Mh. Juma Raibu Juma,
Uliahidi kushirikiana na Madiwani wote pamoja na Watendaji wa Halmashauri katika kufanya kazi kwa bidii , weledi na kuzingatia maadili ili kuharakisha Maendeleo ya Manispaa ya Moshi na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020-2025.
Mimi nikiwa...
Kukaa lockdown kutasaidi kutokuenea kwa virusi. Ni heri ukutwe nje unatafua chakula ila sio kutafuta hela, hela hazijai.
Sasa hivi watu wanatafuta hela kwa ajili ya maendeleo, wengine wanatafuta ili walipe madeni, kodi za nyumba, kodi za maduka. Wapo wanaotoka kwa ajili ya kutafuta hela za...
Wameanza wenzetu Uganda. Je kwetu inawezekana? Maana tutaambiwa tukakae nyumbani wakati hata kazi za kuingiza kipato hatutakuwa tunafanya.
Je serikali italiangalia hili?
Tatizo kubwa hapa nchini ni kwamba pale inapotokea janga, mlipuko wa ugonjwa basi wafanya biashara hutumia nafasi hiyo kujinufaisha. Kuna vifaa kama hand sanitizer, medical face masks vimekuwa katika uhitaji mkubwa sana kwa ajili ya kujikinga na virusi vya corona.
Serikali kupitia waziri wa...
baada ya vodacom kufanya mabadiliko kwenye vifurushi vyao, speed imekuwa ndogo sana, kufanya update kwenye simu ya iphone inachukuwa masaa 12 , yaani file firmware ya iphone yenye ukubwa wa GB 4 utadownload kwa masaa 12. Tofauti na hapo kabla, ilikuwa nachukuwa nusu saa tu.
Tunawaomba vodacom...
Mimi nipo Mbeya napewa taarifa za mkuu wa mkoa wa Dar zinisaidie nini? halafu nakatwa sh 100.
kwann wasitupe habari za sehemu au mkoa tuliopo tu.
Mkuu wa Mkoa DSM asimamia MIRADI ya DSM, DPP aendelea kupokea MAOMBI ya Wahujumu Uchumi. Taarifa Zaidi. Utatozwa Tsh 100/siku
vifurushi vya Vodacom vipya ni balaa.
kwangu vinasomeka hivi.
na line 2 inasoma hivi
nikapitia ya mwenzangu inasoma hivi.
kWENYE MPANGILIO HUU MWAKA HUU BASI
Blanket limekuwa white badala ya green, baridi ni kali sana. Jirani zangu pambaneni makombe yote yaje Manchester. EFL,EPL,UCL > Manchester City, FA > Manchester United.
Baada ya Mancity kushinda gemu leo, Man united, Chelsea kutandikwa, Man city anakuwa anamuacha anaefuatiwa kwa point 15.
Walisema mancity atafungwa tu na tutawakaribia, Swali... Wakati mancity anafungwa wao wanakuwa wanashinda?
Niliwahi kutabiri kuwa Manchester united bado ana gamu ngumu kama...
Japo Carabao Cup haifuatiliwi sana ila inaumuhimu wake, Ni hapo Wembley.
Kikombe pekee ambacho arsenal wanauwezo wa kukichukua kwa sasa ni hichi tu, maana kwenye FA wametolewa, kwenye uefa hawapo, Epl ndo matumaini hakuna kabisa. swali ni je wataweza kukabiliana na miamba wenzao Manchester...
Wanaweza wakashinda mechi bila ya kuwa na Vicent Company, wameshafanya hivyo mara kibao.
wanaweza pia shinda bila Sergio Aguero, na hili linaonekana mara nyingi tu. swali ni je ni wapi Man city itakuwa bila ya mchezaji huyu? Kelvin De Bruyne.
Baada ya kutawala mpira ulioiwezesha Man city...
Kuna vifurushi tunanunua kupitia hapa "Ya kwako tu"
kweye Menu yangu
1. Tsh 2000 = 5012MB/siku 30
2. Tsh 70000 = 73728MB/siku 30
Ukilipia kulingana na maekezo ya hapo juu unakatwa hela yako na unapata tofauti na maelezo ya kwenye menu yao. Mfano mimi nimeweka option namba 1. na nikapata 1GB...
Wakuu nimeinging katika biashara ya Juicing na nimekuwa nikitumia Disposable Plastic Glass za ujazo wa 200ml na 400ml. Supplier wang wa glass alikuwa analeta kutoka Kenya Nairobi.
Nairobi nilifanikiwa kupata za 200ml na 350ml ila hawakuwa na za 400ml, na nikiweka oreder ya 400ml wanaleta 200ml...
Mistakes zake zimeshajulikana kwa watu, yeye ni binaadam na anaumia kwa haya.
Alifanya some stupid decisions and some horrible choices, Lakini alifanya mazuri pia. swali langu hapa ni How long is the media going to continue to make him pay for it
Nimeingia na nilipofika counter nikakuta ametundika viroba vya karanga, na nikamwambia anipe kiroba. akasema hawana na vimepigwa marufuku. nikamwambia mbona naviona hivyo hapo? akageukia pale palipokuwa na viroba vya karanga na akasema hizi ni karanga.
Sasa nikataka kujua kwani mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.