Habari za asubuhi wana JF.
Nina somea computer science level ya degree, nahtaji kufahamu material,njia Na sehemu ambayo nitapractice hizi cozi vizuri kwa muda wangu wa ziada pia naomba guidance kutoka kwa expert, nahtaji kufahamu ipi inalipa zaidi katika upande wa technolojia hasa hapa nyumbani...
habari za asubuhi wana jf..
Nina somea computer science level ya
degree,nahtaji kufahamu material,njia Na sehemu ambayo nitapractice hizi cozi vizuri kwa muda wangu wa ziada pia naomba guidance kutoka kwa expert,nahtaji kufahamu ipi inalipa zaidi
katika upande wa technolojia hasa hapa
nyumbani...
habari za asubuhi wana jf..
Nina somea computer science level ya degree,nahtaji kufahamu ipi inalipa zaidi katika upande wa technolojia hasa hapa nyumbani kati ya kazi za programming Na animation.Nina penda sana kufanya hizi kazi Na nahtaji kusoma ndani zaidi ndo maana nahtaji kufanya uchaguzi...
Habari zenu wakuu.
nimefungua profile yangu ya tcu kwa sisi tunaoomba kujiunga na vyuo vikuu,
nimekuta baadhi ya vyuo nilivyo chagua vimeandikwa -1 na vingine 0 sehemu ya remaining capacty.
naomba ufafanuzi kwa wanaofahamu...
tafadhalii wakuu
Habari za usiku wana jf
ninaomba kwa wale wote mnaoangalia tuzo za ktma mtujuze kinachoendelea huko tafadhali na comments zenu ni muhimu sana
Karibuni............
Habari za asubuhi wana jf wenzangu,ninahitaji msaada jamani kwani nimepta vidonda vidogodogo sehemu ya haja kubwa vinanitesa sana hasa wakati wa kutembea na kwenda msalani.
Msaada wenu jamani unahitajika haraka sana tafadhalii
Habari wana jf wenzangu
kumekuwa na uhusiano mkubwa sana wa mtu anaependa sana ngono kupoteza umakini kwenye mambo ya msingi wa maisha kama vile ufanisi kazini,kushuka kimasomo n.k.
Ninaombaa kfahamishwa ni vipi na kiasi gani ngono huathiri ubongo wa mtu na pia hata njia za kuepukana na athari...
Habari za muda huu,naomba kuelimishwa kuhusu mafuta ya me&u kama yana madhara yoyote kama vile kubadilisha rangi ya ngozi,au kuharibu ngozi.binafsi sijawahi kuyatumia ila nimetumiwa na rafiki yangu kama zawadi,naombeni kuelimishwa ili kama yana madhara nisiyatumie.
Hii wana jf,ni kijana wa kiume amemaliza form 4 mwaka jana na kapata division 2 ya pointi 20,anapenda kusoma PCB na ameifaulu vizuri kwa phy-c,chem-c na bio-b.SAsa anaomba ushauri jinsi ya kujianda kabla ya kuingia shuleni hiyo mwezi wa saba na usomaji wa pcb kwa ujumla hata atakapokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.