CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 882
Tatizo kubwa hapa nchini ni kwamba pale inapotokea janga, mlipuko wa ugonjwa basi wafanya biashara hutumia nafasi hiyo kujinufaisha. Kuna vifaa kama hand sanitizer, medical face masks vimekuwa katika uhitaji mkubwa sana kwa ajili ya kujikinga na virusi vya corona.
Serikali kupitia waziri wa afya imesisitiza uvaaji wa mask, kutumia hand sanitizer ila cha kushangaza bei imepanda mara 200.
Kale kachupa kalikuwa kanauzwa sh 3,000/= sasa kanauzwa sh 15,000/= mpaka sh 20,000/=. kama vitu hivi vitapanda bei basi tutaingia katika risk kubwa sana ya kuusambaza ugonjwa huu. Japo pia serikali imesema pia kutumia njia ya kunawa mikono na sabuni kila wakati, ila sio kila sehemu patakuwa na maji na sabuni.
Hii ni global health crisis ndugu zangu, Supermakets sasaivi hawana bei elekezi ya vifaa hivi japo zamani vilikuwa rahisi sana.
Maisha yetu yapo hatarini kwasababu ya corona virus, serikali lazima wawawajibishe watu hawa wanaotumia nafasi hii kujitajirisha. watu hawa ndio wanalifanya janga hili kuwa kubwa.
Narudia tena law enforcement, na government officials mliangalie hili. Kuna supermarket moshi wanafanya huu ujinga.
1. Rafiki Supermarket
2. Kilimanjaro Supermarket
3.
4.
5. Jazeni na nyie.
Ni nini kitafuta iwapo tutashindwa kufuka makazini? SERIKALI SERIKALI SERIKALI MI NAPITA
Serikali kupitia waziri wa afya imesisitiza uvaaji wa mask, kutumia hand sanitizer ila cha kushangaza bei imepanda mara 200.
Kale kachupa kalikuwa kanauzwa sh 3,000/= sasa kanauzwa sh 15,000/= mpaka sh 20,000/=. kama vitu hivi vitapanda bei basi tutaingia katika risk kubwa sana ya kuusambaza ugonjwa huu. Japo pia serikali imesema pia kutumia njia ya kunawa mikono na sabuni kila wakati, ila sio kila sehemu patakuwa na maji na sabuni.
Hii ni global health crisis ndugu zangu, Supermakets sasaivi hawana bei elekezi ya vifaa hivi japo zamani vilikuwa rahisi sana.
Maisha yetu yapo hatarini kwasababu ya corona virus, serikali lazima wawawajibishe watu hawa wanaotumia nafasi hii kujitajirisha. watu hawa ndio wanalifanya janga hili kuwa kubwa.
Narudia tena law enforcement, na government officials mliangalie hili. Kuna supermarket moshi wanafanya huu ujinga.
1. Rafiki Supermarket
2. Kilimanjaro Supermarket
3.
4.
5. Jazeni na nyie.
Ni nini kitafuta iwapo tutashindwa kufuka makazini? SERIKALI SERIKALI SERIKALI MI NAPITA