Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Salaam JF!
Haya maneno nimekua nikisikia mara kwa mara yakifikisha ujumbe.
Je ni sahihi?
1-Anajitia (huyu kaka anajitia haelewi).
2-Anajifanya (huyu msimamizi anajifanya haoni).
3-.................
4-..................
Hua yanishangaza sana yanavyotumiwa.
Umewahi kusikia sentensi zingine kama hizo?
Nawakilsha kwenu !
Haya maneno nimekua nikisikia mara kwa mara yakifikisha ujumbe.
Je ni sahihi?
1-Anajitia (huyu kaka anajitia haelewi).
2-Anajifanya (huyu msimamizi anajifanya haoni).
3-.................
4-..................
Hua yanishangaza sana yanavyotumiwa.
Umewahi kusikia sentensi zingine kama hizo?
Nawakilsha kwenu !