Baada ya Vifurushi vipya: Internet speed ya Vodacom ni majanga

CalvinPower

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
1,574
885
baada ya vodacom kufanya mabadiliko kwenye vifurushi vyao, speed imekuwa ndogo sana, kufanya update kwenye simu ya iphone inachukuwa masaa 12 , yaani file firmware ya iphone yenye ukubwa wa GB 4 utadownload kwa masaa 12. Tofauti na hapo kabla, ilikuwa nachukuwa nusu saa tu.

Tunawaomba vodacom warudishe internet speed ili tueze kufanya kazi zetu kwa haraka zaidi.
shida sip pesa bwana bali muda.

Speed imeshuka sana.

ambao mpo mitandao mingine tujuzeni ili tupate option ya pili maana muda ndio kilakitu.
 
Hii kampuni niya hovio kabisa nilikuja tz kwa likizo kwa muda wa mwezi mmoja nikatumia line ya vodacom sijawahi kuona kampuni ya kishenzi kama vodacom
 
Mbona hapa Mwanza Vodacom ndio mtandao Wenye kasi zaidi ya huduma ya internet?
 
sijawah
sijakosea mzee. Voda wako fasta labda itakua eneo tu uliopo. TTCL majanga zaidi.
i tumia TTCL Tigo wala Halotel. Voda ilikiwa vizuri sana mda wote ila baada ya vifurushi hivi kuna tatizo kwangu. labda ni eneo langu maana sijaskia mtu akilalamika. mm nipo Moshi. vilevile kama ni eneo basi hata vifurushi vya usiku hakuna?
Speed imeshuka sana toka juzi jioni.
Hivi kwa mlioo maeneo mengine speed ipoje?
hapa kangu haifiki hata 200KB/S wakati ilikuwa inafika 4MB/s
 
baada ya vodacom kufanya mabadiliko kwenye vifurushi vyao, speed imekuwa ndogo sana, kufanya update kwenye simu ya iphone inachukuwa masaa 12 , yaani file firmware ya iphone yenye ukubwa wa GB 4 utadownload kwa masaa 12. tofauti na hapo kabla, ilikuwa nachukuwa nusu saa tu,
Tunawaomba vodacom warudishe internet speed ili tueze kufanya kazi zetu kwa haraka zaidi.
shida sip pesa bwana bali muda.

speed imeshuka sana.

ambao mpo mitandao mingine tujuzeni ili tupate option ya pili maana muda ndio kilakitu.
Siku zote wafanyabiashara nia yao ni kutengeneza fedha. Hivyo wapo tayari kutumia mbinu zozote kutimiza azma hiyo. Kwenye bando ambayo hutumia muda, atachelewesha ili muda uishe ujaze bando nyingine. Kama ni kwa fedha basi ataziuza hizo bando kwa bei kubwa. Baada ya kugundua Wateja wamestukia bei, kageuza kibao na kuanza mwendo wa konokono. Huko wengine tulishajitoa, wewe unasubiri nini.
 
sijawah

i tumia TTCL Tigo wala Halotel. Voda ilikiwa vizuri sana mda wote ila baada ya vifurushi hivi kuna tatizo kwangu. labda ni eneo langu maana sijaskia mtu akilalamika. mm nipo Moshi. vilevile kama ni eneo basi hata vifurushi vya usiku hakuna?
Speed imeshuka sana toka juzi jioni.
Hivi kwa mlioo maeneo mengine speed ipoje?
hapa kangu haifiki hata 200KB/S wakati ilikuwa inafika 4MB/s
Ni kweli hata mimi nimeliona hilo sehemu nilipo baada ya kuunga bando la 2500tsh kwa 3GB wakati kabla ya nilikuwa natumia bando nyingine spidi ilikuwa poa.
 
Ni kweli hata mimi nimeliona hilo sehemu nilipo baada ya kuunga bando la 2500tsh kwa 3GB wakati kabla ya nilikuwa natumia bando nyingine spidi ilikuwa poa.
Ni kweli hata mm baada ya kuunga hilo bando la 2500 kupata GB3 speed haikuwa kama ile ya tuliyokuwa tunanunua ya masaa 2 , Tsh 1000 - GB1 2hrs. vilevile kwenye menu sikioni tena kile kifurushi cha 2hrs.
Nimebadilsha vifurushi vyoye ila speed ni ndogo sana. Nimenunua line mpya bado shida ni hiyo hiyo. Vodacom waliangalie hili tatizo maana wengine internet ndo ofisi zetu,
 
Ni kweli hata mm baada ya kuunga hilo bando la 2500 kupata GB3 speed haikuwa kama ile ya tuliyokuwa tunanunua ya masaa 2 , Tsh 1000 - GB1 2hrs. vilevile kwenye menu sikioni tena kile kifurushi cha 2hrs.
Nimebadilsha vifurushi vyoye ila speed ni ndogo sana. Nimenunua line mpya bado shida ni hiyo hiyo. Vodacom waliangalie hili tatizo maana wengine internet ndo ofisi zetu,
Nafikiri kuna uhuni flani unaendelea baada watu kulalamika bando linawahi kuisha.
 
Siku zote wafanyabiashara nia yao ni kutengeneza fedha. Hivyo wapo tayari kutumia mbinu zozote kutimiza azma hiyo. Kwenye bando ambayo hutumia muda, atachelewesha ili muda uishe ujaze bando nyingine. Kama ni kwa fedha basi ataziuza hizo bando kwa bei kubwa. Baada ya kugundua Wateja wamestukia bei, kageuza kibao na kuanza mwendo wa konokono. Huko wengine tulishajitoa, wewe unasubiri nini.

Faini yaTRCA inamaliza faida yote waliyopata
 
Back
Top Bottom