seriously......kila
baada ya successfully kukaa alone kwa miezi minane (kumb:my mchumba alisafiri kimasomo to belgium) then nikajisifia naweza ishi maisha yote yalobaki bila mwanaume
My mchumba aliporudi likizo (five weeks )tukafungulia kama vile kuikomoa dunia.
Ni mwezi mmoja tu umepita tokea aondoke kwa mara ya pili ila nina balaa yaani NIMTAMANI KILA MWANAUME......and i hv been in this matamanio for four days now.Nikitoka kazini tu nakimbilia home nakaa na mama na wadogo zangu hapo nakuwa salama.
baada ya successfully kukaa alone kwa miezi minane (kumb:my mchumba alisafiri kimasomo to belgium) then nikajisifia naweza ishi maisha yote yalobaki bila mwanaume
My mchumba aliporudi likizo (five weeks )tukafungulia kama vile kuikomoa dunia.
Ni mwezi mmoja tu umepita tokea aondoke kwa mara ya pili ila nina balaa yaani NIMTAMANI KILA MWANAUME......and i hv been in this matamanio for four days now.Nikitoka kazini tu nakimbilia home nakaa na mama na wadogo zangu hapo nakuwa salama.