Of all the people around me only tigo and airtel spent there valuable minutes to say a word about this special day that even Ocean Road hospital had, the hospital I ever known for the first time in my life, NEVER DARED call and ask me "geofrey where are you and how are you doing" Agriiiiiiiii...
Jana nilimwambia mke wangu Yanga atashinda 3- 1 dhidi ya Al hilal sasa ni 1-1 na mchezo bado unaendelea.
Japo mimi Simba lakini kwnye michezo ya kimataifa navaa uzalendo haijalishi nini!
Kwa kile kinachoendelea Somalia sioni jitihada za wazi na makusudi za kuwasaidia awa wa-afrika wenzetu. Hata kama sababu ni maisha magumu yaliyo sababishwa na covidi, mafuta kupanda bei na vita vya Ukraine lkn kama binadamu Somalia sio wakuachwa wafe njaa.
Nakubali misaada ipo lkn si kwa...
Habari.
Kwa yeyote anaeuza au anajua wapi naweza pata oven inayotumia gesi yenye uwezo wa kubeba mikate 90 ile tunayosema gram 500.
Note: iwe used.
Iwe Dar Pwani au Morogoro
Call/Whatsapp 0652494919
Topcon ipo na vifaa vyake vyote tayari kwa kutumika, ni used japo haijatumika sana kama inavyoonekana kwenye picha
Specifications; overall length 192mm, effective diameter 30mm, magnification 26x24x field of view 1`30`resolving power 3.5'', minimum focus 0.5m, horizontal circle diameter 117mm...
Kapeti jipya la manyoya linauzwa
= ukubwa futi 7 kwa 9
= rangi ya kijivu na nyeusi kwa mbali
= lipo arusha mjini karibu na jengo la ngorongoro
= bei TShs 85,000
= mawasiliano 0765 390 225
:)KARIBUNI:)
1.nyumba ipo Arusha morombo dampo kwa kaburu
2.ukubwa wa kiwanja miguu 15kwa 20
3.umbali km5 kutoka lami hati kwenye nyumba
4.ina vyumba 3, kimojawapo ni masta
5.ina jiko, sebule, umeme maji yameshalipiwa auwasa
6.haina fence
7.Document: serikali za mtaa
8.bei 35m maongezi yapo
piga/whatsapp...
Kuna kabwana mdogo nimekaambia Yanga ikishinda namnunulia bia moja na ikifungwa basi aninunulie hata fanta orange ntainywa hivyo hivyo, kalivyo kajeuri kasema "broo angu kama vipi tuweke bia 2 kwa 2" Sasa nasubiri 90mins nimnywe 2!!
cc1750, petrol, km58,000, silver,inadaiwa tra300,000 imepata dhoruba upande wa kulia shavu la mbele na nyuma kidogo namba DFB inataka 9.5m mazungumzo yapo. nashindwa ku upload nadhan net haiko poa njoo watsap kwa pic
mimi napenda mpira wa miguu lkn leo nilikua na angalia mpira nikidhan ni wabunge wanacheza mechi ya kirafiki Dodoma, kutaamaki lahaula kumbe ni yanga na prison. Kwa kiwango hiki tuna safari ndefu.
nasubiri matusi!!!!!
Habari.
jiko linalopakana na pub linapangishwa 100,000 kwa mwez.
lipo kijitonyama kisiwani karibu na shule ya secondary salma kikwete, linavitu baadhi vichache vya kuongeza. mawasiliano 0652 494919
hello guys.
kila nikitaka kuingia watsap inaniambia your phone date is inaccurate. adjust clock and try again.
nimejaribu kufanya yote lkn bado ipo vile vile, naomben ushaur nifanye nn ili niweze kutumia watsapp? thanks
Nauza TV 32" LED flat screen homebase na laptop acer hdd500gb, ram4, processor2 vyote kwa 700,000/= only. Sina simu/camera nzuri ya kupiga picha lkn vipo safi havina michubuko na vipo vina fanya kazi
Mnakaribishwa kupitia 0652 494919
Habari.
Fremu inapangishwa ipo kijitonyama kisiwani karibu na Salma Kikwete Secondary kodi ni 100,000/= kwa mwez inatakiwa ya miezi 6. Fremu ipo barabarani(lami) kabisa inafaha hata kwa jiko sababu pembeni yake kuna pub ambayo haina jiko, unaweza kupika/kukaanga chochote kama chips, supu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.