Kutokutoa maamuzi yangu...wachumba wanaongezeka!

Kutokutoa maamuzi yangu...wachumba wanaongezeka!

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2010
Posts
1,259
Reaction score
118
Habari kwenu wana JF!
Nmeona nilifikishe hili kwenu nipewe majibu!
Maana ke/me analalamika hajui afanye nini?
Nae anahitaji mwenza.
Nawakilisha!
 
Hueleweki....
Huyo ke/meee ndio nani?!Wanalalamika nini!?!Maamuzi yako kuhusiana na nini!?Nani anehitaji mwenza?!
 
vipi harooøøøøøøøø sijakuelewa kabisa, mara yanga, mara ke/me mara mwenza mara sijui nini,,, mh sijakusoma, au uko tungi?
 
Hueleweki....Huyo ke/meee ndio nani?!Wanalalamika nini!?!Maamuzi yako kuhusiana na nini!?Nani anehitaji mwenza?!
Kichwa cha uzi kinaeleweka labda ww hujelewa. Kuna Watu wawili 1 ni mwanume na 2 mwanamke kwa kua ameamua kutafuta jibu la hilo tatizo ndio nimeweka humu JF ili wataoelewa wasaidie majibu .Wanasema kwa kutotoa maamuzi kwa wale wanaohitaji uchumba ..nao hatoi hayo maamuzi kwa kuchagua mmoja ambae atakua ndie mwenza. Sasa wamezidi kuwapata wachumba wengi ....wanashindwa kutoa uamuzi wa kuchagua mmoja ataefaa.Hapo hujaelewa?
 
vipi harooøøøøøøøø sijakuelewa kabisa, mara yanga, mara ke/me mara mwenza mara sijui nini,,, mh sijakusoma, au uko tungi?
Yaani hapa nmecheka hadi mbavu zauma!Kuna watu wamesema kutotoa maamuzi ya kuchagua mwenza ambae ateishi nae...sasa Wamekua wachumba wanaongezeka. Ndio wanahitaji wajue wafanyeje ili atoe maamuzi yake!Hapo ntakua sipo tungi tena ...ntakua masaki.
 
Bado hausomeki maalim unasaga mirungi ya Haidaru au kenya(Kangeta,Giza bomu) manake naona uko full handas na kwa mbali naona chai ya rangi,Big G,karanga na Coke, na yule pembeni sio Hilda mirungi aiseee!
 
waambie waendelee hivyo hivyo,wasitoe maamuzi afu waje kuandiaka research paper! interest yangu ni possible maximum # ya wachumba
 
Maalim Bana haya maana mie dah ngoja niache. Habari yako lakini
 
Bado hausomeki maalim unasaga mirungi ya Haidaru au kenya(Kangeta,Giza bomu) manake naona uko full handas na kwa mbali naona chai ya rangi,Big G,karanga na Coke, na yule pembeni sio Hilda mirungi aiseee!
Fuullu kung'etua menu miiieee!Umenchekesha we acha tu!Sasa watakua hivyo hadi lini?
 
waambie waendelee hivyo hivyo,wasitoe maamuzi afu waje kuandiaka research paper! interest yangu ni possible maximum # ya wachumba
Ntawaambia!Will it be possible wazidi kuwahisabu wachumba bila kutoa maamuzi ya kumchagua his/her right choice!
 
Jamani kwangu bado naona giza tu, yaani kiswahili kilichotumika ni kama kichina vile.
 
Back
Top Bottom