Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu fulani tukiwa Kenya. Tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa...
Nawasalim wote
Saa 7: 26 AM kila nikiamkaa nashindwa mwili na moyo havina ushirikiano, Nahisi kuzimia macho hayako sawa
Nimechoma account yangu ya dollar 7400 forex usiku wa kuamkia tarehe 20/4/2022.
Nilikuwa nakimbizana kutuma ripoti za VAT return usiku, network ya TRA ilikuwa chini nikaona...
Mama Mchaga, baba Mngoni Arusha.
Nimewahi kuwa Changudoa, nilifanyia Nairobi Kenya. Rejea kisa katika NILIWAHI KUWA CHANGUDOA- JE, NIMJULISHE
LEO NAZUNGUMZIA KUFIKA KWA MWANAMKE kupitia uzoefu nilioupata kwenye uchangudoa. Ikumbuke nliachana na uchangudoa tokea 2010.
Mkaka/Mteja Alex...
A piece of land has broken off Uganda's mainland and has been floating around Lake Victoria for close to four months. The BBC's Patience Atuhaire met the artists who have set up home there.
As we approach the island, the first thing that stands out is the Ugandan flag on an improvised pole high...
Changudoa home Arusha, baba Mngoni, mama Mchagga
Ilikuwa hivi; baba na mjomba waliwekwa Korokoroni kwa kesi ya ujambazi tukiishi na kusoma Arusha. Mimi na wadogo zangu wawili kuna siku ghafla kama saa nne mama akaja shuleni (day skuli) akatuchukua (wawili, mdogo alikuwa hasomi) bila kupitia...
APZimbabwean President Robert Mugabe, center, falls after addressing supporters upon his return from an African Union meeting in Ethiopia, Wednesday, Feb. 4, 2015
Read more: Zimbabwe dictator Mugabe falls down steps, photographers forced to delete images - Business Insider
Boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa nilipo najihisi kutokuwa normal manake ili nijisikie raha na kutosheka I must get booked, travel at...
....ilikuwa hivi
paka alikuwa amezubaa njia panda eneo la mabibo beach boy, hili eneo hukaa, huzurura vijana wengi wasio na bahati ya ajira inayoeleweka
jamaa mmoja akamrushia jiwe kimasihara paka akawafwata kundi la watu kwa mkwara flani, watu wakaongeza kasi ya kumrushia mawe akajaribu...
home arusha,baba mngoni, mama mchagga.....kwa sasa nipo dar
kuna mkaka anafanya kazi jirani na jengo letu, tunashea kantini.Ni mzuri na mpole sana
skutaka kumuliza kama ana mke- bcs siitaji ndoa naye bali kutoka naye at least twice.Nikafanikiwa kufahamiana naye na tukaanza kuchati...
home arusha, mama mchagga baba mngoni
jaman wakaka hamuumiagi na hamjifunzi?
think of wewe ni mdada mkali/mzuri na umejiremba, hamna hamna umetupia viwalo vyako hata kama vya mtumba ila umechagua sana na umevitafuta masoko yote ya mitumba.
....anatokea mkaka kunako wapi sijui hata kama ofisi...
arusha, baba mngoni, mama mchagga
.........duh nimeisha..........wana jf nina mchumba na staki acha naye kwa vyovyote ila
kuna mkaka yupo floor ya tano ni mzuri na mpole kupindukia.Nahisi staweza kumkataalia naomba asiwe malaya manake sina nguvu ya kumkataa.Tena nashukuru sina ujasiri wa...
seriously......kila
baada ya successfully kukaa alone kwa miezi minane (kumb:my mchumba alisafiri kimasomo to belgium) then nikajisifia naweza ishi maisha yote yalobaki bila mwanaume
My mchumba aliporudi likizo (five weeks )tukafungulia kama vile kuikomoa dunia.
Ni mwezi mmoja tu umepita...
@ausha,baba mngoni ,mama mchagga.......
......wa kwanza alikuwa mhaya, bishoo sana, very bright , home kwao nusu ulaya
Huyu alinisumbua sana, na alinipotezea sana kujiamini ilifikia wakati hata 1+1=2 naomba confirmation kutoka kwake
utoto +dharau zake zilinifanya NISHINDWANE NAYE.(Thanks God...
Think of wewe ni meneger/kocha wa timu ya siasa (cdm or ccm)
1.Wabunge/wanaharakati wawe wanasajiliwa kama wachezaji wa soka
2.sheria za usajili ziwe zinaruhusu kusajili/kuuza hata kwa muda wa mwezi mmoja...
a) CDM: Kocha mimi ningemuuza Zitto Kabwe kwenda CCM, ningemnunua January kuja cdm...
@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati muafaka wa kuwa na mwanaume anayenizidi.
Msinishangae I always wanna to be inferior kwa mpenzi...
pamoja na mapungufu mengi aliyonayo jk anaelekea kuibuka rais bora wa Tz kwa
1.namna anavyoichukulia hii ishu ya Katiba-JK alikubali kuyafanya mapendekezo ya CDM kuwa ndio mswaada wa serikali
hata kama wabunge wa CCM waliigomea serikali lakini JK personally ameonesha ukomavu mkubwa nampa...
@arusha, baba mgoni, mama mchagga
By that time my dady and uncle were serving jail sentense, uchumi home ukayumba sana ikalazimika mabanda ya uani tuwape WAPANGAJI.
nilikuwa form two to three boarding school, mama alikuwa mkali kupitiliza hamna mwanya wa kutoka home labda tufwatane nae au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.