Kwanini Serikali isiwatumie vijana wa IT badala ya kuwaweka Rumande na Magerezani?

Erick_Otieno

JF-Expert Member
Mar 28, 2010
624
1,020
Nina wadogo zangu kama wawili nawafahamu, mmoja kaenda jela mwingine bado yuko mahabusu. Serikali hii ingewatumia vijana wote wenye elimu za chuo na fani zinazoeleweka kama vile IT, Programming na Computer Science kuwatawanya kwenye Halmashauri ambazo bado hazina mifumo ya kieletroniki, systems n.k. au kuboresha na kuimplement Apps na mambo ya kimtandao.

Kwa mfano labda selo au gereza lao lingekuwa ni Computer Lab, ukivumbua au kudevelop kitu cha maana basi ndio msamaha wako...kuliko kuwafunga, kuwatorture na kuwalaza mahabusu na taaluma zao kwa makosa ya Cyber.

Ni ushauri tu.
 
!
!
Atakuja mwingine atasema wanamichezo watumike kwa sababu sekta ya michezo iko nyuma, atakuja mwingine atasema walimu nao watumike kufundisha badala ya kuwaweka magerezani, atakuja mwingine mafundi, kila sekta itakuja na utetezi kama huo huo. La msingi ni kuwatumia the best way they ♋ can. Wote bila kujali taaluma zao
 
!
!
Atakuja mwingine atasema wanamichezo watumike kwa sababu sekta ya michezo iko nyuma, atakuja mwingine atasema walimu nao watumike kufundisha badala ya kuwaweka magerezani, atakuja mwingine mafundi, kila sekta itakuja na utetezi kama huo huo. La msingi ni kuwatumia the best way they ♋ can. Wote bila kujali taaluma zao
Mkuu, kwasasa serikali inawatumia wafungwa kwenye kilimo, hoja yangu kwanini wasitazame na wafungwa wenye taaluma spesheli? kwahyo usidert mada
 
Pole sana kwa yaliyowakuta wadogo zako, umenena vyema kweli yani kama kugundua kitu kipya kwenye TEHAMA ingekuwa ndo msamaha wao yani pasingeitwa jela, pangeitwa "THINKTANK" na nadhani unaelewa matokeo ya maTHINKTANK
 
Mtaalamu yeyote duniani anahitaji discipline katika professional na ethics za Taaluma yake.

Unaweza kuwa mwanasheria mzuri, mchumi mzuri, daktari, mwalimu, IT mzuuuriiiii ila kama hauna ethics haufai maana utaishi kuwa deadly hacker tena hacker wa kuhack upuuzi.
 
Mtaalamu yeyote duniani anahitaji discipline katika professional na ethics za Taaluma yake.

Unaweza kuwa mwanasheria mzuri, mchumi mzuri, daktari, mwalimu, IT mzuuuriiiii ila kama hauna ethics haufai maana utaishi kuwa deadly hacker tena hacker wa kuhack upuuzi.
Very good Daby umenena vyema mkuu.
 
!
!
Atakuja mwingine atasema wanamichezo watumike kwa sababu sekta ya michezo iko nyuma, atakuja mwingine atasema walimu nao watumike kufundisha badala ya kuwaweka magerezani, atakuja mwingine mafundi, kila sekta itakuja na utetezi kama huo huo. La msingi ni kuwatumia the best way they ♋ can. Wote bila kujali taaluma zao
Kwanini comment zako huanza na hizo alama za mshangao? (!) Mara nyingi hua unaziweka mbili zinazofatana kwa kushuka chini! Hii ina maana gani?
 
Nina wadogo zangu kama wawili nawafahamu, mmoja kaenda jela mwingine bado yuko mahabusu. Serikali hii ingewatumia vijana wote wenye elimu za chuo na fani zinazoeleweka kama vile IT, Programming na Computer Science kuwatawanya kwenye Halmashauri ambazo bado hazina mifumo ya kieletroniki, systems n.k. au kuboresha na kuimplement Apps na mambo ya kimtandao.

Kwa mfano labda selo au gereza lao lingekuwa ni Computer Lab, ukivumbua au kudevelop kitu cha maana basi ndio msamaha wako...kuliko kuwafunga, kuwatorture na kuwalaza mahabusu na taaluma zao kwa makosa ya Cyber.

Ni ushauri tu.
Ni ushauri mzuri. Wenzetu huwatumia hackers katika kutengeneza programs za kompyuta na pia zile za kujilinda dhidi ya virusi. Mchawi mpe mwana akulelee.
 
Kama umefanya hujuma kipitia taaluma yako na ikadhibitika hivyo... Ukihukumiwa kifungo kuna baadhi ya mambo unakuwa huna haki nayo...

Na hata wakimaliza vifungo vyao, kuajiriwa sehemu yoyote with a criminal record inakuwa ngumu... Labda wajiajiri...


Cc: mahondaw
 
Kwa hyo unataka tuhalalishe jinai ili MTU akihukumiwa atumie taaluma yake kupata msamaha acha wale nyundo siku nyingine waishi kwa ethics watumie taaluma zao wakiwa free mtaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Husna umewaza vema ila sidhani kama utakua sahihi sana mana ukitaka hivyo kila fani itataka hata wafungwa waliokuwa wavuvi watataka wapelekwe baharini jela si zitabaki tupu hawa wanaolima na kuvunja mawe pamoja na wale wa gereza la karanga moshi wanaoshona buti za jeshi ndo mwisho nadhani kwa huu ulimwengu wa tatu bila
 
Back
Top Bottom