A mask is an object normally worn on the face, typically for protection, disguise, performance, or entertainment. Masks have been used since antiquity for both ceremonial and practical purposes, as well as in the performing arts and for entertainment. They are usually worn on the face, although they may also be positioned for effect elsewhere on the wearer's body.
More generally in art history, especially sculpture, "mask" is the term for a face without a body that is not modelled in the round (which would make it a "head"), but for example appears in low relief.
Katika hali ya kushangaza kabla ya yanga sc imemtegenezea mchezaji wake mask huku wakitumia materials za mabox na sruu.
Haki hii imewapelekea wadau mbalimbali wa michezo nchini kushikwa na butwaa.😁😁😁
Hello I.T fans..
naomba kupewa majibu mujarab. Naona wengi mnaovunja mifumo ya computer huwa mnavaa Hizo nyenzo (mask, gloves, kofia za mzula)
hivi sababu ni zipi hasa?
Halafu bado wengine mnakamatwa😅😅😅😂😂
FAHAMU: Kairan Quanzi ametengeneza historia ya kuwa binadamu mwenye umri mdogo zaidi kuajiriwa na kampuni ya Space X inayomilikiwa na Elon Musk.
Tofauti na watoto wengine, Inasemwa alipokuwa na umri wa miaka miwili (2) alikuwa anaweza kuumba maneno yanayotengeneza sentesi kamili, ndipo walimu...
URUSI imepeleka taarifa ya kwamba majeshi na Serikali za Ukraine na Magharibi kuwa wana tumia satellite za kiraia kufanya shughuli za kijeshi.
Wameona jambo hilo liangaliwe na kushughulikiwa vinginevyo wataanza “KUZISHUSHA” (Quasi-civilian infrastructure may be considered a legitimate target...
Mwandishi: Kwanini unanisalimia hivi(Alimpa mkono, Diallo akampa gonga), wakati fulani tulipita hapa tukawa tunaamini tumeshatoka kwenye Covid. Awamu iliyopita tulikuwa tunasali na kumuomba Mungu, Covid haipo. Bado una wasiwasi na Covid
Dr. Diallo: Covid ipo, jana nilimsikia mkuu wa mkoa...
Nimekuwa nikifuatilia upokeaji wa chanjo ya corona Kenya toka ilipoanza kutolewa, hii ikanifanya nimtafute rafiki yangu wa Kenya kumuuliza kama wanaendelea kuvaa barakoa baada ya chanjo, na cha ajabu nilishtuka kupata jibu kwamba lazima uendelee kuvaa barakoa hata kama una certificate ya chanjo...
Waziri wa fedha na mipango Dkt. Philp Mpango amesema anarudi kuchapa kazi baada ya mkono wa Mungu kumvusha na ugonjwa uliomkumba mpaka akalazwa.
Waziri Mpango amesema haya (Nukuu) - Narudi kazini na kazi ndogondogo nimekwishaanza za kulitumikia Taifa. Watanzania tuendelee kumwomba Mungu kwa...
Wanajamvi
Nimekuwa Na hisia kuwa huenda Dr. Magufuri Ni kiona mbali kutokana Na nchi ya ulimwengu wa kwanza kupinga walimu kuvaa mask wakati wanafundisha kwani hakuna ushahidi kuwa mask zinazuia covid.
======
As coronavirus runs rampant, why are some Swedish towns banning masks?
Officials in...
Mungu Mbariki D.Trump!
Rais Trump wa Marekani amerejea Ikulu baada ya kutoka hospitali alipowekwa baada ya kukutwa na Virusi vya Corona
Amevua barakoa baada ya kufika ikulu
Mwanzo mpinzani wake Joe Biden alisema Donald alipata Virusi hivyo kwa kuwa kwenye kila mdahalo alikuwa havai barakoa
Hivi ni kwa nini mnafanya mradi wa kitoto namna hiyo, mnawazuia raia kupita kwenye geti kama hawajavaa barakoa (hata staff ambao wanapewa na mwajiri wao nyie mnalazimisha wanunue wavae wakati wana elimu ya barakoa kuliko ninyi), na huko nje mmewaweka jamaa zenu ambao hata kutunza (kuhifadhi)...
Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa uvaaji wa Maski na social distancing vinasaidia sana kupunguza ueneaji wa virusi vya Corona.
Kwetu hapa Tanzania, wananchi walikuwa wameanza kuwa na mwamko wa kuvaa barakoa. Ilikuwa ukienda kwenye madaladala au magari ya mwendokasi unakuta wananchi wamevaa...
Wamarekanni ndio wamepitisha hadi sheria ya kuvaa barakoa raisi Trump ndie aliisaini hiyo Excutive Order na amekuwa wa kwanza kuivunja hataki kuvaa barakoa hadharani akimuiga Raisi Magufuli.
======
Trump Tours Ford Plant Without Mask But Wears One Out of View
“I was given a choice,” he...
Mkuu wa mkoa wa Mtwara amesema kuanzia jumatatu mwananchi yoyote atakayefika ofisi ya mkuu wa mkoa ( mkoani) ni lazima avae barakoa vinginevyo atazuiliwa getini.
Mkuu wa mkoa amechukua hatua hiyo kama jitihada zake za kuzuia maambukizi ya Covid 19.
Chanzo: ITV habari!
Kuna Tangazo la Redioni nalisikia karibu katika Redio zote Kubwa nchini ambalo linatoka katika Mamlaka husika linasema kuwa Uvaaji wa Barakoa ( Masks ) ni kwale Walioathirika tu na Maambukizi ya COVID-19 na Wanaowahudumia na si kwa Watu wengine na kwamba wakifanya hivyo watakuwa wanajihatarishia...
Kitendo cha mabeberu kuanza kuibiana mask inaonekana kuna upungufu mkubwa sana wa mask duniani kwa namna hiyo napenda kuwasilisha mawazo yangu kwa wizara ya afya kuangalia mask za namna hii na kutoa muongozo kwa matumizi ya kawaida ya mitaani na majumbani kama ikioneka zinaweza kufaa HASA KUZUIA...
Corona yaendelea kuwatoa utu mabeberu.
Kampuni ya utengenezaji wa vifaa tiba ya Uswizi, imelalamika kuwa Ufaransa imewachezea rafu mbaya mno Italy na Spain baada ya kuhodhi mzigo wa mamilioni ya mask za uso na glovu zilizokuwa zinasafirishwa kwenda kwenda Itali na Spain kupunguza maambukizi ya...
How To Make Face Mask From Tissue paper
Face masks should be used if anyone is sick or having cough to prevent infection to others, but nowadays it’s very hard to find.
Protect yourself against any virus or dust particles
.
Here is sharing a great and a simple idea to DIY face Masks.
Should more of us wear face masks to help slow the spread of coronavirus?
This question is to be assessed by a panel of advisers to the World Health Organization (WHO).
The group will weigh up research on whether the virus can be projected further than previously thought; a study in the US...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.