Jamani mbona juzi tu tena hao viongozi wa dini walikuwa CDM na tuliwasifu kwa nyimbo na mapambio inamaana mmesahau kwa muda mfupi hivi, mimi siamini hapa kuna jambo linahitaji kujadiliwa. Au kwa sababu leo wako na JPM tunaanza kuwasema, hapana mtakuwa Mafalisayo wanafiki, tulizeni vichwa mtaujua...
Wako wapi wale viongozi wa dini ambao wengine walikuwa wajumbe wa halmashauli kuu ya taifa ya chama? Kwanini sasa CHADEMA kama waanzilishi na waliwaaminisha watanzania kuwa chama ambacho akikubariki na viongozi wa dini hakifai kuwa na dola au kuchukuwa dola. Mwenyekiti Mbowe alikwenda mbali...
Nakumbuka mlianza nguvu ya soda nguvu ya soda mara nilikuwa nasikia mfumo mfumo leo hii sisikii chochote, nadhani muda utaongea kama ulivyoongea kwa yaliyopita. Tuliposema CCM na Tanzania mpya utaelewa tu subiri acha ku..
Jiandaeni kwa maumivu makali ambayo hamjawai kuyapata maana baada ya JPM...
Jamani mimi naona kama wanatoa siri zao na kutuwezesha sisi wananchi kupata ukweli haraka na wa uhakika kuhusu hao watu wasio julikana. Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu pale Ufipa siku alipopokelewa nilifikiri hawakumwambia sasa nilipoona anazidi kuisema kilasiku na kila sehemu ndiyo nimekuja...
Taarifa zinasema kumekuwa na rushwa katika chaguzi za CCM kwa miongo kadhaa lakini wadadavuaji wa mambo ya kisiasa wanasema safari hii ilikuwa ni balaa, kwani kura zilipelekwa katika soko kama la hisa au mnadani wa kura kwani mwenye dau kubwa ndiyo alifanikiwa kununua kura za ushindi na mwenye...
Jamani kuweni wapole, huyu jamaa namfahamu, jamaa ametoka mbali sana na anakoelekea ni mbali, hivyo kuweni na hikima sana mnapo mjadili.
Mimi kwa mara ya kwanza nilikutana naye Ushirika Moshi na kuna semista tulikaa chumba kimoja hivyo nimeunganisha story yote na hadi hapa nimeona mnamjadili...
Mapokezi ya Tundu Lisu popote pale duniani usinge weza kuyaficha kwani Lissu si kushangaza umma bali tendo lile la kushambuliwa na watu wasiojulikana na kupigwa risasi 16 lilikuwa baya na lakulaaniwa na watu wote
Je, ilikuwa sahihi kufanya maandamano wakati Mwili wa hayati Rais mstaafu...
Yaani hata kuchangia mada yako ni ngumu kwani hata hao Chadema hawakuelewi wanaogopa kusema hayo maneno na nadhani uliposema upo Dodoma au upo Milembe hapo dodoma. Najua madaktari watafanya kazi kukusaidia utapona tu ndugu
Zamani wakati wa ujinga wengi tulikuwa hatujui kuhusu hiyo Marekani tulimezeshwa kila kitu cha upande 1 wa shilingi. lakini inatia aibu kijana ambaye wazazi wake wamempeleka shule lakini leo bado yupo katika zama za ujinga bado anaona kama Marekani ndiyo kimbilio wakati ni nchi hatari hasa kwa...
Du. ndugu tena unaonekana macho yamekutoka ile mbaya, kweli:
Kwa kipindi cha miaka 20 CCM imekuwa na wenyeviti 3 yaani Mzee Mkapa, Mzee Kikwete na sasa Magufuli lakini kwa miaka zaidi ya ishirini ni Freeman (mtu huru) pekee yeye ndiyo yupo ofisini.
Pia kwa kukusaidia tu nilitaka nikukumbushe...
Ndani ya CHADEMA democrasia zero lakini wakiwa nje ya CHADEMA democrasia 100%
Kuna wakati nakumbuka walikuwa wanamsema marehemu Nkurunzinza na Kagame wanang'ang'ania madaraka wakati wenyewe Mzee Mbowe anavipindi zaidi ya vinne ofisini, ni ngumu sana mtu kuwaelewa hawa watu.
Leo hii wameweka...
Kama wanaweza kuzusha Mwenyekiti Freeman Mbowe kavamiwa na watu wasiojulikana kumbe alikuwa amelewa chakali hapa inaonekana serikali imevumilia mengi sana kutoka katika gazeti hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.