Erick_Otieno
JF-Expert Member
- Mar 28, 2010
- 624
- 1,020
Wakuu hapa mtaani tumeanzisha kukundi cha kijamii cha kusaidiana kwenye shida na raha. Nimepewa jukumu la kutengeneza katiba itakayosimaimia hiki kikundi chetu. Naomba msaada wa sample ya katiba ya kikundi cha jamii.
Asanteni sana
Asanteni sana