jiko kwenye pub linapangishwa 100,000

jiko kwenye pub linapangishwa 100,000

geofreyngaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
667
Reaction score
974
Habari.
jiko linalopakana na pub linapangishwa 100,000 kwa mwez.
lipo kijitonyama kisiwani karibu na shule ya secondary salma kikwete, linavitu baadhi vichache vya kuongeza. mawasiliano 0652 494919
 
mkuu nandengele, kutokana na hali halis ya tanzania kwa sasa,, ni kukaa na kukubaliana tu ila iwe zaid ya mwez mmoja. wewe unaweza kulipa kwa muda gani?
 
kijitonyama kisiwani opposite na salma kikwete sekondary. au piga 0652 494919 kama ukitaka kuja
 
Geofrey ngaga pana mzunguko wa watu hapo? We ni mmiliki, dalali au umekodi pub? Maana kuna watu huwa wanakodi pub wao wanapangisha jiko
 
sorry munawar, ndo naiona leo. mzunguko upo wa kawaida na mim ndo mmiliki. karibuni
 
nextlevel cm ilizingua sasa nipo hewani. unaweza nipigia kwa namba ile ile 0652 494919. wewe ndo uliekuja jana?
 
Back
Top Bottom