dish

  1. T

    Kipi ni chakula hasa (Main Dish) kati ya starch au protein?

    Wakuu kwema? Kuna kitu kinanitatiza muda mrefu panapohusu swala la mlo na mapishi. Ukienda migawahawa ya ushuani au umangani ukiuliza kuna chakula gani watakuambia: Kuku, Mbuzi, beef, Samaki nk kisha unachagua escort " kama chips, ugali, wali nk.. Ukienda Uswahili ukiuliza chakula...
  2. kagombe

    Dish la startimes linatakiwa chap

    Naitaji dish la startimes tu liwe ktk hali mzuri nicheck 0652500649
  3. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Azam dekoda ya dish wahi kwa 130,000 tu DSM

    Inauzwa. 130,000 Jeti kwa Gude, Dsm 0713096076
  4. Christopher Wallace

    Kisimbuzi cha Azam Tv bila dish kinauzwa

    Nauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na usiwaze jinsi ya kulipia kifurushi, utalipia kwa M-pesa Visa card kwenye simu yako. Changamkia fursa hii.
  5. Loraa sum's

    TV4Sale Used Smart TV inch 43 na Dish la Azam

    used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3 Kampuni: homebase Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside Bei: 650,000 Contact: 0712518770.
  6. L

    Nahitaji satelite dish

    Kuna madish fulani makubwa ya silver sana niliona yanatumika Zanzibar. Naweza kuyapata hapa DSM ? Bei yake ikoje?
  7. EvilSpirit

    Nataka kufunga satellite dish mwenyewe

    Ninataka kufungu satellite dish mwenyewe. Ni la kampuni ya Zuku. Ninaomba muongozo nilielekezee upande gani ili nipate signal na pia step by step jinsi ya kusearch chaneli
  8. T

    INAUZWA DStv Decoder na dish lake linauzwa

    Nauza decoder na dish la DStv kwa sh 60000 tu. Eneo Kibamba mbezi mwisho Dar es Salaam 0659130177.
  9. kikoozi

    Mwenye kujua sifa za kisimbuzi kipya cha Azam cha antena ukilinganisha na cha dish cha Azam

    Habarini wakuu, nataka kununua kisimbuzi cha Azam na ninaweza kununua cha dish na cha antena maana bei elekezi nasikia ni 130000 cha dish na 99000 cha natena, ila sijajua icho cha antena utofauti wake na cha dish ni kwenye nini, mtu akiwa na dish anafaidika na nini ambacho mwenye antena hapati...
  10. Madish Installers

    Kwanini dish (king'amuzi) chako kinasumbua signal mara kwa mara!?

    1.Ufungwaji wa Dish - Uimara wa sehemu ilipofungwa - Fundi amefungaje je kama huyu - Fundi alitumia signal finder? (kifaa cha kutafuta signal) - kwenye dish (lnb) tundu inayofungwa cable inayopeleka signal kwenye king'amuzi imefunikwa ili maji yasiingie n.k? 2.Cable kama imeungwa (ilikuwa...
  11. M

    Nitapataje channels nyingi FREE kwa dish?

    Amani iwe nanyi! Nahitaji kuweka dish la FTA ila nataka niweze kupata channels nyingi zaidi bila kulipia kila mwezi. Dish la kawaida la FTA hapa Moshi linakuwa na channels kadhaa za hapa nchini pamoja na channels kama Emmanuel TV, TBN na chache nyingine FREE. Ila nataka nipate channels zaidi...
Back
Top Bottom