Mwisho wa mwaka 2021.
[emoji290]
Mtabiri: Maalim Abalhasan Jumar.
Facebook: Mtabiri wa nyota na tiba.
Youtube: MAALIM ABALHASAN
Hotline:
+255 713 351 781.
Whatsapp pia.
Email: maalimjumar@gmail.com
MATUKIO YA NYOTA ZETU.
LEO 23.11.2021 MPAKA 20..12.2021.
Nawatakieni kheri ya kuuaga...
Salaam JF!
Haya maneno nimekua nikisikia mara kwa mara yakifikisha ujumbe.
Je ni sahihi?
1-Anajitia (huyu kaka anajitia haelewi).
2-Anajifanya (huyu msimamizi anajifanya haoni).
3-.................
4-..................
Hua yanishangaza sana yanavyotumiwa.
Umewahi kusikia sentensi...
Salaam JF!
Nmepewa simu ina manual ya France....aina ya Sumsung model S 5830 ina GPS na 3G naweka line inaniambia nitapiga simu za dharura tu.
Sijui naifunguaje?
Hi JF!.
Nimelichunguza mda mrefu...hatimae nimegundua hili: kwa kua njia ya upatikanaji ni rahisi ya watoto ndio maana wamejaa mitaani.
-unae mke nyumbani lakini unae mwingine mtaa mwingine achilia mbali unaefanya kazi nae.
-mkeo akiwa mja mzito haupo karibu nae ...kumbe unae anaekupunguzia...
waheshimiwa Salaam.
Nilifika TRA kujiandikisha ili nipewe TIN kwa kupata Driving Licence mpya...nikaambiwa ni bure na ndani ya siku 7 naipata.
Lakini tangu Mwezi wa sita nilikua nasumbuliwa ''njoo baada ya wiki...mara kajiandikishe manzese...na maneno mengine kibao''
Leo nikawaondolea...
Habari zenu?
Nmekutana na baadhi ya watu wakitamka haya maneno...
1-Msa=Musa.
2- Mk*ndu=Mwekundu.
3- Mwananke= Mwanamke.
4- Leli=Reli.
5- Reri= Reli.
6-...................
7-....................
Endeleza!
Habari zenu GT.
Nmetumiwa sasa hivi taarifa na ndugu yangu amempata mchumba kupitia hii mitandao kua amesoma profile yake na amegundua ni mtu makini. Sasa kilichotokea huyo mchumba ni wakike amemwambia asitoe siri maana atamtumia $ million kadhaa katika acount yake...halafu achukue kidogo...
Salaam JF!
Kila niki Quote thread au niki edit thread kuna herufi kama hizi <br />
Zinatokea <br />.
Nimechunguza hata kwa wachangiaji wengine zimekuepo kwenye uzi zao
Ndio virus au nani anazituma huko?
Habari JF!
nimemuona hana niya ya dhati kwenye matarajio yetu.
Ninapoamua siongei nae kwa siku kadhaa...huanza kunibembeleza...najirudi.
Haishi kunieleza shida zake namsaidia kadr ya uwezo wangu...nikimuuliza lini tunafunga ndoa ...anasema bado hajaamua!!.
Lakin hunibembeleza na kuntafuta...
Salaam JF!
Hili nimelifanyia utafiti wakutosha. Naww liangalie!
Upande wa kina baba ikiwa hajawahi ku do kujua maumvile tafaut tafaut atapooa mke/mpz wa kwanza lazima atatulia kwa kua hakuna tafauti atayoigundua ...atajua ndivyo ilivyo.
Iwapo akianza kuonja/kujaribu maumbile tafauti itamfanya...
Salaam JF!
Ninaweka wazi ninayopendezwa nayo. Ninao marafiki wakike/wakiume. Tumeweza kuwezeshana katika mambo mbali mbali ya kila siku...ili kufikia malengo yetu. Naiweka wazi nafasi hii kwa yeyote ani PM.
Hali zenu JF!
Yaani nmekua napata usumbufu kweli.
Huyu fundi muda mwingi ananidanganya sana. Kitabu nlipewa cha lugha ya Japanes....nakua nashindwa kuelewa vizuri.
Naomba alie nacho nikakipigishe photocopy au aniuzie kama akiweza!.
Kila mahala kichwa kinauma, yaan......!!!!!!!!
Nataabika!
Habari GT wa JF!
Mimi nimeangalia hii...
Chukua namba zinazo fuatana ziwe tatu...mfano 345, kisha uzigeuze ile ya mwisho iwe ya kwanza na kuendelea hivi 543.
Kisha utoe(subtract) jawabu utalopata itakua ni 198. Hii itakua kwa namba zozote umuhimu ziwe namba aina tatu zinazo fuatana!
Tuendelee!
Habari jamani JF!
What does this say?
a- a bird in the bush.
b- a bird in the tree.
c- a bird in my bush.
d- a bird in the the bush.
e- a bush in the tree.
Haya wajuzi wa hii lugha....
Habari zenu Greaters T.
SI VIBAYA KWA WALE WANAOAMINI NA WAJUE MAMBO HAYA (KUJIKUMBUSHA)......
MATUKIO YA KILA NYOTA 2011.
MTABIRI: MAALIM ABALHASAN JUMAR.
1-Kondoo(Aries) Machi 21-Aprili 20.
Mwaka huu ni mzuri hasa kwenye mambo yanayohusu ilmu.Utapata nafasi ya kuongeza ujuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.