Msaaada wa kutumia simu yangu!

Msaaada wa kutumia simu yangu!

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2010
Posts
1,259
Reaction score
118
Salaam JF!
Nmepewa simu ina manual ya France....aina ya Sumsung model S 5830 ina GPS na 3G naweka line inaniambia nitapiga simu za dharura tu.
Sijui naifunguaje?
 
Nimewahi kusikia kuwa wazalishaji wa simu huzalisha simu tofautitofauti kutegemea na teknolojia ya mawasiliaono ya nchi husika.Kama ni kweli, inawezekana features zake hazikuundwa kwa ajili ya teknolojia iliyotumiwa hapo ulipo. Ninapita, tuwasubiri wataalamu.
 
Jaribu kugoogle manual book yake unaweza ukapata njia ya kuifungua..
Ngoja 2wasubili watalaam waje ku2juza
 
Back
Top Bottom