Wakuu kwema?
Kuna kitu kinanitatiza muda mrefu panapohusu swala la mlo na mapishi.
Ukienda migawahawa ya ushuani au umangani ukiuliza kuna chakula gani watakuambia: Kuku, Mbuzi, beef, Samaki nk kisha unachagua escort " kama chips, ugali, wali nk..
Ukienda Uswahili ukiuliza chakula...
Nauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na usiwaze jinsi ya kulipia kifurushi, utalipia kwa M-pesa Visa card kwenye simu yako.
Changamkia fursa hii.
used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3
Kampuni: homebase
Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake
Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside
Bei: 650,000
Contact: 0712518770.
Ninataka kufungu satellite dish mwenyewe. Ni la kampuni ya Zuku. Ninaomba muongozo nilielekezee upande gani ili nipate signal na pia step by step jinsi ya kusearch chaneli
Habarini wakuu, nataka kununua kisimbuzi cha Azam na ninaweza kununua cha dish na cha antena maana bei elekezi nasikia ni 130000 cha dish na 99000 cha natena, ila sijajua icho cha antena utofauti wake na cha dish ni kwenye nini, mtu akiwa na dish anafaidika na nini ambacho mwenye antena hapati...
1.Ufungwaji wa Dish
- Uimara wa sehemu ilipofungwa
- Fundi amefungaje je kama huyu
- Fundi alitumia signal finder? (kifaa cha kutafuta signal)
- kwenye dish (lnb) tundu inayofungwa cable inayopeleka signal kwenye king'amuzi imefunikwa ili maji yasiingie n.k?
2.Cable kama imeungwa (ilikuwa...
Amani iwe nanyi!
Nahitaji kuweka dish la FTA ila nataka niweze kupata channels nyingi zaidi bila kulipia kila mwezi. Dish la kawaida la FTA hapa Moshi linakuwa na channels kadhaa za hapa nchini pamoja na channels kama Emmanuel TV, TBN na chache nyingine FREE. Ila nataka nipate channels zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.