adsense

  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Pastor Wanted!” Nairobi church job advert ya Senior Pastor imezua moto online

    Wakenya wako divided baada ya Nairobi Baptist Church kutangaza vacancy ya Senior Pastor kupitia social media. Wengine wanasema ni transparency na modern leadership , lakini wengine wanauliza, “Kanisa sasa lina-hire pastor kama kampuni?” Church inataka “visionary and Christ-centered leader”...
  2. KEKO JUU

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali: Namna ya kufix issue ya Adsense YouTube

    Habari za uzima wana JF, Nina changamoto kidogo kwenye kufix Adsense kwenye YouTube Account Yangu, mwenye ujuzi kuhusu hili, Naomba msaada
  3. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Sasa Hivi TRA Wanakusanya Kodi Hadi Google AdSense (YouTube & Websites)

    Wewe kama ni mmiliki wa Channel ya YouTube au mmiliki wa Website na unapata pesa kwa njia ya Google Adsense basi jua sasa hivi TRA wanakata Kodi mpaka huko YouTube na kwenye Websites kwa pesa unayokusanya kupitia Google AdSense. Hivyo uwezi kutoa pesa mpaka uwe na TIN namba pia, tofauti na...
  4. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji kuanzisha blogu + mpaka kupata Google Adsense akaunti nicheki

    Kama unahitaji kuanzisha blogu + mpaka kupata Google Adsense akaunti nicheki, Nina uzoefu na blogu + ujuzi wa IT, nitakusaidia kusajili jina la blogu Yako, kupata akaunti ya Google AdSense na n.k. nicheki WhatsApp/sms/call +255 0756704145
  5. ShaxNgole

    JamiiForums Tanzania Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600

    Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
  6. ShaxNgole

    JamiiForums Tanzania Natafuta Adsense yenye site

    Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
  7. ShaxNgole

    JamiiForums Tanzania Mwenye adsense akaunti nanunua

    Natafuta adsense akaunti, kama unayo nicheki 0718474600 ili tufanye biashara
  8. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Adsense, Admob, Adsterra, Monetag na Medium ads Je Fursa imelala hapa tena?

    Fighters, wanajua kusaka fursa tu je Imani ya digital entrepreneur hasa kwa wale wanaotegemea content creation je still fursa imelala huku maana nahisi kumefifia mno.
  9. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Baada ya muda leo nimeanza kurusha matangazo ya adsense

    Wakuu hii ni mara ya kwanza kukubaliwa na adsense ishu nataka wale wenye uzoefu waniambie malipo yanapokelewa vipi huku tz Naomba mnijuze
  10. Brave_Idiot

    JamiiForums Tanzania Adnetwork nyingine nje ya adsense?

    Habarini, Adsense haisupport swahili content hivyo nilikua nauliza hivi ni adnetwork gani nyingine inayolipa vizuri kwa traffic ya bongo, ukiachana na adsense, maana nimetest mengi mengi tu ila naona kama wananipiga tu, page views kibao hela haionekani.
  11. CodeX

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kununua Blog yenye Adsense

    Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye blog yenye Adsense iwe kwenye wordpress ya kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06 Shukrani
  12. CodeX

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE Natafuta Kununua Adsense Account yenye Site

    Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye blog yenye Adsense iwe kwenye wordpress ya kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
  13. N

    JamiiForums Tanzania JOB ADVERT: I am looking for Hot kitchen and Pastry Chefs

    Qualifications: 1.Culinary Education: A formal culinary arts degree or diploma. 2.Cooking Skills: Proficiency in various cooking techniques. 3.Food Safety: Knowledge of regulations and safe handling practices. 4.Time Management: Ability to work efficiently during peak hours...
  14. djwakibajaji

    JamiiForums Tanzania Niuzie Blogger Site Na AdSense Yake

    Wadau wa ADSENSE nahitaji blog na ADSENSE yake kwa anayeuza
  15. Ngamba

    JamiiForums Tanzania Msaada: Radio Advert Rate kwa Dodoma

    rejea na kichwa cha habari hapo juu naomba mwenye details ya advert rate kwa radio zilizopo mkoa wa dodoma
  16. djwakibajaji

    JamiiForums Tanzania Blogger ni taka taka kwa WordPress

    Naombeni ushuhuda kwa wafanyakazi wa ADSENSE waliotumia hizi platform mbili WORDPRESS & BLOGGER ipi ukitumia Ina support kupata mpunga mwingi kwenye kudisplay matangazo ya adsense tu. Habari za wakati wote waungwana , natumai wote wazima.
  17. djwakibajaji

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Blog niche ambazo ni rahisi kurank 1 position google search

    Mambo vipi wakali wa hizi kazi za SEO. Rejea title hapo juu nimekuwa nikitengeneza makala nyingi kwenye niche mbali mbali lakini imekuwa kipengele kurank #1 position pale google Yaani narank position ya 15 huko. Wadau hivi ni niche zipi ambazo hazina competition kubwa kwamba hata sisi blogger...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli naweza kuingiza hela kupitia blog bila kutumia Google Adsense?

    Ni kweli kuwa unaweza kuingiza fedha au kujiingizia kipato bila kuwa na Google Adsense.Narudia tena ni ukweli. Baada ya kumaliza masomo ya advance nilizindua kitabu changu cha pili kiitwacho OPEN THE DOORS OF SUCCESS IN YOUR ACADEMICS. Lakini ndoto zangu zilikuwa ni kuwa mwandishi mkubwa wa...
  19. Mr_Plan

    JamiiForums Tanzania ADSENSE VS ADSTERRA......

    Wadau Wa Blogger...Tufunguke Tumwagike hapa..Kati ya Adsense na Adsterra wapi kuzuri kwenye Kuvuna Mkwanja.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi zaidi ya moja - Barrick Bulyanhulu

    KAZI ZENYEWE NI KAMA IFUATAVYO 1.CONSTRUCTION OPERATOR 2.BLASTER 3.LONG HOLE DRILLER 4.GRADER OPERATOR 5.SCOOP OPERATOR NMEWAWEKEA NA PDF DOWNLOAD KWA MAELEKEZO MAPANA ZAIDI AJIRA KWA WOTE HUJUI NAN ATAKUSAIDIA AU KUSAIDIA JAMII YAKO GOOD DAY
Back
Top Bottom