mask

A mask is an object normally worn on the face, typically for protection, disguise, performance, or entertainment. Masks have been used since antiquity for both ceremonial and practical purposes, as well as in the performing arts and for entertainment. They are usually worn on the face, although they may also be positioned for effect elsewhere on the wearer's body.
More generally in art history, especially sculpture, "mask" is the term for a face without a body that is not modelled in the round (which would make it a "head"), but for example appears in low relief.

View More On Wikipedia.org
  1. Expensive life

    Yanga sc yaja na kituko cha mwaka yatengeneza mask ya mabox.

    Katika hali ya kushangaza kabla ya yanga sc imemtegenezea mchezaji wake mask huku wakitumia materials za mabox na sruu. Haki hii imewapelekea wadau mbalimbali wa michezo nchini kushikwa na butwaa.😁😁😁
  2. Nyuki Mdogo

    Kwanini hackers wanavaa Mask na Kofia wakiwa katika shughuli zao?

    Hello I.T fans.. naomba kupewa majibu mujarab. Naona wengi mnaovunja mifumo ya computer huwa mnavaa Hizo nyenzo (mask, gloves, kofia za mzula) hivi sababu ni zipi hasa? Halafu bado wengine mnakamatwa😅😅😅😂😂
  3. Munch wa annabelletz47

    Mfanyakazi mpya wa Elon Musk ana umri wa miaka 14

    FAHAMU: Kairan Quanzi ametengeneza historia ya kuwa binadamu mwenye umri mdogo zaidi kuajiriwa na kampuni ya Space X inayomilikiwa na Elon Musk. Tofauti na watoto wengine, Inasemwa alipokuwa na umri wa miaka miwili (2) alikuwa anaweza kuumba maneno yanayotengeneza sentesi kamili, ndipo walimu...
  4. Shujaa Mwendazake

    URUSI waonya kuwa watazidungua Satelaiti za Elon Mask

    URUSI imepeleka taarifa ya kwamba majeshi na Serikali za Ukraine na Magharibi kuwa wana tumia satellite za kiraia kufanya shughuli za kijeshi. Wameona jambo hilo liangaliwe na kushughulikiwa vinginevyo wataanza “KUZISHUSHA” (Quasi-civilian infrastructure may be considered a legitimate target...
  5. Replica

    #COVID19 Dr. Anthony Diallo: Corona bado ipo, apendekeza 'Level seat' kwenye daladala na Mask

    Mwandishi: Kwanini unanisalimia hivi(Alimpa mkono, Diallo akampa gonga), wakati fulani tulipita hapa tukawa tunaamini tumeshatoka kwenye Covid. Awamu iliyopita tulikuwa tunasali na kumuomba Mungu, Covid haipo. Bado una wasiwasi na Covid Dr. Diallo: Covid ipo, jana nilimsikia mkuu wa mkoa...
  6. The Stress Challengerr

    Kupitia mwamba Rudiger ndani ya mask machoni nawatakia Chelsea ushindi mnono usiku wa leo Uefa

    Inakuwaje wanajamvi! Namkubali sana jamaa. Kupitia yeye Chelsea itanyakuwa Uefa championship.
  7. stakehigh

    Baada ya chanjo ya Corona, Watu wanatakiwa kuendelea kuvaa barakoa?

    Nimekuwa nikifuatilia upokeaji wa chanjo ya corona Kenya toka ilipoanza kutolewa, hii ikanifanya nimtafute rafiki yangu wa Kenya kumuuliza kama wanaendelea kuvaa barakoa baada ya chanjo, na cha ajabu nilishtuka kupata jibu kwamba lazima uendelee kuvaa barakoa hata kama una certificate ya chanjo...
  8. Idugunde

    Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

    Waziri wa fedha na mipango Dkt. Philp Mpango amesema anarudi kuchapa kazi baada ya mkono wa Mungu kumvusha na ugonjwa uliomkumba mpaka akalazwa. Waziri Mpango amesema haya (Nukuu) - Narudi kazini na kazi ndogondogo nimekwishaanza za kulitumikia Taifa. Watanzania tuendelee kumwomba Mungu kwa...
  9. mgt software

    #COVID19 Sweden yapinga ushahidi kuwa kuvaa barakoa kunapunguza covid 19

    Wanajamvi Nimekuwa Na hisia kuwa huenda Dr. Magufuri Ni kiona mbali kutokana Na nchi ya ulimwengu wa kwanza kupinga walimu kuvaa mask wakati wanafundisha kwani hakuna ushahidi kuwa mask zinazuia covid. ====== As coronavirus runs rampant, why are some Swedish towns banning masks? Officials in...
  10. Barbarosa

    Donald Trump Kaishinda corona, Kavua Mask na Kurejea Mzigoni!

