani, Seramic...
Kitanda kipya kina wiki 2 tangu kinunuliwe kinauzwa. Ni 5x6, kipo Kigogo. PM namba yako tuwasiliane uje ukiangalie.
::::::::::::::::::
Nimeweka picha sasa. Kitanda hicho hapo jamani.
Hodiii mashosti na kaka zangu:)
Kwanza asanteni kwa ukaribisho mubashara...ati naskia thread yangu ya utambulisho ndio ya kwanza kuwa na replies nyingi hadi 500-600 comments! I was honored.
Hii ni thread yangu ya pili, naomba kuzungumzia/kutoa ushauri kwa waajiri/employers hasa wenye taasisi...
Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia...
Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa mita 30 X 15 vinauzwa eneo la Mbezi kwa Msuguri, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Viwanja vimeshapimwa na huduma za maji, barabara na umeme zinapatikana.
Vipo umbali wa mita 200 kutoka kituo cha basi cha kwa Msuguri, barabara ya Morogoro. Jirani na...
Nawasalimu wana JF,
Nashukuru Mungu kwa kutuwezesha kukamilisha ujenzi wa kanisa. Kwa sasa tunahitaji kuweka kengele kanisani, naomba kama kuna kuna mtu anajua mafundi au ni wapi ninaweza kupata kengele ya kanisani hapa anipe mawasiliano yao.
Asante sana kwa ushirikiano wenu
Wana JF.
Heshima kwenu wakuu. Naomba msaada ni wapi ninaweza kupata mashine za kuchapisha lebo za mifuko ya kufungashia chakula kama vile unga, mchele, maharage na kadhalika (Food packing bags printing machine) hapa Tanzania au East Africa.
Natanguliza shukrani zangu.
Hii laptop inapata moto sana, imepungua speed ya kufungua mafaili na kudownload, inagoma kuinstall antivirus na inavuma kwa sauti sana. Nimeitumia kwa miaka 4 sasa na ilikua safi kabisa, matatizo yameanza miezi mitatu iliyopita baada ya kuondoa kaspersky antivirus trial version. Nipeleka kwa...
Wadau computer yangu ilizimika ghafla baada ya umeme kukatika...na sasa nikiwasha inaleta hii message 'Window could not start because the following file is missing or corrupt: \WINDOWS\SYSTEMS32\CONFIG\SYSTEM
You can attempt to repair this file by starting Windows Set up using the original set...
Wakuu hapa mtaani tumeanzisha kukundi cha kijamii cha kusaidiana kwenye shida na raha. Nimepewa jukumu la kutengeneza katiba itakayosimaimia hiki kikundi chetu. Naomba msaada wa sample ya katiba ya kikundi cha jamii.
Asanteni sana
Wakuu hapa mtaani tumeanzisha kukundi cha kijamii cha kusaidiana kwenye shida na raha. Nimepewa jukumu la kutengeneza katiba itakayosimaimia hiki kikundi chetu. Naomba msaada wa sample ya katiba ya kikundi cha jamii.
Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.