    Mungu Mbariki D.Trump! Rais Trump wa Marekani amerejea Ikulu baada ya kutoka hospitali alipowekwa baada ya kukutwa na Virusi vya Corona Amevua barakoa baada ya kufika ikulu Mwanzo mpinzani wake Joe Biden alisema Donald alipata Virusi hivyo kwa kuwa kwenye kila mdahalo alikuwa havai barakoa
  11. K

    Mgambo wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili acheni kufanya biashara ya barakoa (mask)

    Hivi ni kwa nini mnafanya mradi wa kitoto namna hiyo, mnawazuia raia kupita kwenye geti kama hawajavaa barakoa (hata staff ambao wanapewa na mwajiri wao nyie mnalazimisha wanunue wavae wakati wana elimu ya barakoa kuliko ninyi), na huko nje mmewaweka jamaa zenu ambao hata kutunza (kuhifadhi)...
  12. M

    Utafiti waonyesha Mask na Social distance inasaidia kupunguza usambaaji wa Corona

    Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa uvaaji wa Maski na social distancing vinasaidia sana kupunguza ueneaji wa virusi vya Corona. Kwetu hapa Tanzania, wananchi walikuwa wameanza kuwa na mwamko wa kuvaa barakoa. Ilikuwa ukienda kwenye madaladala au magari ya mwendokasi unakuta wananchi wamevaa...
  13. YEHODAYA

    Rais Trump agoma kuvaa barakoa hadharani

    Wamarekanni ndio wamepitisha hadi sheria ya kuvaa barakoa raisi Trump ndie aliisaini hiyo Excutive Order na amekuwa wa kwanza kuivunja hataki kuvaa barakoa hadharani akimuiga Raisi Magufuli. ====== Trump Tours Ford Plant Without Mask But Wears One Out of View “I was given a choice,” he...
  14. Sky Eclat

    Six steps to wearing the N95 Mask

  15. J

    RC Mtwara: Kuanzia Jumatatu mtu yoyote anakwenda ofisi ya Mkuu wa Mkoa ni lazima avae barakoa ( mask )

    Mkuu wa mkoa wa Mtwara amesema kuanzia jumatatu mwananchi yoyote atakayefika ofisi ya mkuu wa mkoa ( mkoani) ni lazima avae barakoa vinginevyo atazuiliwa getini. Mkuu wa mkoa amechukua hatua hiyo kama jitihada zake za kuzuia maambukizi ya Covid 19. Chanzo: ITV habari!
  16. Mzukulu

    Wenye Mamlaka nchini Tanzania mnatuhangaisha mno Wananchi wenu hasa kuhusu Uvaaji wa Mask na CORONA

    Kuna Tangazo la Redioni nalisikia karibu katika Redio zote Kubwa nchini ambalo linatoka katika Mamlaka husika linasema kuwa Uvaaji wa Barakoa ( Masks ) ni kwale Walioathirika tu na Maambukizi ya COVID-19 na Wanaowahudumia na si kwa Watu wengine na kwamba wakifanya hivyo watakuwa wanajihatarishia...
  17. Conwel Ngani

    Ili kukabiliana na upungufu wa mask (barakoa) wizara ya afya itoe muongozo wa mask za namna hii kama ikionekana zinaweza kufaa

    Kitendo cha mabeberu kuanza kuibiana mask inaonekana kuna upungufu mkubwa sana wa mask duniani kwa namna hiyo napenda kuwasilisha mawazo yangu kwa wizara ya afya kuangalia mask za namna hii na kutoa muongozo kwa matumizi ya kawaida ya mitaani na majumbani kama ikioneka zinaweza kufaa HASA KUZUIA...
  18. S

    Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain

    Corona yaendelea kuwatoa utu mabeberu. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa tiba ya Uswizi, imelalamika kuwa Ufaransa imewachezea rafu mbaya mno Italy na Spain baada ya kuhodhi mzigo wa mamilioni ya mask za uso na glovu zilizokuwa zinasafirishwa kwenda kwenda Itali na Spain kupunguza maambukizi ya...
  19. Neter

    Coronavirus - How To Make Face Mask From Tissue paper

    How To Make Face Mask From Tissue paper Face masks should be used if anyone is sick or having cough to prevent infection to others, but nowadays it’s very hard to find. Protect yourself against any virus or dust particles . Here is sharing a great and a simple idea to DIY face Masks.
  20. Sky Eclat

    Coronavirus: Expert panel to assess face mask use by public

    Should more of us wear face masks to help slow the spread of coronavirus? This question is to be assessed by a panel of advisers to the World Health Organization (WHO). The group will weigh up research on whether the virus can be projected further than previously thought; a study in the US...
Back
Top Bottom